ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,674
- 39,437
- Thread starter
- #221
Ukialikwa una alikika hata mimi naonaSi unajua leo siku ya kipaimara/komunio, sisi wengine hatukatai mialiko😀😀
Ukialikwa una alikika hata mimi naonaSi unajua leo siku ya kipaimara/komunio, sisi wengine hatukatai mialiko😀😀
Kikifa mtaalam wa kukifufua nipo, hizi ndio kazi za wazee wa hovyo 😁Anhaa bora kife tu 😄😄, mambo yasiwe mengi
Wine tenaaa ohoooo... mie yanguHuhuhuhu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hapa uwe na wine 🥰🥰

Yes we hutumii ?Wine tenaaa ohoooo... mie yangu![]()
Ngoma za kitambo wapenda za zamani
Hapana mkuu, hizo tumewaachia watu wa Sinza kamanyora na Dar es Salaam kwa ujumla, sio wa mikoani zetu ni wanzuki na komoni 😅😅Yes we hutumii ?
Zetu sie wazee,milenialNgoma za kitambo wapenda za zamani
Hahaha, sitaki huko huko ulipokula ujana malizia uzee wakoKikifa mtaalam wa kukifufua nipo, hizi ndio kazi za wazee wa hovyo 😁
Oooh ok nyie kunyweni chimpumu🤣🤣Hapana mkuu, hizo tumewaachia watu wa Sinza kamanyora na Dar es Salaam kwa ujumla, sio wa mikoani zetu ni wanzuki na komoni 😅😅
Acha ukali🤣🤣Hahaha, sitaki huko huko ulipokula ujana malizia uzee wako
Ukisikia unyanyapaa wa mtandaoni ndio huu sasa, kubaguana kwa kuangalia umri😅😅😅Hahaha, sitaki huko huko ulipokula ujana malizia uzee wako
Ndio hali yetu ya uchumi inaruhusu, ukiwa na buku jero unalewa hadi kujikojoleaa 😅Oooh ok nyie kunyweni chimpumu🤣🤣
my standards come with background checks and credit scores😅🤣🤣🤣🤣 simple life et dah
😂😂😂 si ndiyo hakuna namnaUkisikia unyanyapaa wa mtandaoni ndio huu sasa, kubaguana kwa kuangalia umri😅😅😅
Pampula haujamboSina sababu🤣
Nitakupa dunia ambayo hakuna wa rika lako anaweza kukupa, halafu mwanamke hadate na age mate, tafuta mtu 10+ akupe raha!😅😅😂😂😂 si ndiyo hakuna namna
Mweeeeh! Mie tena ni pampula🙆♂️🙆♂️🙆♂️Pampula haujambo