Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #21
PoaSawa mmakonde Infantry Soldier. Ngoja wataalam waje watakujuza zaidi. Vp NSSF walikupa pesa zako au ndio classified information?
PoaSawa mmakonde Infantry Soldier. Ngoja wataalam waje watakujuza zaidi. Vp NSSF walikupa pesa zako au ndio classified information?
walikuwepo wengi tuu, kina marehemu Mwalusako, kina Mtemi Ramadhani, Kina Tenende , nkHuyo tenga na mbwana ilitokea tu kama kunguru kumnyea binaadamu. si kana kwamba eti enzi hizo kulikuwa na vipanga kunako soka. Na ili kulithibitisha hili ebu nitajie graduate wengine japo watatu mbali na hao wawili! Siku zote mpira wake masela😀 haruna moshi,kelvin yondani,juma nyoso etc.
Ndio hawapoKwan hawapoo?
Yes. Tanzania haina kwa sasaKwan hawapoo?
Fanya investigation wapo weng ila hawajitangaziYes. Tanzania haina kwa sasa
Stamili Mbonde,Mohammed Banka nk.Huyo tenga na mbwana ilitokea tu kama kunguru kumnyea binaadamu. si kana kwamba eti enzi hizo kulikuwa na vipanga kunako soka. Na ili kulithibitisha hili ebu nitajie graduate wengine japo watatu mbali na hao wawili! Siku zote mpira wake masela😀 haruna moshi,kelvin yondani,juma nyoso etc.
Umefuatilia CV ya Mapinduzi Balama? nasikia ana Masters pia kuna jamaa Namungo jina limenitoka ana degree.Ndio hawapo
Stamili mbonde yule wa kawe ninaemjua mm au 😀Stamili Mbonde,Mohammed Banka nk.
HahahahaStamili mbonde yule wa kawe ninaemjua mm au
Siyo kweli kuna mchezaji Namungo pale nimemsahau jina ana degree...pia Mapinduzi Balama ana Masters ya law kitu kama hicho...Fanya more research kuanzia halo ili ujiridhishe kama siyo ukweli uje usemeYes. Tanzania haina kwa sasa
Ya wa Mtibwa Sugar.Stamili mbonde yule wa kawe ninaemjua mm au 😀
Huu ni ushauri mzuri sana kaka mkubwa@Hata hivyo mtu kama amekosa elimu kwa sababu ya mpira basi aongeze juhudi mara dufu kujiweka vema kimaisha na ikibidi ajiendeleze kielimu.
Wanacheza Taifa Stars au Tanzania Premier League? Isije kuwa ni mchezaji wa ndondo cup naye pia ukamuhesabia mkuuFanya investigation wapo weng ila hawajitangazi
Sawa ndugu yanguElimu na soka ni nadra sana kwenda kwa wakati mmoja.
Mbona wazungu wengi sana wanaweza?Elimu na soka ni nadra sana kwenda kwa wakati mmoja.
Sahihi kabisaKule maisha nitofauti hasa issue ya kipato,unakuta Bongo mtu ana mishe zake ndio zinazomsomesha,hapo lazima achague kipi kitamtoa kimaisha kati ya Elimu au Soccer,
Wengi wao ni form 4 failuresKwani wanaocheza saivi wameishia darasa la saba?