Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

iPhone Hana cha kumzidi Samsung na Sony au LG zaidi ya security.....

Unanunua simu ya ml 2 halafu mipaka ya matumizi wanakupangia ....huo utumwa sikubaliani nao.

Siku hizi simu zinafanya mambo mengi karibia uwezo wa PC, lakini sio za iPhone.
Umeongea ukweli mchungu
 
Wengi wenye negative comments kwenye iphone, hawajawahi zitumia na hata uwezo wa kununua Samsung ya bei rahisi hawana. Utawezaje kulinganisha hayo makopo na Iphone? Iphone kila kitu kimetengenezwa kwa perfection. Hata slot ya SIM Card ukilinganisha na za Samsung au makopo hayo mengine unajua nani yupo serious.
 
Bro ukiacha ushabiki wa Marketing campaigns na celeb quips, ni watanzania asilimia ngapi wanaweza kimbizana na Apple "as the Luxury brand" na sio ile iliyowapa iPhone 6 - 8s? Na kama hujui tu, kuna clone nyingi sana za iPhones Bongo. So sio mtu ukute unatumia clone ya 300k af unakuja flaunt yourself as if na wewe unamiliki genuine thing!

Na tunakoelekea huko kwenye luxury brand, clone zitakuwa mingi tu...so happy cloning kwa majority, na kwa wale wachache genuine, diehard Apple fanboys happy spending!

(Na kila mtu abaki kwenye mapendeleo yake. Ninayozungumza ni mawazo yangu tu. Na hayana uamuzi juu ya Personal preference. Hapa ni kuelimishana, kujuzana, kujaribiana uwezo wa kufikiri na kuwasilisha hoja, na kusukuma mjadala!)

Sent from my MI 5 using JamiiForums mobile app
 
Chief,right now natumia simu ureply, niwie radhi siwez kureply mstari kwa mstari kama mwanzo, lakini nitajibu point kwa point.

Naelewa vyema multitasking. Kukupa mfano wa 2 apps running side by side haimaanishi sijui kuna background apps still running. Nimekupa mfano huo kwa sababu the app you are running side by side are more focused than those running on the background. Ukiwa una run 2apps side by side and they need more rams, the app running on the background will be affected. Kwa sababu your device will ive priority on app that you are currently using au sio? Nipe mfano wa apps running on background and running side by side and will eat all 6gb rams. Nipe mfano wa real life situation in s9plus. I need to know this. Kumbuka our main sibject ni efficiency of the cores working.

Kuhusu fornite, ingia youtube utaona gameplay between x na hio plus model utajionea mwenyewe. Ikiwa dev amelikoroga mwanzoni na anaweza kutoa fix, je huo sio ishahidi wa lack of efficiency on the dev side? Vipi utailaumu device hapo?

Kwenye msukule wa spark 8 nlokuwa nao, snapchat inaganda na simu ina 1gb of ram, ishu si tecno wala specs, bali no developer.

Kuhusu Samsung dex, it is a good move, finally a mobile os can be turned into desktop, but again how much power does it need according to the apps they have? Apple dont wanna mix mobile os na desktop os, kwa sababu they have mac already.

Umezungumza kuhusu masuala ya copying, mjadala halisi ni why low specs on iphone wakato wenzake wana high specs. Lakini hata hivo umezungumza vitu ambavo was a matter of choice. Should i go with big screen or small one? Waterproof or not? N.k coppying ya Sam ni ya kichinese kabisa, ame copy design ya simu, amecopy mpk icons!! Thats cheap.... suala la Lcd au LED is a matter of choice. Na if am not mistaken, they are buying display from something, how can you call that copying? Au Apple wanakiwanda cha led displays? You see unaongea a matter of choice, bezel less nimeona sharp kaja nayo mwanzo not s6 edge. Nikisema sam anaiga kutumia 64 bit chip nitaonekana sina akili, kwa sababu tech hio ipo.

Umeongea clock speed. Ni kweli higher speed sasa ivi haimaanishi powerful, lakini kumbuka zote ni morden chips, X is clocking lower than splus speed and yet executing more instruction faster, that means X is EFFICIENT. Thank for axknowledging my point.

Halafu ukatumia hisia zaidi kuniambia nianze na kampuni yangu pendwa, ndio napenda iphone kama wewe unavopenda nokia a dead company that is only licensing the name and tech so far. Hebu nambie, processor the apple hazina matumizi ya power yote hio iliokuwa nayo according to the current features? All apple is doing, is giving you what you need, and making the best of it. Very simple tu. If six cores performs way better as you yourselves said it, why would apple put 8 cores juust for people to say i have an 8 core processor?

Umezungumza kuhusu kufungua youtube na ku play nyimbo huku imeminize na kuendelea kutuma message wakati nyimbo inapiga youtube na app iko monimize. Brother, youtube ukiminimize yenyewe nyimbo ina stop, sio tatizo la nultitasking capability wala rams, no dev tu alivofanya. Google ameona ukiingia youtube unatizama video, ukiiminimize kaona utapitwa kwaio ana pause mpaka uifungue tena. Sasa kama amesikia kilio cha watu, anaweza akafanya youtube iendelee kupiga mziki wakati umeminimize. Mbona iphone unaendelea kula mzika kwa player yao ikowa screen iko locked kabisa? Ukiachia media player yao, hata apps nyengine nilokiwa nikitumia kudownload mziki, zilikiwa zinatwanga nyimbo fresh on the background wakati natuma msg au na browse tu.

Ivo application zako zote ulizotaja ndio zinahitaji 6gb of rams kurun simultaneously?

Yaani ufungue 100 apps zifanye kazi wkt mmoja hali ya kuwa siku nzima una run app 2 tu. Are you serious? Thats wastefulness of resources.
1. Hio 6gb ram kuijaza ni rahisi sana mkuu sina simu ya 6gb ram hapa ningekuonesha kwa vitendo ila kama una acess nayo hapo apps hizi zinaweza.
-download app yoyote inayokuwezesha ku run multiple instance of app mfano kuwa na whatsapp mbili, insta mbili, facebook mbili etc. App hizo ni kama secure folder inayokuja na samsung yenyewe ama parallel space. Technically unakuwa na kama simu mbili. Mimi simu yangu ina 3GB ram kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni fulani hivyo simu yangu nikaigawanya mara 3, ndani ya simu moja nina maeneo matatu kama ifuatavyo.
-sehemu ya kwanza personal kuna whatsapp yangu ya kila siku na app zangu kama mtu mwengine.
-sehemu ya pili ya biashara, whatsapp ya kazini, insta ya kazini etc
-sehemu ya tatu ya michezo vitu vyangu kama magames na test zangu mwenyewe.

Hayo ni matumizi ya kawaida tu ila simu yangu ilikuwa slow sana, ni kama simu 3 ndani ya simu moja, 6gb ram ingesaidia japo nayo haitoshi pengine 8gb ram kuendelea ingenifaa zaidi.

Kwa wale wanaotumia virtual box kwenye pc wanaelewa kiasi gani inademand ram, same here.

Pia kama unataka ku extract url kwenye streaming service inakula sana resource, inategemea na ugumu utaokutana nao. Utahitaji kuanza kustream, uwe na url snooper, uwe na text editor, sometime hex editor, kuwe na media player, sometime ssl decrypter inahitaji kurun kama vpn etc vyote hivi virun at same time, natumia s5 kufanya hii kazi na inakuwa slow na moto sana kwa hii kazi.

Simu karibia zote zinazorun android 6 kupanda zina option ya unlimited user account, theoretically unaweza tumia hata ram gb 120 na zaidi.

2. Issue ya kucopy naona bado upo enzi za s2 kipindi kile cha icons na round corner, tupo 2018 sasa hivi hebu nitajie miaka 3 iliopita samsung kacopy nini na nini toka Apple? Maana simu kama iphone x almost kila unachogusa Apple kamcopy samsung na Oems wengine wa Android.

Unakumbuka maneno ya steve job? Alisema hakuna mtu atakaenunua simu kubwa, na sasa Apple wanaramba matapishi
Steve Jobs Turned Out To Be Completely Wrong About The Key Reason People Like The iPhone

Mambo mengi kati ya 10 niliokutajia juu Apple walikuwa wakiyapinga ila sasa wao ndio vimbele mbele wa kucopy, kifupi hawana innovation wanafata tu trend za watu, dual sim, vioo vikubwa, edge to edge display, fast charge, water proof, high resolution, oled na trend kibao.

3. Kuhusu game, lete video inayoonyesha setting zilizotumika simu zote mbili, by default samsung ina 2k screen hivyo kwenye native resolution itakuwa slow kuliko simu ya 1080p ama 720p hivyo nataka video inayoonyesha setting sawa maybe zote kwenye 720p halafu ueke hapa.

4. Kuhusu efficiency.
Sasa mkuu nimekuekea video tena toka kwa fans mkubwa wa Apple anakiri mwenyewe samsung ipo faster kuliko iphone, at same time iphone ina processor yenye nguvu kushinda samsung. Hebu jiulize

processor yenye nguvu inarun vitu slow na processor isio na nguvu ina run vitu fast je ipi ni efficient?

Jibu ni rahisi tu ila unapenda tu uzunguke uzunguke, fans wenzako wa Apple wanakubali we endelea kutafuta visingizio.

5. Kuhusu Nokia mkuu its far from dead company, Ni network manufacture mkubwa duniani, ngoja nikupe point kadhaa kukufumbua macho.
1. Kampuni ya Apple inamtegemea Nokia kununua vifaa vyake vyote vya network
2. Karibia mitandao yote duniani yenye kasi zaidi inanunua network equipments toka Nokia, mfano vodacom Tanzania ina achieve 50mbps kwenye 3rd world country kama Tanzania kitu ambacho ni above average ya 40mbps ya dunia.
3. Robot manage robot, Nokia ana kiwanda pekee duniani ambacho kinafanya kazi na marobot tu, kuna hadi marobot mafundi yanayotengeneza marobot wenzao wakiharibika, kifupi kiwanda kinafanya kazi chenyewe tu.
4. Nokia ni pioneer wa 5g na ameshatangaza atacharge dola 3 kwa kila kifaa kitacho run 5g, hivyo around shilingi 7000 kwa kila simu, ununue iphone ununue tecno ununue kishkwambi kama kina 5g utawalipa tu.
5. Nokia karibuni ameinunua Alcatel lucent kwa dola bilioni 16 ni moja kati ya manunuzi makubwa duniani upande wa tech. Zaidi ya trilioni 30 za kitanzania.

Sidhani kama hizo activity ni za dead company mkuu. Hapo sijataja licence hata moja, huuzi simu ulaya au marekani bila Nokia kugonga hodi kila kampuni ya simu unayoitaja Wanamlipa nokia.

Na jamaa wana maabara kubwa za kitafiti kuna innovation kubwa sana wanafanya miaka ya karibuni toka maabara kama bell labs.

Unafahamu Nokia anatengeneza hadi nyambizi za chini ya maji?
 
1. Hio 6gb ram kuijaza ni rahisi sana mkuu sina simu ya 6gb ram hapa ningekuonesha kwa vitendo ila kama una acess nayo hapo apps hizi zinaweza.
-download app yoyote inayokuwezesha ku run multiple instance of app mfano kuwa na whatsapp mbili, insta mbili, facebook mbili etc. App hizo ni kama secure folder inayokuja na samsung yenyewe ama parallel space. Technically unakuwa na kama simu mbili. Mimi simu yangu ina 3GB ram kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni fulani hivyo simu yangu nikaigawanya mara 3, ndani ya simu moja nina maeneo matatu kama ifuatavyo.
-sehemu ya kwanza personal kuna whatsapp yangu ya kila siku na app zangu kama mtu mwengine.
-sehemu ya pili ya biashara, whatsapp ya kazini, insta ya kazini etc
-sehemu ya tatu ya michezo vitu vyangu kama magames na test zangu mwenyewe.

Hayo ni matumizi ya kawaida tu ila simu yangu ilikuwa slow sana, ni kama simu 3 ndani ya simu moja, 6gb ram ingesaidia japo nayo haitoshi pengine 8gb ram kuendelea ingenifaa zaidi.
Kuwa na apps mbili sawasawa na kwa matumizi tofauti bado haijawa justification of more unnecessary rams. nina whatsapp ya kawaida na Gb whatsapp with different numbers natumia (if this is what you mean). sijaona where i need that 6Gb of rams. Ikiwa simu yako ina poor management of rams, then hata ukiipa 100gb of rams itabaki kuwa poor. If a task can be done with 1GB of ram, lakini simu yako inatumia 6GB of rams for that task, your device has poor memory management. Sijui hujaelewa my main point ama vipi...

Hebu nkupe mfano; Ikiwa IOS inatumia 0.1% of ram for whatsapp, kwanini Samsung atumie 2% of rams available? kwanini na yeye asitumie 0.1% tu? (Huu ni mfano tu usije ukanambia calculation nimekosea :D) najaribu kukufahamisha my point.

Au Nikuulize, KWANINI SAMUSUNG HAKUWEKA 10GB of RAMS or MORE BALI AMEWEKA 6GB of RAMS?

Halafu nakukumbusha, mtoa mada anataka kujua kwanini IOS device ni low specs compared to wengine.

Kwa wale wanaotumia virtual box kwenye pc wanaelewa kiasi gani inademand ram, same here.

Pia kama unataka ku extract url kwenye streaming service inakula sana resource, inategemea na ugumu utaokutana nao. Utahitaji kuanza kustream, uwe na url snooper, uwe na text editor, sometime hex editor, kuwe na media player, sometime ssl decrypter inahitaji kurun kama vpn etc vyote hivi virun at same time, natumia s5 kufanya hii kazi na inakuwa slow na moto sana kwa hii kazi.

Simu karibia zote zinazorun android 6 kupanda zina option ya unlimited user account, theoretically unaweza tumia hata ram gb 120 na zaidi.
So you install a virtualbox in samsung s9plus to run windows 10 full version? au sivo matumizi ya VB, maana isijekuwa nazungumza kitu kingine.

2. Issue ya kucopy naona bado upo enzi za s2 kipindi kile cha icons na round corner, tupo 2018 sasa hivi hebu nitajie miaka 3 iliopita samsung kacopy nini na nini toka Apple? Maana simu kama iphone x almost kila unachogusa Apple kamcopy samsung na Oems wengine wa Android.

Unakumbuka maneno ya steve job? Alisema hakuna mtu atakaenunua simu kubwa, na sasa Apple wanaramba matapishi
Steve Jobs Turned Out To Be Completely Wrong About The Key Reason People Like The iPhone

Mambo mengi kati ya 10 niliokutajia juu Apple walikuwa wakiyapinga ila sasa wao ndio vimbele mbele wa kucopy, kifupi hawana innovation wanafata tu trend za watu, dual sim, vioo vikubwa, edge to edge display, fast charge, water proof, high resolution, oled na trend kibao.
Tunaweza kuzungumzia copying since both companies hazijaundwa, wakati wewe una brag about Apple making a choice now and saying it is copying at the same time i am telling you about the real copying Samsung made. It doesnt matter when.

I do believe Steve jobs angekuwa hai hadi sasa, tusingeona plus models za samsung. Mbona husemi kama naming sequence Samsung anamuiga iphone basi, au plus models anamuiga iphone? unazikumbuka iphone 4 na 5 zilivokuwa narrow and tall, mbona samsung sasa amebadilika na yeye anafanya simu narrow sio kama zamani kuwa like shields?

3. Kuhusu game, lete video inayoonyesha setting zilizotumika simu zote mbili, by default samsung ina 2k screen hivyo kwenye native resolution itakuwa slow kuliko simu ya 1080p ama 720p hivyo nataka video inayoonyesha setting sawa maybe zote kwenye 720p halafu ueke hapa.













4. Kuhusu efficiency.
Sasa mkuu nimekuekea video tena toka kwa fans mkubwa wa Apple anakiri mwenyewe samsung ipo faster kuliko iphone, at same time iphone ina processor yenye nguvu kushinda samsung. Hebu jiulize

processor yenye nguvu inarun vitu slow na processor isio na nguvu ina run vitu fast je ipi ni efficient?
Wacha nizunguke tu :D



5. Kuhusu Nokia mkuu its far from dead company, Ni network manufacture mkubwa duniani, ngoja nikupe point kadhaa kukufumbua macho.
1. Kampuni ya Apple inamtegemea Nokia kununua vifaa vyake vyote vya network
2. Karibia mitandao yote duniani yenye kasi zaidi inanunua network equipments toka Nokia, mfano vodacom Tanzania ina achieve 50mbps kwenye 3rd world country kama Tanzania kitu ambacho ni above average ya 40mbps ya dunia.
3. Robot manage robot, Nokia ana kiwanda pekee duniani ambacho kinafanya kazi na marobot tu, kuna hadi marobot mafundi yanayotengeneza marobot wenzao wakiharibika, kifupi kiwanda kinafanya kazi chenyewe tu.
4. Nokia ni pioneer wa 5g na ameshatangaza atacharge dola 3 kwa kila kifaa kitacho run 5g, hivyo around shilingi 7000 kwa kila simu, ununue iphone ununue tecno ununue kishkwambi kama kina 5g utawalipa tu.
5. Nokia karibuni ameinunua Alcatel lucent kwa dola bilioni 16 ni moja kati ya manunuzi makubwa duniani upande wa tech. Zaidi ya trilioni 30 za kitanzania.

Sidhani kama hizo activity ni za dead company mkuu. Hapo sijataja licence hata moja, huuzi simu ulaya au marekani bila Nokia kugonga hodi kila kampuni ya simu unayoitaja Wanamlipa nokia.

Na jamaa wana maabara kubwa za kitafiti kuna innovation kubwa sana wanafanya miaka ya karibuni toka maabara kama bell labs.

Unafahamu Nokia anatengeneza hadi nyambizi za chini ya maji?
Classical Nokia fan... Wanatengeza Smarthphone NOKIA siku izi? and if so, iko wapi? Rudia tena nini nimekwambia kuhusu Nokia, wamebakisha kulicense jina na kuuza tech tu, wamefutwa kwenye smartphone yeye na Blackberry.... Unataka ku argue mpaka hili?

Umekosa yote unakuja kutwambia Nokia anatengeza nyambizi ya baharini :D :D :D its like trying to compare Tesla na Mercedez cars, akisha unakuja unasema, TESLA anatengeza rocket kwenda kwenye space :D wakati tunazungumzia gari

Dude, we are talking about smartphone devices here and their specs and how efficient are they. Why are you trying to go off topic.

It is fascinating how you make NOKIA look like a must go to company when it sells its shares for $4.7 EURO while Apple the not innovative company, copying company, cant invent company sells at $200+ for a share.
 
Kuwa na apps mbili sawasawa na kwa matumizi tofauti bado haijawa justification of more unnecessary rams. nina whatsapp ya kawaida na Gb whatsapp with different numbers natumia (if this is what you mean).

Sijamaanisha hivi, una simu ya android ya kisasa hapo? Ina ram gb ngapi? Unaweza jaribu eka apps kadhaa kwenye parallel space? App ipo playstore

sijaona where i need that 6Gb of rams. Ikiwa simu yako ina poor management of rams, then hata ukiipa 100gb of rams itabaki kuwa poor. If a task can be done with 1GB of ram, lakini simu yako inatumia 6GB of rams for that task, your device has poor memory management. Sijui hujaelewa my main point ama vipi...
Hio ni opinion yako sababu wewe huwezi tumia simu yako usisingizie watu wote hawajui kutumia simu zao kama wewe.

Hebu nkupe mfano; Ikiwa IOS inatumia 0.1% of ram for whatsapp, kwanini Samsung atumie 2% of rams available? kwanini na yeye asitumie 0.1% tu? (Huu ni mfano tu usije ukanambia calculation nimekosea :D) najaribu kukufahamisha my point.
Ios hii hii iliopitwa na samsung kwenye kuedit video ama kuna ios nyengine? Na hio menu ya kuangalia management ya ram ni ipi? Maana ninavyofahamu ios haina true multitasking hivyo uki exit app nayo ina hibernate ile app hivyo haina haja ya kumanage hizo apps sababu haziwi open unapo switch baina ya app. Imetengenezwa kwa watu wasio na matumizi makubwa. Hapa nikikupa ka task kadogo tu ufanye kwenye ios yako inayofanywa na kasimu kadogo ka android itachemka.



Au Nikuulize, KWANINI SAMUSUNG HAKUWEKA 10GB of RAMS or MORE BALI AMEWEKA 6GB of RAMS?
Ram haziwekwi tu kama unapanga mabox, mpaka kutokee breakthrough technology ya kuwezesha kuwekwa ndio itawekwa, si samsung tu makampuni yote hayana hio ram.

Halafu nakukumbusha, mtoa mada anataka kujua kwanini IOS device ni low specs compared to wengine.
Mbona nimemjibu post ya kwanza kwamba apple ndio wana cpu yenye nguvu zaidi duniani? Japo wana processor yenye nguvu zaidi duniani ila simu zao bado zinapitwa na simu zenye procesor dhaifu ila wafia tunda wanatetea? Japo site kubwa za fans wa apple zimekubali simu zao sio fast tena ila kuna fan wao Tanzania hakubali yeye japo hajawahi tumia hizo iphone x na s9.


So you install a virtualbox in samsung s9plus to run windows 10 full version? au sivo matumizi ya VB, maana isijekuwa nazungumza kitu kingine.
Si lazima iwe software ya virtual box ila virtual enviroment yoyote inakula ram vya kutosha na android app za design hio zipo kibao. Vitu kama hivi huwezi vikuta store ya Apple.


Tunaweza kuzungumzia copying since both companies hazijaundwa, wakati wewe una brag about Apple making a choice now and saying it is copying at the same time i am telling you about the real copying Samsung made. It doesnt matter when.

I do believe Steve jobs angekuwa hai hadi sasa, tusingeona plus models za samsung. Mbona husemi kama naming sequence Samsung anamuiga iphone basi, au plus models anamuiga iphone? unazikumbuka iphone 4 na 5 zilivokuwa narrow and tall, mbona samsung sasa amebadilika na yeye anafanya simu narrow sio kama zamani kuwa like shields?
Nikukumbushe tu maybe umesahau
-galaxy s2 na s2 plus
-galaxy core na core plus
-s5 na s5 plus etc

Kila mwaka kuanzia 2011 samsung anatoa model na plus yake, leo hii ni samsung anamcopy apple kwenye plus model? Ndio maana fans wa apple mnaitwa isheep















Wacha nizunguke tu :D



Nimekwambia lete video zinazoonesha setting na quality iliotumika unaleta video zako zisizo na kichwa wala miguu.

Kama mtengeneza game mwenyewe epic amekiri kuna tatizo na lag kwenye fortinite ios version wewe nani kushindana na mtengeneza game mwenyewe? Au aliotengeneza game halijui game lake mwenyewe?


Classical Nokia fan... Wanatengeza Smarthphone NOKIA siku izi? and if so, iko wapi? Rudia tena nini nimekwambia kuhusu Nokia, wamebakisha kulicense jina na kuuza tech tu, wamefutwa kwenye smartphone yeye na Blackberry.... Unataka ku argue mpaka hili?

Umekosa yote unakuja kutwambia Nokia anatengeza nyambizi ya baharini :D:D:D its like trying to compare Tesla na Mercedez cars, akisha unakuja unasema, TESLA anatengeza rocket kwenda kwenye space :D wakati tunazungumzia gari

Dude, we are talking about smartphone devices here and their specs and how efficient are they. Why are you trying to go off topic.

It is fascinating how you make NOKIA look like a must go to company when it sells its shares for $4.7 EURO while Apple the not innovative company, copying company, cant invent company sells at $200+ for a share.
Nioneshe sehemu moja tu hapo juu ulipotaja simu? Umezungumzia nokia as company nimekujibu huna hoja unahamia kwenye simu?

Kama nokia ameuza department yake ya simu why atengeneze simu? Atatengeneza na nini?

Nokia ni mama wa ubunifu wakati watu wanahangaika na mambo mengine yeye na kampuni wenzake wa ulaya kama Ericson na Siemens waligundua internet ya Kasi ya 3g na kuiunda simu kama ilivyo. Ikague iphone yako imejaa technology za nokia mwanzo mwisho. Hadi kuscroll unaposoma hii page ni Technology ilio licence toka Nokia. Ndio maana nokia Akikohoa tu Apple ana surender na kulipa matrilioni ya hela.

Wakati makampuni mengine yakishindana kutoa simu zenye technology za zamani za nokia, kampuni mama ya Nokia ipo busy kugundua mambo mapya,
-magari yanayojiendesha yenyewe
-viwanda vinavyojiendesha vyenyewe
-mashine automatic za upasuaji
-nguo zinazoweza kukupima ugonjwa na vifaa mbali mbali vya kukuweka salama
-internet zenye kasi kwa kila mtu na sio nchi matajiri tu

Mwaka 2050 pengine wajukuu zetu wataandika Nokia ni dead company imeachana na utengenezaji wa magari yanayojiendesha yenyewe.

Anaejua anajua tu mkuu, miaka 150 ya Nokia si jambo dogo na list ya uvimbuzi wao wachache wanaweza ku compete.

Subiri 2020 utaona power of 5g, tukiwa hai.
 
1. Hio 6gb ram kuijaza ni rahisi sana mkuu sina simu ya 6gb ram hapa ningekuonesha kwa vitendo ila kama una acess nayo hapo apps hizi zinaweza.
-download app yoyote inayokuwezesha ku run multiple instance of app mfano kuwa na whatsapp mbili, insta mbili, facebook mbili etc. App hizo ni kama secure folder inayokuja na samsung yenyewe ama parallel space. Technically unakuwa na kama simu mbili. Mimi simu yangu ina 3GB ram kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni fulani hivyo simu yangu nikaigawanya mara 3, ndani ya simu moja nina maeneo matatu kama ifuatavyo.
-sehemu ya kwanza personal kuna whatsapp yangu ya kila siku na app zangu kama mtu mwengine.
-sehemu ya pili ya biashara, whatsapp ya kazini, insta ya kazini etc
-sehemu ya tatu ya michezo vitu vyangu kama magames na test zangu mwenyewe.

Hayo ni matumizi ya kawaida tu ila simu yangu ilikuwa slow sana, ni kama simu 3 ndani ya simu moja, 6gb ram ingesaidia japo nayo haitoshi pengine 8gb ram kuendelea ingenifaa zaidi.

Kwa wale wanaotumia virtual box kwenye pc wanaelewa kiasi gani inademand ram, same here.

Pia kama unataka ku extract url kwenye streaming service inakula sana resource, inategemea na ugumu utaokutana nao. Utahitaji kuanza kustream, uwe na url snooper, uwe na text editor, sometime hex editor, kuwe na media player, sometime ssl decrypter inahitaji kurun kama vpn etc vyote hivi virun at same time, natumia s5 kufanya hii kazi na inakuwa slow na moto sana kwa hii kazi.

Simu karibia zote zinazorun android 6 kupanda zina option ya unlimited user account, theoretically unaweza tumia hata ram gb 120 na zaidi.

2. Issue ya kucopy naona bado upo enzi za s2 kipindi kile cha icons na round corner, tupo 2018 sasa hivi hebu nitajie miaka 3 iliopita samsung kacopy nini na nini toka Apple? Maana simu kama iphone x almost kila unachogusa Apple kamcopy samsung na Oems wengine wa Android.

Unakumbuka maneno ya steve job? Alisema hakuna mtu atakaenunua simu kubwa, na sasa Apple wanaramba matapishi
Steve Jobs Turned Out To Be Completely Wrong About The Key Reason People Like The iPhone

Mambo mengi kati ya 10 niliokutajia juu Apple walikuwa wakiyapinga ila sasa wao ndio vimbele mbele wa kucopy, kifupi hawana innovation wanafata tu trend za watu, dual sim, vioo vikubwa, edge to edge display, fast charge, water proof, high resolution, oled na trend kibao.

3. Kuhusu game, lete video inayoonyesha setting zilizotumika simu zote mbili, by default samsung ina 2k screen hivyo kwenye native resolution itakuwa slow kuliko simu ya 1080p ama 720p hivyo nataka video inayoonyesha setting sawa maybe zote kwenye 720p halafu ueke hapa.

4. Kuhusu efficiency.
Sasa mkuu nimekuekea video tena toka kwa fans mkubwa wa Apple anakiri mwenyewe samsung ipo faster kuliko iphone, at same time iphone ina processor yenye nguvu kushinda samsung. Hebu jiulize

processor yenye nguvu inarun vitu slow na processor isio na nguvu ina run vitu fast je ipi ni efficient?

Jibu ni rahisi tu ila unapenda tu uzunguke uzunguke, fans wenzako wa Apple wanakubali we endelea kutafuta visingizio.

5. Kuhusu Nokia mkuu its far from dead company, Ni network manufacture mkubwa duniani, ngoja nikupe point kadhaa kukufumbua macho.
1. Kampuni ya Apple inamtegemea Nokia kununua vifaa vyake vyote vya network
2. Karibia mitandao yote duniani yenye kasi zaidi inanunua network equipments toka Nokia, mfano vodacom Tanzania ina achieve 50mbps kwenye 3rd world country kama Tanzania kitu ambacho ni above average ya 40mbps ya dunia.
3. Robot manage robot, Nokia ana kiwanda pekee duniani ambacho kinafanya kazi na marobot tu, kuna hadi marobot mafundi yanayotengeneza marobot wenzao wakiharibika, kifupi kiwanda kinafanya kazi chenyewe tu.
4. Nokia ni pioneer wa 5g na ameshatangaza atacharge dola 3 kwa kila kifaa kitacho run 5g, hivyo around shilingi 7000 kwa kila simu, ununue iphone ununue tecno ununue kishkwambi kama kina 5g utawalipa tu.
5. Nokia karibuni ameinunua Alcatel lucent kwa dola bilioni 16 ni moja kati ya manunuzi makubwa duniani upande wa tech. Zaidi ya trilioni 30 za kitanzania.

Sidhani kama hizo activity ni za dead company mkuu. Hapo sijataja licence hata moja, huuzi simu ulaya au marekani bila Nokia kugonga hodi kila kampuni ya simu unayoitaja Wanamlipa nokia.

Na jamaa wana maabara kubwa za kitafiti kuna innovation kubwa sana wanafanya miaka ya karibuni toka maabara kama bell labs.

Unafahamu Nokia anatengeneza hadi nyambizi za chini ya maji?
Duuuu hii ni hatari boss
 
Sijamaanisha hivi, una simu ya android ya kisasa hapo? Ina ram gb ngapi? Unaweza jaribu eka apps kadhaa kwenye parallel space? App ipo playstore


Hio ni opinion yako sababu wewe huwezi tumia simu yako usisingizie watu wote hawajui kutumia simu zao kama wewe.


Ios hii hii iliopitwa na samsung kwenye kuedit video ama kuna ios nyengine? Na hio menu ya kuangalia management ya ram ni ipi? Maana ninavyofahamu ios haina true multitasking hivyo uki exit app nayo ina hibernate ile app hivyo haina haja ya kumanage hizo apps sababu haziwi open unapo switch baina ya app. Imetengenezwa kwa watu wasio na matumizi makubwa. Hapa nikikupa ka task kadogo tu ufanye kwenye ios yako inayofanywa na kasimu kadogo ka android itachemka.




Ram haziwekwi tu kama unapanga mabox, mpaka kutokee breakthrough technology ya kuwezesha kuwekwa ndio itawekwa, si samsung tu makampuni yote hayana hio ram.


Mbona nimemjibu post ya kwanza kwamba apple ndio wana cpu yenye nguvu zaidi duniani? Japo wana processor yenye nguvu zaidi duniani ila simu zao bado zinapitwa na simu zenye procesor dhaifu ila wafia tunda wanatetea? Japo site kubwa za fans wa apple zimekubali simu zao sio fast tena ila kuna fan wao Tanzania hakubali yeye japo hajawahi tumia hizo iphone x na s9.



Si lazima iwe software ya virtual box ila virtual enviroment yoyote inakula ram vya kutosha na android app za design hio zipo kibao. Vitu kama hivi huwezi vikuta store ya Apple.



Nikukumbushe tu maybe umesahau
-galaxy s2 na s2 plus
-galaxy core na core plus
-s5 na s5 plus etc

Kila mwaka kuanzia 2011 samsung anatoa model na plus yake, leo hii ni samsung anamcopy apple kwenye plus model? Ndio maana fans wa apple mnaitwa isheep




Nimekwambia lete video zinazoonesha setting na quality iliotumika unaleta video zako zisizo na kichwa wala miguu.

Kama mtengeneza game mwenyewe epic amekiri kuna tatizo na lag kwenye fortinite ios version wewe nani kushindana na mtengeneza game mwenyewe? Au aliotengeneza game halijui game lake mwenyewe?



Nioneshe sehemu moja tu hapo juu ulipotaja simu? Umezungumzia nokia as company nimekujibu huna hoja unahamia kwenye simu?

Kama nokia ameuza department yake ya simu why atengeneze simu? Atatengeneza na nini?

Nokia ni mama wa ubunifu wakati watu wanahangaika na mambo mengine yeye na kampuni wenzake wa ulaya kama Ericson na Siemens waligundua internet ya Kasi ya 3g na kuiunda simu kama ilivyo. Ikague iphone yako imejaa technology za nokia mwanzo mwisho. Hadi kuscroll unaposoma hii page ni Technology ilio licence toka Nokia. Ndio maana nokia Akikohoa tu Apple ana surender na kulipa matrilioni ya hela.

Wakati makampuni mengine yakishindana kutoa simu zenye technology za zamani za nokia, kampuni mama ya Nokia ipo busy kugundua mambo mapya,
-magari yanayojiendesha yenyewe
-viwanda vinavyojiendesha vyenyewe
-mashine automatic za upasuaji
-nguo zinazoweza kukupima ugonjwa na vifaa mbali mbali vya kukuweka salama
-internet zenye kasi kwa kila mtu na sio nchi matajiri tu

Mwaka 2050 pengine wajukuu zetu wataandika Nokia ni dead company imeachana na utengenezaji wa magari yanayojiendesha yenyewe.

Anaejua anajua tu mkuu, miaka 150 ya Nokia si jambo dogo na list ya uvimbuzi wao wachache wanaweza ku compete.

Subiri 2020 utaona power of 5g, tukiwa hai.
Many things to learn from you
 
Sijamaanisha hivi, una simu ya android ya kisasa hapo? Ina ram gb ngapi? Unaweza jaribu eka apps kadhaa kwenye parallel space? App ipo playstore


Hio ni opinion yako sababu wewe huwezi tumia simu yako usisingizie watu wote hawajui kutumia simu zao kama wewe.


Ios hii hii iliopitwa na samsung kwenye kuedit video ama kuna ios nyengine? Na hio menu ya kuangalia management ya ram ni ipi? Maana ninavyofahamu ios haina true multitasking hivyo uki exit app nayo ina hibernate ile app hivyo haina haja ya kumanage hizo apps sababu haziwi open unapo switch baina ya app. Imetengenezwa kwa watu wasio na matumizi makubwa. Hapa nikikupa ka task kadogo tu ufanye kwenye ios yako inayofanywa na kasimu kadogo ka android itachemka.




Ram haziwekwi tu kama unapanga mabox, mpaka kutokee breakthrough technology ya kuwezesha kuwekwa ndio itawekwa, si samsung tu makampuni yote hayana hio ram.


Mbona nimemjibu post ya kwanza kwamba apple ndio wana cpu yenye nguvu zaidi duniani? Japo wana processor yenye nguvu zaidi duniani ila simu zao bado zinapitwa na simu zenye procesor dhaifu ila wafia tunda wanatetea? Japo site kubwa za fans wa apple zimekubali simu zao sio fast tena ila kuna fan wao Tanzania hakubali yeye japo hajawahi tumia hizo iphone x na s9.



Si lazima iwe software ya virtual box ila virtual enviroment yoyote inakula ram vya kutosha na android app za design hio zipo kibao. Vitu kama hivi huwezi vikuta store ya Apple.



Nikukumbushe tu maybe umesahau
-galaxy s2 na s2 plus
-galaxy core na core plus
-s5 na s5 plus etc

Kila mwaka kuanzia 2011 samsung anatoa model na plus yake, leo hii ni samsung anamcopy apple kwenye plus model? Ndio maana fans wa apple mnaitwa isheep




Nimekwambia lete video zinazoonesha setting na quality iliotumika unaleta video zako zisizo na kichwa wala miguu.

Kama mtengeneza game mwenyewe epic amekiri kuna tatizo na lag kwenye fortinite ios version wewe nani kushindana na mtengeneza game mwenyewe? Au aliotengeneza game halijui game lake mwenyewe?



Nioneshe sehemu moja tu hapo juu ulipotaja simu? Umezungumzia nokia as company nimekujibu huna hoja unahamia kwenye simu?

Kama nokia ameuza department yake ya simu why atengeneze simu? Atatengeneza na nini?

Nokia ni mama wa ubunifu wakati watu wanahangaika na mambo mengine yeye na kampuni wenzake wa ulaya kama Ericson na Siemens waligundua internet ya Kasi ya 3g na kuiunda simu kama ilivyo. Ikague iphone yako imejaa technology za nokia mwanzo mwisho. Hadi kuscroll unaposoma hii page ni Technology ilio licence toka Nokia. Ndio maana nokia Akikohoa tu Apple ana surender na kulipa matrilioni ya hela.

Wakati makampuni mengine yakishindana kutoa simu zenye technology za zamani za nokia, kampuni mama ya Nokia ipo busy kugundua mambo mapya,
-magari yanayojiendesha yenyewe
-viwanda vinavyojiendesha vyenyewe
-mashine automatic za upasuaji
-nguo zinazoweza kukupima ugonjwa na vifaa mbali mbali vya kukuweka salama
-internet zenye kasi kwa kila mtu na sio nchi matajiri tu

Mwaka 2050 pengine wajukuu zetu wataandika Nokia ni dead company imeachana na utengenezaji wa magari yanayojiendesha yenyewe.

Anaejua anajua tu mkuu, miaka 150 ya Nokia si jambo dogo na list ya uvimbuzi wao wachache wanaweza ku compete.

Subiri 2020 utaona power of 5g, tukiwa hai.

https://www.quora.com/Why-are-iPhone-processors-more-efficient-and-faster-than-Android-phones

iOS is twice as memory-efficient as Android. Here's why. | Cult of Mac

How much RAM does a smartphone actually need? We asked the experts

Kama mtengeza game mwenyewe amesolve hio lag bila ya kuhitaji any additional hardware in the phone, wewe nani ata uilaumu Apple? Yaani matatizo yapo kwenye code yako mwenyewe lakini una blame specs za iPhone? kituko icho.

8Gb of rams pia haiwezekani kuwekwa?

We have been discussing about Smartphones and and their specs from the beginning, we have never been discussing which company manufacture what and what :D.
You had to use your last card kwenye Nokia. Why should they make smartphones if they can't compete? :D kabla hawajauza the phone department mbona walishindwa njiani?

Last but not least;

Here is a snapshot, of the most innovative, creative, the mother of all mobile tech as you like to call them. The company that every phone manufacturer MUST knock on their door, the company behind the fastest internet connectivity, the company that is laughing at other smartphones manufacturer for using its OLD TECHNOLOGIES, the company that is so developed that it has one of the biggest Lab, has a Robot manage Robot factory, that is involved in building submarines.... this is no other Company but Nokia, and here is how much it is worth;

Nokia price.PNG


And here below, is a company that copies everything, not innovative at all, fast but slow,not creative at all, only few products, they dont make chips, they dont own technology, they are nothing comparing to Apple.

Apple price.PNG
 
Mkuu, opening 2 apps you seriously need 6GB of rams? Seriously kabisa, ukifungua Youtube, halafu na whatsapp, you need 6GB of Rams? 6GB of rams? Hii tecno k8 can do that with 1GB of ram. Kama you need 6GB of rams to multi task between Whatsapp na youtube (Only 2 apps at Once) you need 6GB of rams, then hilo ni tatizo la memory management, its so poor!

Nimecheki game ya fortnite on iphone X na Samsung S9+, guess what, Iphone X outperformed the new samsung s9plus. The game was smooth not like you said it, and the sa9plus was lagging a bit. the graphics nimeona have more detail in X than in something (may be fortnite dev made the graphics in X better sijui) All phones were running without any apps running on the bakcground and were put in higher settings. Just imagine a 3 GB of rams outperfoming those 6GB of rams, how many free rams Fortnite had in S9Plus? Lets be realistic mkuu. I know every company is trying to catch up in terms of perfomance and power, their solution? lets put more processing power than iphone, wanasahau kama they need to work on the management ya hio power. Ndio maana mpaka sasa IOS ni efficient.

Nguvu inahitajika, sijakataa, lakini dont waste resources! hio ni my main point. Kuna mchina jina limenitoka, anakuja na 10GB of rams.... niseme tu, these are used for marketing purpose.


Usiseme mbona na nyie, sema mbona apple. mimi sio ninaetengeza wala kuchangia kutoa wazo wakalisikia apple. Yes, 3d Touch wamisimamisha, it failed, lakini sijaona a place where they brag about it and bashing Samsung. Unayaona matangazo ya samsung lakini? at the begining unaona samsung are geniuses, at the end, you see how fool they are! cant imagine in the modern day world una brag your S4 can switch on a TV..... really?

Halafu unaniangusha sana wewe Chief kuja kusema kuwa Apple anamcopy samsung na kununua vifaa kwake. My god, unataka tuzungumze kuhusu copying? How much Samsung paid for copying in fine? Yaani going on a big screen now unasema Apple copied Samsung? Samsung amethubutu mpaka kucopy design kabisa ya muonekano wa simu ya iphone,. refer to the first galaxies. They were acting like chinese cheap manufacturers trying to mimicking iPhone and lure customers.

Ndio Apple ananunua vifaa kwa samsung, kwani hujui kama Apple hata hio SoC hatengezi yeye? Apple ana design nini anataka, ARM wanamtengezea, what is the big deal about it? Apple hawanunui ready made SoC, they designed it themselves. Why would samsung go to Qualcomm wakati wao wenyewe pia wanatengeza chips? LCD is available in Iphone xr mkuu. Also, its an option which any company can choose to go for.

Chief kiukweli unanilet down hasa kwenye kioo, yaani unasema Apple anamcopy na hataki tena LCD, wakati still anatumia LCD kwenye Xr. Ni sawa na kusema, aaah, simu za mezani sasa zinacopy simu za mkononi kuwa na display. Sio copying, mahitaji ya kile kitu na uwepo wake. LED ipo zammaaaaaani. Apple sasa ivi akaona ahamie kwenye hizo LED.


Sawa, lakini haimaanishi upoteze resources.

Photoshop inaweza ikataka 100 GB rams hasa, lakini ZINATUMIKA. IPO NA FULL FEATURES. Huwezi kunambia kuwa Adobe photoshop kwenye samsung s9 plus inahitaji 3gb of rams free, just to add filters and export the picture! kituko hichi.



On this subject, all i know is Samsung is at 2.8GHZ while X is at 2.5 GHZ, it is my expectation that Samsung/SNapdragon to outperform A11 chip.


Apple anatumia the same, big LITTLE, 2 powerful and 4 high efficiency cores, where as Samsung ana 4 high perfomance and 4 high efficiency.



Kwaio unakiri kuwa, IOS/Apple is efficient? Because when it needs the power, it calls all 6 processors to work, while when Samsung needs the power, only 4 cores work and the other 4 are just chilling instead of helping the other ones!!!

Kuhusu Multi tasking kwenye ios, for me personal its not a big deal, i want to watch youtube videos on a nice sized screen, and not to shrink it in a 5.8 inch display because i want to chat in whatsapp or browse at the same time. That thing should be implemented in Tablets! where the display is big.
Nimesoma hii comment yako nikajikuta nacheka tu, ila kwa kuwa chief ni mbishi we subiri
 
Mkuu nimekuuliza huko kwenu ni tarehe ngapi? Maana naona tena hapo link ya 2014, yaani data za kipindi hichoo unataka tuendelee tu kuzitumiampaka leo hata kama hazina maana. Hakuna mtu asiejua kuwa android ya zamani ilikuwa ina lag.

Ningependa ulete comparison ya 2018 maana mongoose ndio inatumika kwenye simu zao mpya. .

Kama mtengeza game mwenyewe amesolve hio lag bila ya kuhitaji any additional hardware in the phone, wewe nani ata uilaumu Apple? Yaani matatizo yapo kwenye code yako mwenyewe lakini una blame specs za iPhone? kituko icho.
Siku zote unaweza uka solve game kwa kupunguza quality, tukiona hio update tutajua wamesolve vipi.

Kwenye games kuna resolution, texture, shadow etc hivi vitu ukivupunguza quality basi game linademand kidogo.

Mfano unakuta mtu anaunua computer ya milioni 10 ili acheze games kwa 4k at maximum setting na bado unakuta anapata fps chini ya 60

At same time kuna mtu ana computer ya laki 3 game hilo hilo analicheza kwa 60fps ila kwa 480p perfomance yake ni kubwa zaidi kuliko huyo wa milioni 10.

Ndio maana nakusisitizia ulete setting gani zimetumika kwenye comparison zako ni muhimu sana kwenye games. Ndio maana proffesional yoyote anaereview games youtube lazima aoneshe hivyo vitu,

8Gb of rams pia haiwezekani kuwekwa?
Inawezekana ila samsung sio mtu wa quantity over quality kama 6Gb ram ipo faster zaidi ya 8Gb basi wataeka 6gb. Ukumbuke Gpu ya simu inashare ram na simu hivyo umuhimu wa ram zenye speed ni mkubwa zaidi.

We have been discussing about Smartphones and and their specs from the beginning, we have never been discussing which company manufacture what and what :D.
You had to use your last card kwenye Nokia. Why should they make smartphones if they can't compete? :D kabla hawajauza the phone department mbona walishindwa njiani?
Hio ilikuwa ni decision ya Elop na conspirancy theory zake. Ila 2011 miaka 2 kabla ya kuuzwa nokia aliweka rekodi ya dunia simu zaidi ya milioni 500 aliuza na mpaka leo hakuna kampuni yoyote si samsung wala Apple alieifikia. Na hata hizo lumia ambazo zilikuwa zinarudishwa nyuma na microsoft Nokia aliziwezesha kuuza hadi 10 milion kwa robo mwaka, mauzo ya Nokia yalianza kushuka wakati kampuni ipo mikononi mwa microsoft ndio lumia zikawa haziuzi ila kipindi cha Nokia mauzo ya lumia yalikuwa kwenye upward trend ukitaka data naweza kukukusanyia.

Last but not least;

Here is a snapshot, of the most innovative, creative, the mother of all mobile tech as you like to call them. The company that every phone manufacturer MUST knock on their door, the company behind the fastest internet connectivity, the company that is laughing at other smartphones manufacturer for using its OLD TECHNOLOGIES, the company that is so developed that it has one of the biggest Lab, has a Robot manage Robot factory, that is involved in building submarines.... this is no other Company but Nokia, and here is how much it is worth;

View attachment 868811

And here below, is a company that copies everything, not innovative at all, fast but slow,not creative at all, only few products, they dont make chips, they dont own technology, they are nothing comparing to Apple.

View attachment 868812

By your logic
-bakhresa na mo dewji ndio wasomi na wavumbuzi wakubwa kushinda wote Tanzania. Wana hela kushinda hadi mpemba aliegundua maji ya moto yanaganda upesi.

-Bill gate, mmiliki wa amazon nao ni wakali kushinda kina Einsten, Newton, etc maana hawa jamaa hawana hela kama kina bill gate, na Mansa musa ndio alikuwa mwaanasayansi bora kushinda wote maana yeye ndio tajiri mkubwa zaidi kupata kutokea historia ya sasa inavyojua.

Kuwa na hela na kugundua vitu kuna mahusiano gani? Kuna watu masikini na wanagundua vitu. Nokia inaendeshwa na passion za kifinland na scandnavia huwezi fananisha na mabepari wa magharibi, wana research centre karibia vyuo vyote vikubwa duniani, wanaprovide facility za kutosha sometime bure kabisa kwa wanasayansi mbali mbali duniani, ndio maana hata mtu akigundua kitu yupo radhi aende kampuni isiyo na hela nyingi ya nokia kuliko kwenda kampuni itakayompotezea kipaji chake. Mfano angalia mgunduzi wa graphene, dunia nzima inamtaka ila kaichagua Nokia kushirikiana nao.

Na kuhusu hizo hisa, umechemka ndugu, hisa haziangaliwi kwa namba tu sababu hio ni dola 223 na nyengine dola 4 eti basi hizi ni nzuri kushinda hizi.

Hizo za Nokia hapo zipo kwenye Euro uki convert dola ni kama 5.5 usd.

Mwaka 2012 kabla kampuni haijashuka hisa za nokia zilishuka hadi dola 2.11 tu assume hapa mtu alinunua hisa za milioni 1 kote Nokia na apple.

July 2012 hisa za milioni 1 kwa 2.11 Nokia
Sept 2018 hisa zimekuwa 5.5

Hivyo ile milioni 1 sasa hivi inakuwa milioni 2.6 thamani yake.

At same time ya Apple ilikuwa dola 83 na sasa 223 kama ulivyoweka

Ile milioni 1 itakuwa 2.68

Hivyo unaona hapo advantage ni ndogo sana compare na hizo figure za euro 4 na dola 223.

Nikupe mfano mzuri zaidi share za amazon ni dola 1970 sasa hivi, zaidi ya mara 8 ya apple, je amazon ni kubwa na inafanya vizuri mara 8 ya Apple? Jibu unalo nafikiri.
 
Mkuu nimekuuliza huko kwenu ni tarehe ngapi? Maana naona tena hapo link ya 2014, yaani data za kipindi hichoo unataka tuendelee tu kuzitumiampaka leo hata kama hazina maana. Hakuna mtu asiejua kuwa android ya zamani ilikuwa ina lag.

Ningependa ulete comparison ya 2018 maana mongoose ndio inatumika kwenye simu zao mpya. .


Siku zote unaweza uka solve game kwa kupunguza quality, tukiona hio update tutajua wamesolve vipi.

Kwenye games kuna resolution, texture, shadow etc hivi vitu ukivupunguza quality basi game linademand kidogo.

Mfano unakuta mtu anaunua computer ya milioni 10 ili acheze games kwa 4k at maximum setting na bado unakuta anapata fps chini ya 60

At same time kuna mtu ana computer ya laki 3 game hilo hilo analicheza kwa 60fps ila kwa 480p perfomance yake ni kubwa zaidi kuliko huyo wa milioni 10.

Ndio maana nakusisitizia ulete setting gani zimetumika kwenye comparison zako ni muhimu sana kwenye games. Ndio maana proffesional yoyote anaereview games youtube lazima aoneshe hivyo vitu,


Inawezekana ila samsung sio mtu wa quantity over quality kama 6Gb ram ipo faster zaidi ya 8Gb basi wataeka 6gb. Ukumbuke Gpu ya simu inashare ram na simu hivyo umuhimu wa ram zenye speed ni mkubwa zaidi.


Hio ilikuwa ni decision ya Elop na conspirancy theory zake. Ila 2011 miaka 2 kabla ya kuuzwa nokia aliweka rekodi ya dunia simu zaidi ya milioni 500 aliuza na mpaka leo hakuna kampuni yoyote si samsung wala Apple alieifikia. Na hata hizo lumia ambazo zilikuwa zinarudishwa nyuma na microsoft Nokia aliziwezesha kuuza hadi 10 milion kwa robo mwaka, mauzo ya Nokia yalianza kushuka wakati kampuni ipo mikononi mwa microsoft ndio lumia zikawa haziuzi ila kipindi cha Nokia mauzo ya lumia yalikuwa kwenye upward trend ukitaka data naweza kukukusanyia.



By your logic
-bakhresa na mo dewji ndio wasomi na wavumbuzi wakubwa kushinda wote Tanzania. Wana hela kushinda hadi mpemba aliegundua maji ya moto yanaganda upesi.

-Bill gate, mmiliki wa amazon nao ni wakali kushinda kina Einsten, Newton, etc maana hawa jamaa hawana hela kama kina bill gate, na Mansa musa ndio alikuwa mwaanasayansi bora kushinda wote maana yeye ndio tajiri mkubwa zaidi kupata kutokea historia ya sasa inavyojua.

Kuwa na hela na kugundua vitu kuna mahusiano gani? Kuna watu masikini na wanagundua vitu. Nokia inaendeshwa na passion za kifinland na scandnavia huwezi fananisha na mabepari wa magharibi, wana research centre karibia vyuo vyote vikubwa duniani, wanaprovide facility za kutosha sometime bure kabisa kwa wanasayansi mbali mbali duniani, ndio maana hata mtu akigundua kitu yupo radhi aende kampuni isiyo na hela nyingi ya nokia kuliko kwenda kampuni itakayompotezea kipaji chake. Mfano angalia mgunduzi wa graphene, dunia nzima inamtaka ila kaichagua Nokia kushirikiana nao.

Na kuhusu hizo hisa, umechemka ndugu, hisa haziangaliwi kwa namba tu sababu hio ni dola 223 na nyengine dola 4 eti basi hizi ni nzuri kushinda hizi.

Hizo za Nokia hapo zipo kwenye Euro uki convert dola ni kama 5.5 usd.

Mwaka 2012 kabla kampuni haijashuka hisa za nokia zilishuka hadi dola 2.11 tu assume hapa mtu alinunua hisa za milioni 1 kote Nokia na apple.

July 2012 hisa za milioni 1 kwa 2.11 Nokia
Sept 2018 hisa zimekuwa 5.5

Hivyo ile milioni 1 sasa hivi inakuwa milioni 2.6 thamani yake.

At same time ya Apple ilikuwa dola 83 na sasa 223 kama ulivyoweka

Ile milioni 1 itakuwa 2.68

Hivyo unaona hapo advantage ni ndogo sana compare na hizo figure za euro 4 na dola 223.

Nikupe mfano mzuri zaidi share za amazon ni dola 1970 sasa hivi, zaidi ya mara 8 ya apple, je amazon ni kubwa na inafanya vizuri mara 8 ya Apple? Jibu unalo nafikiri.
Bruv, this is the mic drop to end all mic drops. We from Geekopolis, we are proud of you, son!.
 
Mkuu nimekuuliza huko kwenu ni tarehe ngapi? Maana naona tena hapo link ya 2014, yaani data za kipindi hichoo unataka tuendelee tu kuzitumiampaka leo hata kama hazina maana. Hakuna mtu asiejua kuwa android ya zamani ilikuwa ina lag.

Ningependa ulete comparison ya 2018 maana mongoose ndio inatumika kwenye simu zao mpya. .
Kwani mie lengo langu ni kukuonesha Lag ama kukuonesha which os has a better memory management? halafu mbona kuna link ya Aug 2017 apo ya Quora inazngumzia same issue? au unataka link ya 2018 sept. 17th?

Siku zote unaweza uka solve game kwa kupunguza quality, tukiona hio update tutajua wamesolve vipi.

Kwenye games kuna resolution, texture, shadow etc hivi vitu ukivupunguza quality basi game linademand kidogo.

Mfano unakuta mtu anaunua computer ya milioni 10 ili acheze games kwa 4k at maximum setting na bado unakuta anapata fps chini ya 60

At same time kuna mtu ana computer ya laki 3 game hilo hilo analicheza kwa 60fps ila kwa 480p perfomance yake ni kubwa zaidi kuliko huyo wa milioni 10.

Ndio maana nakusisitizia ulete setting gani zimetumika kwenye comparison zako ni muhimu sana kwenye games. Ndio maana proffesional yoyote anaereview games youtube lazima aoneshe hivyo vitu,
Sasa unapotengeza game kwa ajili ya Mobile unategemea uweke kila kitu kama kwenye PC? lazima uzingatie kuwa PC na Mobile sio sawa,haijaalishi specs utakazoweka, PC ina njia ya ku cool system ila mobile uombe mungu tu. Kwaio unapotengeza game ambalo linademand more power, make sure the device can handle that power sio tu kama in ram 10gb au ngapi lazima utizame na vitu vengine.

Inawezekana ila samsung sio mtu wa quantity over quality kama 6Gb ram ipo faster zaidi ya 8Gb basi wataeka 6gb. Ukumbuke Gpu ya simu inashare ram na simu hivyo umuhimu wa ram zenye speed ni mkubwa zaidi.
Sasa samsung akiwa haja opt kwa more specs inakuwa Quality over Quantity, lakini Apple akiwa hajaopt kwa higher specs inakuwa kesi nyengine? Note 9 ina 8Gb of rams, kwa mujibu wa staement yako ni kuwa Samsung sasa ameenda for Quantity rather than Quality.

Hio ilikuwa ni decision ya Elop na conspirancy theory zake. Ila 2011 miaka 2 kabla ya kuuzwa nokia aliweka rekodi ya dunia simu zaidi ya milioni 500 aliuza na mpaka leo hakuna kampuni yoyote si samsung wala Apple alieifikia. Na hata hizo lumia ambazo zilikuwa zinarudishwa nyuma na microsoft Nokia aliziwezesha kuuza hadi 10 milion kwa robo mwaka, mauzo ya Nokia yalianza kushuka wakati kampuni ipo mikononi mwa microsoft ndio lumia zikawa haziuzi ila kipindi cha Nokia mauzo ya lumia yalikuwa kwenye upward trend ukitaka data naweza kukukusanyia.
Ndio Nokia kauza simu nyingi sana kipindi icho, na alikuwa na simu kali zenye madoido kibao. Kipindi icho mfananishe na Samsung ambae nae alikuwa akitengeza simu za aina hio, akiwa na washindani kama Sony ericson, motorola. Lakini ujio wa ios na android umefuta utawala wa nokia/symbian os. sasa ivi Nokia ni kama Liverpool kwenye mpira, anaringia historia tu. Nokia sasa ivi haiwezi kushindana kwenye smartphone industry, na sijafahamu kwanini nokia hakohoi Apple akapukutishwa matrilioni kama unavosema.

By your logic
-bakhresa na mo dewji ndio wasomi na wavumbuzi wakubwa kushinda wote Tanzania. Wana hela kushinda hadi mpemba aliegundua maji ya moto yanaganda upesi.

-Bill gate, mmiliki wa amazon nao ni wakali kushinda kina Einsten, Newton, etc maana hawa jamaa hawana hela kama kina bill gate, na Mansa musa ndio alikuwa mwaanasayansi bora kushinda wote maana yeye ndio tajiri mkubwa zaidi kupata kutokea historia ya sasa inavyojua.

Kuwa na hela na kugundua vitu kuna mahusiano gani? Kuna watu masikini na wanagundua vitu. Nokia inaendeshwa na passion za kifinland na scandnavia huwezi fananisha na mabepari wa magharibi, wana research centre karibia vyuo vyote vikubwa duniani, wanaprovide facility za kutosha sometime bure kabisa kwa wanasayansi mbali mbali duniani, ndio maana hata mtu akigundua kitu yupo radhi aende kampuni isiyo na hela nyingi ya nokia kuliko kwenda kampuni itakayompotezea kipaji chake. Mfano angalia mgunduzi wa graphene, dunia nzima inamtaka ila kaichagua Nokia kushirikiana nao.
My logic is, while you are bragging of what you can do, others are doing it.

We jisifie una milioni mia kabatini wakati wenzako zao wanazizungusha na kupata faida. Utaishia kusema nilikuwa tajiri kuliko wao.....

Hizo za Nokia hapo zipo kwenye Euro uki convert dola ni kama 5.5 usd.

Mwaka 2012 kabla kampuni haijashuka hisa za nokia zilishuka hadi dola 2.11 tu assume hapa mtu alinunua hisa za milioni 1 kote Nokia na apple.

July 2012 hisa za milioni 1 kwa 2.11 Nokia
Sept 2018 hisa zimekuwa 5.5

Hivyo ile milioni 1 sasa hivi inakuwa milioni 2.6 thamani yake.

At same time ya Apple ilikuwa dola 83 na sasa 223 kama ulivyoweka

Ile milioni 1 itakuwa 2.68

Hivyo unaona hapo advantage ni ndogo sana compare na hizo figure za euro 4 na dola 223.

Nikupe mfano mzuri zaidi share za amazon ni dola 1970 sasa hivi, zaidi ya mara 8 ya apple, je amazon ni kubwa na inafanya vizuri mara 8 ya Apple? Jibu unalo nafikiri.
Hisa 1 ilikuwa $2.11 Nokia, kwaio hisa Milioni moja itakuwa $2,110,000.

Za Apple ilikuwa $83 per share. Ili umiliki share milioni 1 basi uwe na $83,000,000.

Mwaka 2018, ukitaka kuuza share zako za Nokia kwa bei ya $5.5 utapata $5,500,000.
Mwaka huo ukitaka kuuza share zako za Apple utapata $223,000,000

Au unataka kunipa somo la shares, maana sijafahamu hesabu zako kidogo.
 
Kwani mie lengo langu ni kukuonesha Lag ama kukuonesha which os has a better memory management? halafu mbona kuna link ya Aug 2017 apo ya Quora inazngumzia same issue? au unataka link ya 2018 sept. 17th?
Video ya juu ilikuwa ina compare s9 na iphone x right? Ovious hiyo tarehe s9 ilikuwa haijatoka.

Sasa unapotengeza game kwa ajili ya Mobile unategemea uweke kila kitu kama kwenye PC? lazima uzingatie kuwa PC na Mobile sio sawa,haijaalishi specs utakazoweka, PC ina njia ya ku cool system ila mobile uombe mungu tu. Kwaio unapotengeza game ambalo linademand more power, make sure the device can handle that power sio tu kama in ram 10gb au ngapi lazima utizame na vitu vengine.
Technology inakuwa kila siku, siku hizi tuna pc fanless na zinapiga mzigo vizuri tu, na jinsi manufacturing technology inavyopungua nanometer ndio jinsi cpu zinavyopungua kupata joto na kufanya kazi kwa ufanisi, unajua kuna laptop za arm sasa hivi zinazotumia processor za simu?
Mfano angalia hii intel compute card
Intel-Compute-Card.jpg

Ukubwa kama credit card lakini ni full pc inaweza run hadi gta v.

Mtu umetoa milioni 2 ama 3 umenunua simu halafu tena zianze excuse kama hizo? Nategemea simu ya bei hio iwe na cooling nzuri, hata isipokua best angalau wajitahidi.



Sasa samsung akiwa haja opt kwa more specs inakuwa Quality over Quantity, lakini Apple akiwa hajaopt kwa higher specs inakuwa kesi nyengine? Note 9 ina 8Gb of rams, kwa mujibu wa staement yako ni kuwa Samsung sasa ameenda for Quantity rather than Quality.
Huwezi ku judge mpaka uangalie reviews za kitaalamu, kama note 9 ina achieve same speed kama 6gb ram ya s9 ama ikiwa na speend nzuri zaidi basi hio ni quality.

Ila kama note 9 ina speed ndogo then ni quantity,

Na apple ana historia ya kutumia vifaa vya quality ndogo. Mfano
-ili kupunguza bei ya modem Apple alianza kutumia modem za intel zenye quality ndogo badala ya za qualcomm zenye quality kubwa. qualcomm alikuwa ni supplier wa zamani wa Apple. Ukiangalia hii move inamfaidisha Apple kama kampuni na kumkandamiza mtumiaji.
Intel iPhone 7 modem suffers slower LTE speeds than Qualcomm version
-bendgate sababu ya kutumia alluminium low quality
-Antenna gate
-Apple maps etc

Kifupi Apple wapo vizuri kwenye kumaximise profit angalia hata mapato yao, tafuta vifaa as cheap as possible kisha uza bei ghali hio ndio formular yao.


Ndio Nokia kauza simu nyingi sana kipindi icho, na alikuwa na simu kali zenye madoido kibao. Kipindi icho mfananishe na Samsung ambae nae alikuwa akitengeza simu za aina hio, akiwa na washindani kama Sony ericson, motorola. Lakini ujio wa ios na android umefuta utawala wa nokia/symbian os. sasa ivi Nokia ni kama Liverpool kwenye mpira, anaringia historia tu. Nokia sasa ivi haiwezi kushindana kwenye smartphone industry, na sijafahamu kwanini nokia hakohoi Apple akapukutishwa matrilioni kama unavosema.
Just to clarify Nokia ameiua symbian kabla Android na ios hazija take over. Wakati Elop anatoa burning memo 2010, Nokia alikuwa anauza simu nyingi kuliko samsung na Apple combined. Decision ya Elop kuiacha symbian 2010 na kutengeneza exclusive windows phone ndio iliosababisha. Naamini symbian ingekuwepo leo still ingeuza mamia ya mamilioni ya simu.

Kai os ni smart feature phone. Naitumia hapa compare na symbian ni inferior ila india tu imeuza simu zaidi ya milioni 30.
nokia-8110-4g-1.jpg

Ndio maana symbian imefungiwa na wamekataa kurelease source code.


My logic is, while you are bragging of what you can do, others are doing it.

We jisifie una milioni mia kabatini wakati wenzako zao wanazizungusha na kupata faida. Utaishia kusema nilikuwa tajiri kuliko wao.....


Hisa 1 ilikuwa $2.11 Nokia, kwaio hisa Milioni moja itakuwa $2,110,000.

Za Apple ilikuwa $83 per share. Ili umiliki share milioni 1 basi uwe na $83,000,000.

Mwaka 2018, ukitaka kuuza share zako za Nokia kwa bei ya $5.5 utapata $5,500,000.
Mwaka huo ukitaka kuuza share zako za Apple utapata $223,000,000

Au unataka kunipa somo la shares, maana sijafahamu hesabu zako kidogo.

Hii pia si hesabu sahihi.

Nimetoa milioni 1 kununua hisa za nokia na kila hisa ni dola 2.11

1,000,000 gawanya 2.11 inamaana nitapata vipande 473,709

Milioni moja kununua hisa za Apple kila hisa ni dola 83

1,000,000 gawanya kwa 83 nitapata vipande 12,048

Sasa chukua

473709 mara stock ya sasa ya 5.5

Na

12048 mara stock ya sasa ya 223
 
58 Reactions
Reply
Back
Top Bottom