Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Tenga? Tunakwama wapi kama taifa?

Kwanini hutaki nilikua nae muccobs ushirika moshi adi yanga wanamsaini kutoka machava ndio alikua anamaliza mwaka wa mwisho
Ukishindwa kuniamini tafuta vyanzo vingine kwenye mitandao taarifa hazipotei
Hahaha, jamaa usikute hajui
 
Footballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?

Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.

Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.

Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?

BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya mdau

Sijui umefikije ndugu yangu, ila umefikiri kwa kina sana; hongera sana.

Zamani zile tuliwahi kuwa na akina Leodgar Tenga -B.Sc (Eng), Lawrence Mwalusako -nadhani B.Comm, Dennis Mdoe - nadhani B.Sc (Eng). Leo hii hakuna diploma wala digrii ndani; nadhani ni kwa sababu ya mifumo imebadilika sana. Zamani sana michezo ilikuwa ni sehemu ya mitaala ya shule za misingi na sekondari, lakini nadhani leo hii hali siyo hivyo tena.
 
Sijui umefikije ndugu yangu, ila umefikiri kwa kina sana; hongera sana.

Zamani zile tuliwahi kuwa na akina Leodgar Tenga -B.Sc (Eng), Lawrence Mwalusako -nadhani B.Comm, Dennis Mdoe - nadhani B.Sc (Eng). Leo hii hakuna diploma wala digrii ndani; nadhani ni kwa sababu ya mifumo imebadilika sana. Zamani sana michezo ilikuwa ni sehemu ya mitaala ya shule za misingi na sekondari, lakini nadhani leo hii hali siyo hivyo tena.
Mkuu kichuguu siku hz wapi pia wenye degree zao
 
Sijui umefikije ndugu yangu, ila umefikiri kwa kina sana; hongera sana.

Zamani zile tuliwahi kuwa na akina Leodgar Tenga -B.Sc (Eng), Lawrence Mwalusako -nadhani B.Comm, Dennis Mdoe - nadhani B.Sc (Eng). Leo hii hakuna diploma wala digrii ndani; nadhani ni kwa sababu ya mifumo imebadilika sana. Zamani sana michezo ilikuwa ni sehemu ya mitaala ya shule za misingi na sekondari, lakini nadhani leo hii hali siyo hivyo tena.
Asante sana mkuu kwa ufafanuzi
 
Footballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?

Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.

Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.

Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?

BIASHARA: Ninauza Vitabu Vya Kujifunzia Lugha Ya Kijerumani. Ich komme aus der Stadt Dar Es Salaam und verkaufe diese Deutsch-Lernbücher

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Maoni ya mdau
Wakina Tenga na Wenzake walipoteza mda wao kwenda shule kwa sababu Africa ilichelewa saana kun'gamua kuwa soka inalipa kuliko fani nyingi saana ..siku hizi soccer ndio kila kitu bwana....sio lazima upite shule kwanza kwani matajiri woote duniani wanatafuta pesa kwanza arafu ndio wanaajiri hao wakina Tenga na Dk. Msolla et al..kuwafanyia kazi...Case study Bakhresa.n.k
 
Wakina Tenga na Wenzake walipoteza mda wao kwenda shule kwa sababu Africa ilichelewa saana kun'gamua kuwa soka inalipa kuliko fani nyingi saana ..siku hizi soccer ndio kila kitu bwana....sio lazima upite shule kwanza kwani matajiri woote duniani wanatafuta pesa kwanza arafu ndio wanaajiri hao wakina Tenga na Dk. Msolla et al..kuwafanyia kazi...Case study Bakhresa.n.k
umefafanua vema sana
 
Back
Top Bottom