Hii ni elimu ya namba(ni pana zaidi kiroho) kwa mfano kama ni saa 7 halafu saa inaandika 1, bhasi chukua 7-1=6(namba ya uasi), kama ni saa 8 ila saa inaandika 2, chukua 8-2=6 ama kama ni saa 10 halafu saa inaandika 4 bhasi chukua 10-4=6 yaani hii inaitwa 666(ikiwakilisha uasi wa mwanadamu anayelazimisha kuabudiwa kama Mungu) =pope, unajua vitu huanzia kutokea ktk ulimwengu wa roho kisha huja ktk ulimwengu halisi, shtuka chukua hatua kwa kumsoma Pope Gregorian X111 kisha utajua jinsi alivyobadili majira, mtafute Bwana ungali hai, barikiwa.