Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Tenga? Tunakwama wapi kama taifa?

Wakina Tenga na Wenzake walipoteza mda wao kwenda shule kwa sababu Africa ilichelewa saana kun'gamua kuwa soka inalipa kuliko fani nyingi saana ..siku hizi soccer ndio kila kitu bwana....sio lazima upite shule kwanza kwani matajiri woote duniani wanatafuta pesa kwanza arafu ndio wanaajiri hao wakina Tenga na Dk. Msolla et al..kuwafanyia kazi...Case study Bakhresa.n.k
Azam kaingiaje mkuu!ila pee mwana haramu ata ipakazwe damu waumini tutaitumia na vitabu tutanulili na ebu ongeza naisi hii ya afande naisahu kwakua ninamajukumua ya kulinda familia ndoa bado mzee amjedy khan niko nakandamiza mvinyo
 
Azam kaingiaje mkuu!ila pee mwana haramu ata ipakazwe damu waumini tutaitumia na vitabu tutanulili na ebu ongeza naisi hii ya afande naisahu kwakua ninamajukumua ya kulinda familia ndoa bado mzee amjedy khan niko nakandamiza mvinyo
Mkuu, huu uandishi wako ni kimboko aisee
 
Azam kaingiaje mkuu!ila pee mwana haramu ata ipakazwe damu waumini tutaitumia na vitabu tutanulili na ebu ongeza naisi hii ya afande naisahu kwakua ninamajukumua ya kulinda familia ndoa bado mzee amjedy khan niko nakandamiza mvinyo
Uandishi wa kizaramo huu mkuu hahahahaaaa
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Mabeberu yameanza kumpigia JPM magoti. Tuliwaonya Magufuli hajaribiwi.
 
Footballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?

Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.

Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.

Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya mdau
Ikiwa wanaosomea sanaa na kugraduate wanaikimbia seuze michezo mingine? Usishangae kwanini wachezaji na wasanii wengi ni darasa la saba na si graduate's kwa maana siasa ilishaingia michezoni weledi wakaipuuza kwa kuwaachia wasiojitambua.
Tulibadilika mengi yatarudi mahala pake
 
Footballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?

Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.

Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.

Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya mdau
dah hawa jamaa walikuwa wakiupiga mpira mkubwa sana enzi hizo wakati ni madenti pale UDSM mid 80s aisee:

Lawrence Mwalusako
Dennis Mdoe
Leonard Thadei
kuna brazameni mmoja hivi nimemsahau jina alikuwa akichezea Red Star.

siku hizi wamejaa wacheza singeli na wanyoa viduku dizaini ya kina Morrison tu!
 
Huyo tenga na mbwana ilitokea tu kama kunguru kumnyea binaadamu. si kana kwamba eti enzi hizo kulikuwa na vipanga kunako soka. Na ili kulithibitisha hili ebu nitajie graduate wengine japo watatu mbali na hao wawili! Siku zote mpira wake masela haruna moshi,kelvin yondani,juma nyoso etc.
Pfrofesa Madundo Mtambo.
 
Footballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?

Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.

Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.

Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya mdau
Mada ni nzuri sana Nadhani mfumo wetu wa elimu hausupport hili by the way wazazi wajitahidi kuwapeleka watoto shule katika umri mdogo ili kuwahi umri kwasababu kwa mfumo wetu shule huchukua muda sana kwa mwanafunzi
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Hahaha hizo hasira watazionyesha kwa lissu kutokana na kusaliti Nchi yetu.
 
Footballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?

Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.

Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.

Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya mdau
Magufuli miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa.
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Tunamsubiri Malikia wa Uingereza naye amuangukie Rais Magufuli na Watanzania.
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Rais Magufuli hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.
 
Back
Top Bottom