SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,765
Eti wanaomba kufutiwa deni la Urafiki ilhali Wachina hawa wanajua kuwa mliwalipa cash mabeberu mabilioni yanayozidi hayo madeni yenu kununua yale madege yanayopamba Uwanja wetu wa ndege wa Dar es salaam.Mnajipendekeza kwa mchina
Lipeni kwanza "deni la URAFIKI"