Kwanini Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala bora haijawahi kulaani mauaji ya raia?

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Leo nimeingia katika website ya tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (THBUB) nimeona kwa kipindi cha 2015 hadi 2022 hawajawahi kutoa tamko la kulani mauaji ya raia yaliyowahi kutokea nchini ikiwemo mauaji ya Akwilina, na raia kadhaa kule Zanzibar kipindi cha uchaguzi.

Hata hivyo imeonesha kuwa Tume imelaani mara mbili mauaji ya polisi yaliyowahi kutokea nchini kwa kipindi cha mwaka 2015 hadi 2020. Hii inanipa maswali kuhusu tume ya haki za binadamu na utawala bora kama ina maana pana ya kuhusu mambo wanayosimamia au wapo kwa ajili ya watumishi wa serikali.

 
Laana wanatoa wazazi/binadamu, Tume inachukua hatua kwa mujibu wa sheria
 
Hiyo tume ni ya serikali, unataka imlaani nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…