The genius62
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 200
- 168
mim nimetumia sana iphone,,,tuu much.. bt naoana most of them ni kama show off tuu..na kufata mkumbo ingali wengi wao hawainjoy coz iphone mahadhi yake ni kutumiwa na watu ambao wanaweza kua na access ya most of its futures..mfano imessege, facetime, podcast, health, ni baadh ya apps zilizopo kwa ios nyingi ambapo ni wachache sana wanatumia,,so unakuta mtu anamiliki iphone bt anaitumia only 40%..iphone ina limitation kibao na nyingi kuna baadhi ya apps kwenye appstore hutaweza kuzipata eti mpka wifi...bluetooth sharing,,kupata media kutoka katika tovuti,,ni ngumu ukilinganisha na android,,, interaction yake na pc inahitaji third app kwenye pc ambayo ni itune,,, swala la chaji pia inaubaguzi so inakupasa ubebe chaji pale unapokua mbali au inapokaribia kuisha na unatoka it's so bored ..pia ina faida zake sanasana security,,pia unaonekana na hadhi fulani hivi (nafikiri hii ndo sababu ya wengi kumiliki iphone) ni maoni yangu tuuu😛😛
