Kwanini skendo za ufisadi tunawatupia wanasiasa pekee ila WATUMISHI na watendaji wa serikali tumewakalia kimya

Kwanini skendo za ufisadi tunawatupia wanasiasa pekee ila WATUMISHI na watendaji wa serikali tumewakalia kimya

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,574
Reaction score
56,783
Nchi hii ina raisi mmoja na wabunge wasiozidi 400 ila tujiulize ina matajiri wakubwa wangapi?Ni wazi ina watu wenye mabilioni zaidi ya watu hata 20000 je NI kweli kwamba hao wote wamepata mahela hayo kwa sababu ya kuwa karibu na wanasiasa?rushwa nyingi zinafanyika level ya huku chini Kwenye mataasisi yanayopaswa kusimamia sheria nachokiona wanasiasa wametunga sheria sema Tu wanaopaswa kuchukua hatua ndo wamelala ila huu wivu kuona wanasiasa wamekuwa matajiri ni ujinga yanini kuumia mwanasiasa kuwa millionea wakati wako matajiri kibao nchini.
 
Ungetoa/kuwataja kwa mifano hao watumishi wa umma wezi/vibaka/mafisadi wenye utajiri na sledi yako ingekuwa inapata nguvu zaidi.
 
Wakurugenzi wamashirika na wale wakuu wa vitengo kwenye mawizara ukwasi walionao sio mchezo kwa mwaka lazima aingize zaidi ya million 700
Bado hiyo haitoshi kuwaweka/kuwataja kiujumlajumla tu.Je,wanaiba?Kama tungepata viwango vyao vya mishahara,posho na marupurupu mengine haviendani na uhalisia ndipo tungekuwa na kianzio cha kuwasimanga.
 
Wanasiasa ndio wanaongoza nchi. Ndio ambao wakiwa na uzalendo wanaweza kuweka mifumo ya kupunguza kabisa upigaji ngazi zote.

Utawala bora ni tunda la wanasiasa bora.
 
Wanasiasa ndio wanaongoza nchi. Ndio ambao wakiwa na uzalendo wanaweza kuweka mifumo ya kupunguza kabisa upigaji ngazi zote.

Utawala bora ni tunda la wanasiasa bora.
Changamoto ambayo imekuwa tatizo kwa wananchi kuchagua watu masikini kushika nafasi za kisiasa.Halafu,hao wachaguliwa wa kisiasa wanakuwa na nguvu kuliko wataalamu.Wakiingiza na tamaa zao ndipo huwapanga wataalamu waanze wizi wa mali za umma.Wataalamu wakikataa kushiriki madeals na kutumia utaalamu wao kuiba,ndipo wanasiasa huwatishia kuwaazimia mabaya kwenye vikao vya maamuzi au kuwanyanyasa bila huruma hadi waingie kwenye mifumo wanayoitaka.
 
Changamoto ambayo imekuwa tatizo kwa wananchi kuchagua watu masikini kushika nafasi za kisiasa.Halafu,hao wachaguliwa wa kisiasa wanakuwa na nguvu kuliko wataalamu.Wakiingiza na tamaa zao ndipo huwapanga wataalamu waanze wizi wa mali za umma.Wataalamu wakikataa kushiriki madeals na kutumia utaalamu wao kuiba,ndipo wanasiasa huwatishia kuwaazimia mabaya kwenye vikao vya maamuzi au kuwanyanyasa bila huruma hadi waingie kwenye mifumo wanayoitaka.
Mkuu shida sio kuchagua maskini shida ni ngozi nyeusi kwani akina riz1 akina shabiby ni maskini?? Ila pale walipo mpaka shilingi 100 wanaitamani
 
Mkuu shida sio kuchagua maskini shida ni ngozi nyeusi kwani akina riz1 akina shabiby ni maskini?? Ila pale walipo mpaka shilingi 100 wanaitamani
Ni kuendeleza mahovyohovyo tu.Kutokuridhika,uchoyo wenye kisingizio cha ubinafsi na tamaa ya kujilimbikizia mali kama wana maongezi marefu na kifo.
 
Nchi hii ina raisi mmoja na wabunge wasiozidi 400 ila tujiulize ina matajiri wakubwa wangapi?Ni wazi ina watu wenye mabilioni zaidi ya watu hata 20000 je NI kweli kwamba hao wote wamepata mahela hayo kwa sababu ya kuwa karibu na wanasiasa?rushwa nyingi zinafanyika level ya huku chini Kwenye mataasisi yanayopaswa kusimamia sheria nachokiona wanasiasa wametunga sheria sema Tu wanaopaswa kuchukua hatua ndo wamelala ila huu wivu kuona wanasiasa wamekuwa matajiri ni ujinga yanini kuumia mwanasiasa kuwa millionea wakati wako matajiri kibao nchini.
Screenshot_20250827-122258~2.png
 
Back
Top Bottom