Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

iPhone 6s, iPhone SE, na iPhone X ni models ambazo zimekua discontinued.
Kilichonishangaza ni discontinuation ya hii iPhone X ambayo ni ya mwaka jana tu. What's the reason behind wadau?

Wanataka watu wanunue iphone Xs kwa kuwa ni mpya
 
Wanataka watu wanunue iphone Xs kwa kuwa ni mpya
Jibu kama tech enthusiast na si tu kama Apple fanboy!.
Ukweli ni kwamba, Apple wanajua fika hakuna mengi ambayo the new iPhone XS imeizidi the last year X. Na kwa kawaida, inawalazimu (kibiashara) kila model mpya inayotoka wa'dock (kushusha) price ya last year's premium device by at least a $100 ili wateja waweze kuendelea nunua hiyo huku wale "walevi" zaidi wakinunua mpya ambayo ni ghali zaidi.
Sasa kwa kuangalia tu manufacturing cost ya iPhone X ni kubwa compared to iPhone 7 or 8 or 8s, wakishusha bei ili kui'accomodate while haina tofauti sana na the new XS, watakuwa faced na threat ya the X cannibalizing the new XS sales na hasara upande wa ROI on the X. Wateja badala ya kukimbilia kununua XS wataendelea kununua the X (ambayo by then itakuwa imeshushwa bei kwa kiasi flani na kwa close inspection, haina tofauti kubwa yeyote na hii XS).

Tunakoelekea, maendeleo kwenye Artificial Intelligence, IoT, na field zingine zitakuja pelekea smartphones kuwa obsolete i.e. just chunks of old tech by then. Na Apple kwa kujua hilo (na haya ni mawazo yangu) wanaona hakuna muda mzuri wa kumchuna mteja pesa yake kama sasa. Na kwa sababu ya nguvu ya Marketing campaigns zake zinavyowabrainwash wateja wake, hamtakuwa na namna, mtanunua tu (ni kupenda kwenu, ni kilio chenu behind those starry-eyed expressions every time mnaelezea uzuri wa iPhone).
Lakini jiulizeni, kwa mabadiliko gani hasa kwenye hizo device mnakatwa pesa mingi hivyo? Ila ni za kwenu, hata kama utakopa, by the time unasimama kupokea iPhone yako, bado hiyo pesa ni ya kwako.

(Mic dropped)
 
Mauzo yake yapoje au ni kutafta sifa tu, ubora wake ulinganishe na wa samsung uone wap atakaa, camera yake ilivyo ya kijinga, iphone x ya mwaka jana base model yake ilikuwa 1000usd wakat apple ya mwaka huu iphone xMax ni 1049usd, bei ata mimi naweza kurupuka nataka show ya mziki wng iwe juu ya Diamond ili nipate sifa ila haimaanishi mi ni bora kuliko diamond, oppo anasimu nyingi za bei ndogo na ni kampuni kama tecno tu au Xiaomi
Unatoka nje ya mada maana ni kama ulibisha flagship ya Oppo haiuzwi $1000. Ukweli ni kwamba hiyo ndo bei yake, ila suala la value for money ni issue nyingine.

Kila kampuni ina strategies zake na targeted market, na kampuni kuwa na simu za bei ndogo haimaanishi kwamba haiwezi kushindanisha flagship yake na za makampuni mengine. Hata Samsung ana simu za laki mbili.
 
Watu wengi hawafahamu muwa apple ni kampunz yenye nguvu sana kwenye soko lakin haimaanishi ndio simu bora kuliko zote zipo simu hata kwenye soko la kwetu huku hazijafika sababu kwanza zina bei na bora zaid ya Iphone ila wana nguvu ya soko ingia mtandaoni utafute simu zenye ubora na bei kibwa kuliko iphone utaikuta imetupwa mbali tu nyingi zinaeishia america na ulaya.!

Kama ipi????, maana makampuni makali duniani ni apple na sumsung
 
Hii sababu sidhani kama ni yenyewe maana kwenye models zilizopita walikua hawafanyi hivi. Mbona iPhone 7 na 8 series bado zinazalishwa?

Kwa haraka haraka huwezi pata logic kwa hili mkuu ila ndio hivyo.

Fikiria kiwandani tunazalisha x,xs,xs+,xr.wakati huo x ni simu ya mwaka jana,ina muonekano wa sura sawa na wenzie wa mwaka huu,kwa tofauti ya dollar 150,nani atanunua xs na xr????kwa ukibwa wa ram au kitu gani??

Kiuhalisia hapo league ingekuwa kati ya x na xs plus na kuthiri mauzo ya xs na xr.
 
Nilishakueleza hapo juu kwamba havitoshi kuna matumizi kibao ambayo yanahitaji zaidi processor yenye nguvu na ram kubwa, pia kuna vitu kama multitasking vinahitaji as much ram as possible same kwenye emulation.

Kaangalie video za fortinite kote kwenye android na ios game linalag kama halina akili nzuri sababu simu hazina uwezo, then leo hii unasema hizo specs hazihitajiki?

Sababu tu hakuna breakthrough ya technology bado ila nguvu inahitajika zaidi.
Mkuu, opening 2 apps you seriously need 6GB of rams? Seriously kabisa, ukifungua Youtube, halafu na whatsapp, you need 6GB of Rams? 6GB of rams? Hii tecno k8 can do that with 1GB of ram. Kama you need 6GB of rams to multi task between Whatsapp na youtube (Only 2 apps at Once) you need 6GB of rams, then hilo ni tatizo la memory management, its so poor!

Nimecheki game ya fortnite on iphone X na Samsung S9+, guess what, Iphone X outperformed the new samsung s9plus. The game was smooth not like you said it, and the sa9plus was lagging a bit. the graphics nimeona have more detail in X than in something (may be fortnite dev made the graphics in X better sijui) All phones were running without any apps running on the bakcground and were put in higher settings. Just imagine a 3 GB of rams outperfoming those 6GB of rams, how many free rams Fortnite had in S9Plus? Lets be realistic mkuu. I know every company is trying to catch up in terms of perfomance and power, their solution? lets put more processing power than iphone, wanasahau kama they need to work on the management ya hio power. Ndio maana mpaka sasa IOS ni efficient.

Nguvu inahitajika, sijakataa, lakini dont waste resources! hio ni my main point. Kuna mchina jina limenitoka, anakuja na 10GB of rams.... niseme tu, these are used for marketing purpose.

Mbona na nyie pia mnatengeneza useless na gimmick feature? Ipo wapi 3d touch? Imekuja miaka kadhaa sasa hivi imekuwa discontinued kwenye iphone mpya, sasa hivi Apple ndio anamcopy samsung na kununua vifaa kwake, kuanzia misimu yenye kioo kikubwa, lcd hamuitaki tena mnataka oled kama samsung, mnatoa bezel, etc
Usiseme mbona na nyie, sema mbona apple. mimi sio ninaetengeza wala kuchangia kutoa wazo wakalisikia apple. Yes, 3d Touch wamisimamisha, it failed, lakini sijaona a place where they brag about it and bashing Samsung. Unayaona matangazo ya samsung lakini? at the begining unaona samsung are geniuses, at the end, you see how fool they are! cant imagine in the modern day world una brag your S4 can switch on a TV..... really?

Halafu unaniangusha sana wewe Chief kuja kusema kuwa Apple anamcopy samsung na kununua vifaa kwake. My god, unataka tuzungumze kuhusu copying? How much Samsung paid for copying in fine? Yaani going on a big screen now unasema Apple copied Samsung? Samsung amethubutu mpaka kucopy design kabisa ya muonekano wa simu ya iphone,. refer to the first galaxies. They were acting like chinese cheap manufacturers trying to mimicking iPhone and lure customers.

Ndio Apple ananunua vifaa kwa samsung, kwani hujui kama Apple hata hio SoC hatengezi yeye? Apple ana design nini anataka, ARM wanamtengezea, what is the big deal about it? Apple hawanunui ready made SoC, they designed it themselves. Why would samsung go to Qualcomm wakati wao wenyewe pia wanatengeza chips? LCD is available in Iphone xr mkuu. Also, its an option which any company can choose to go for.

Chief kiukweli unanilet down hasa kwenye kioo, yaani unasema Apple anamcopy na hataki tena LCD, wakati still anatumia LCD kwenye Xr. Ni sawa na kusema, aaah, simu za mezani sasa zinacopy simu za mkononi kuwa na display. Sio copying, mahitaji ya kile kitu na uwepo wake. LED ipo zammaaaaaani. Apple sasa ivi akaona ahamie kwenye hizo LED.

Ukiambiwa game linataka 3gb ram haimaanishi simu iwe na 3gb ram bali linamaanisha uwe na free ram 3gb, simu inaweza ikawa na ram 4gb ila free ram ikawa 2gb tu hivyo isirun hilo game.

Na photoshop inategemea unafanya nini inaweza ikahitaji hata 32GB ram ama zaidi si kila kazi ya photoshop inafanana.

Kifupi specs zinahitajika zaidi kuna apps kibao hazifanyi kazi hadi simu zitakavyokuwa na nguvu zaidi.
Sawa, lakini haimaanishi upoteze resources.

Photoshop inaweza ikataka 100 GB rams hasa, lakini ZINATUMIKA. IPO NA FULL FEATURES. Huwezi kunambia kuwa Adobe photoshop kwenye samsung s9 plus inahitaji 3gb of rams free, just to add filters and export the picture! kituko hichi.

Kwanza mkuu usi mistake number of cores na nguvu ya processor, japo Ya Apple ina core 6 ila ina nguvu zaidi ya samsung core 8 atleast kwa benchmark ya geekbench,

On this subject, all i know is Samsung is at 2.8GHZ while X is at 2.5 GHZ, it is my expectation that Samsung/SNapdragon to outperform A11 chip.

Soc zinazotumika kwenye android zinaitumia mfumo wa big little, kunakuwa na core 8, core 4 kubwa zenye nguvu na core 4 ndogo zinazotunza chaji.
Apple anatumia the same, big LITTLE, 2 powerful and 4 high efficiency cores, where as Samsung ana 4 high perfomance and 4 high efficiency.

So simu ya samsung inaporun kitu heavy ni core 4 ndio zinapiga ile kazi.

at same time A11 ina core 6 ambazo zote kwa pamoja zinapiga mzigo. Hivyo Apple anakuwa kwenye advantage simu zikirun kitu heavy

Kwaio unakiri kuwa, IOS/Apple is efficient? Because when it needs the power, it calls all 6 processors to work, while when Samsung needs the power, only 4 cores work and the other 4 are just chilling instead of helping the other ones!!!

Kuhusu Multi tasking kwenye ios, for me personal its not a big deal, i want to watch youtube videos on a nice sized screen, and not to shrink it in a 5.8 inch display because i want to chat in whatsapp or browse at the same time. That thing should be implemented in Tablets! where the display is big.
 
Anaweza kuifungua na kukuta vilivyomo ndani?

Si vinakuwa vimefutika?
Anayetaka kuifunguwa Android na kuzikuta data pia anaweza kufanya hivyo nakuhakikishia kwa 100℅ na ukitaka kuprove njoo tuonane ushangae mwenyewe. Usibet katika hili hata sekunde moja utaliwa pesa yako. Nadhani katika hili I phone wameshinda.

To declare interest hapa natumia Android.
 
b
Jibu kama tech enthusiast na si tu kama Apple fanboy!.
Ukweli ni kwamba, Apple wanajua fika hakuna mengi ambayo the new iPhone XS imeizidi the last year X. Na kwa kawaida, inawalazimu (kibiashara) kila model mpya inayotoka wa'dock (kushusha) price ya last year's premium device by at least a $100 ili wateja waweze kuendelea nunua hiyo huku wale "walevi" zaidi wakinunua mpya ambayo ni ghali zaidi.
Sasa kwa kuangalia tu manufacturing cost ya iPhone X ni kubwa compared to iPhone 7 or 8 or 8s, wakishusha bei ili kui'accomodate while haina tofauti sana na the new XS, watakuwa faced na threat ya the X cannibalizing the new XS sales na hasara upande wa ROI on the X. Wateja badala ya kukimbilia kununua XS wataendelea kununua the X (ambayo by then itakuwa imeshushwa bei kwa kiasi flani na kwa close inspection, haina tofauti kubwa yeyote na hii XS).

Tunakoelekea, maendeleo kwenye Artificial Intelligence, IoT, na field zingine zitakuja pelekea smartphones kuwa obsolete i.e. just chunks of old tech by then. Na Apple kwa kujua hilo (na haya ni mawazo yangu) wanaona hakuna muda mzuri wa kumchuna mteja pesa yake kama sasa. Na kwa sababu ya nguvu ya Marketing campaigns zake zinavyowabrainwash wateja wake, hamtakuwa na namna, mtanunua tu (ni kupenda kwenu, ni kilio chenu behind those starry-eyed expressions every time mnaelezea uzuri wa iPhone).
Lakini jiulizeni, kwa mabadiliko gani hasa kwenye hizo device mnakatwa pesa mingi hivyo? Ila ni za kwenu, hata kama utakopa, by the time unasimama kupokea iPhone yako, bado hiyo pesa ni ya kwako.

(Mic dropped)
mkuu kuweka bei kubwa ni market strategy ya mzungu, hivyo huwezi lalamikia, wenye uwezo waache wamiliki na tusio na uwezo acha tuendelee na tecno
 
Unatoka nje ya mada maana ni kama ulibisha flagship ya Oppo haiuzwi $1000. Ukweli ni kwamba hiyo ndo bei yake, ila suala la value for money ni issue nyingine.

Kila kampuni ina strategies zake na targeted market, na kampuni kuwa na simu za bei ndogo haimaanishi kwamba haiwezi kushindanisha flagship yake na za makampuni mengine. Hata Samsung ana simu za laki mbili.

Mwanzon si umesema ni nzr sana na hatuwez kuzimiliki, nikakwambia ni za kawaida sana na siko kwenye level ya tecno na huawei
 
Jibu kama tech enthusiast na si tu kama Apple fanboy!.
Ukweli ni kwamba, Apple wanajua fika hakuna mengi ambayo the new iPhone XS imeizidi the last year X. Na kwa kawaida, inawalazimu (kibiashara) kila model mpya inayotoka wa'dock (kushusha) price ya last year's premium device by at least a $100 ili wateja waweze kuendelea nunua hiyo huku wale "walevi" zaidi wakinunua mpya ambayo ni ghali zaidi.
Sasa kwa kuangalia tu manufacturing cost ya iPhone X ni kubwa compared to iPhone 7 or 8 or 8s, wakishusha bei ili kui'accomodate while haina tofauti sana na the new XS, watakuwa faced na threat ya the X cannibalizing the new XS sales na hasara upande wa ROI on the X. Wateja badala ya kukimbilia kununua XS wataendelea kununua the X (ambayo by then itakuwa imeshushwa bei kwa kiasi flani na kwa close inspection, haina tofauti kubwa yeyote na hii XS).

Tunakoelekea, maendeleo kwenye Artificial Intelligence, IoT, na field zingine zitakuja pelekea smartphones kuwa obsolete i.e. just chunks of old tech by then. Na Apple kwa kujua hilo (na haya ni mawazo yangu) wanaona hakuna muda mzuri wa kumchuna mteja pesa yake kama sasa. Na kwa sababu ya nguvu ya Marketing campaigns zake zinavyowabrainwash wateja wake, hamtakuwa na namna, mtanunua tu (ni kupenda kwenu, ni kilio chenu behind those starry-eyed expressions every time mnaelezea uzuri wa iPhone).
Lakini jiulizeni, kwa mabadiliko gani hasa kwenye hizo device mnakatwa pesa mingi hivyo? Ila ni za kwenu, hata kama utakopa, by the time unasimama kupokea iPhone yako, bado hiyo pesa ni ya kwako.

(Mic dropped)
Maelezo meengi wakati jibu ni simple tu
Af jiulize kwann mi ni apple funboy na kwann sio android funboy ilihali nimetumia android sana
Kiufupi android siwez iacha na always naitumia kwa kushusha mizigo ya maana kutoka torrents, ila kwenye utamu na smoothness ya kutumia simu hakuna anaemkaribia apple
 
Maelezo meengi wakati jibu ni simple tu
Af jiulize kwann mi ni apple funboy na kwann sio android funboy ilihali nimetumia android sana
Kiufupi android siwez iacha na always naitumia kwa kushusha mizigo ya maana kutoka torrents, ila kwenye utamu na smoothness ya kutumia simu hakuna anaemkaribia apple
Hahaha, Safi sana uko familiar na unakubali both teams.
Nimependa tu hapo "Android Siwezi Icha"

The things we do with Android!

We All good, fam!
 
Back
Top Bottom