Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

Hivi mzee kwanini watetezi huwa mnapenda kutumia hizo shuhuda za zama za kale za chuma ku justify uzembe uliopo sasa ?

Ni sawa pyramids were built by Africans. But the question is why are we not inventing anything nowadays?

Watoto wanasoma science au historia ya science ?
so
Hivi mzee kwanini watetezi huwa mnapenda kutumia hizo shuhuda za zama za kale za chuma ku justify uzembe uliopo sasa ?

Ni sawa pyramids were built by Africans. But the question is why are we not inventing anything nowadays?

Watoto wanasoma science au historia ya science ?
Kama ni kweli hautaki tuzungumze !? 😂😂

Maisha ndivyo yalivyo Great empire Huwa zinaanguka na kuja nyingine so huu ni wakati wa watu weupe kufanya gunduzi mbali mbali kama ilivyokuwa Kwa watu weusi miaka hiyo ya kemet
 
Mfano kiwanda cha machine tools hapo Kilimanjaro ilitakiwa kuwe na mass production ya vipuli (viwanda, magari, pikipiki) lakini machine zipo tu sijui bado zinafanya kazi au Lah :4Shrug:
 
Mkuu maswali yako majibu unajua ila tunapoteana muda,wewe vidudu hadi High school umesoma NECTA,Chuo SUA,halafu masters ndio umepata sponsorship huko,itasaidia nini??..still upo shallow,hata ungeenda kusoma bachelor degree still sio issue,Msingi na mazingira yalishakua mabovu Tangu awali,kwa wenzetu wapo serious na elimu ya watoto kuzidi Vyuo..

Tunaweza ku argue kua "mbona kuna shule za international hapa,still wamegundua nini" well hao ni 00.01
Nini kifanyike ili na sisi tuwe kama wao?
 
😅😅😅😅 Ushimen mchokozi muone 😅.

Huyu anauliza swali huku majibu anayo 😅😅
Usimwambie mtu...😋
20260627_091705.jpg
 
Tatizo ni nini, ipi inaweza kuwa jibu sahihi?
  • Ni vyakula tunavyokula vinadumaza ubongo​
  • Upeo wetu ni mdogo​
  • Hatujakamilika kuwa binadamu kamili​
  • Tumeridhika na vinavyoletwa na wazungu​
  • Tumekata tamaa​
  • Hatujastaarabika​
  • Imani za dini imetuzidi​
  • Si jukumu letu kuvumbua​
  • Tumezaliwa ili tuishi baadaye tufe​
  • Elimu zetu​
  • Bado tupo gizani​
  • Tumelogwa​
  • n.k​
Weusi ndio wavumbuzi wa asili
 
Hizo ulizotaja na kuita gunduzi ni ujinga mtupu
Unaviona ni vya kijinga kwakuwa havijaendelezwa, siku zote wakati wa kuanza hakuna anaekuona wa maana ila ukifanikiwa kila mtu atakusifu, watu huwa hatutaki process tunataka matokeo mazuri

Hata akina newtons na scientists wengine wakati wanagundua vitu walikuwa wanaonekana machizi na jamii yao asaivi kiko wapi
 
Mfano kiwanda cha machine tools hapo Kilimanjaro ilitakiwa kuwe na mass production ya vipuli (viwanda, magari, pikipiki) lakini machine zipo tu sijui bado zinafanya kazi au Lah :4Shrug:
Sina hakika kama kinafanya kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom