mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Tangu kuanza kujazwa maji katika bwawa la nyerere ni takribani mwaka mmoja umepita, na maendeleo ya ujenzi wa bwawa la nyerere limefikia asilimia takribani 90. Sasa toka maji yameanza kujazwa disemba 2022 maji yameingia mengi mno, na ujazo umefikia mita takribani 160+, hawa google kwanini hawaliweki hili bwawa kwenye picha za gugo earth, ukienda ile sehemu bwawa lilipojengwa unaona picha za zamani sana kiasi cha kwamba nikafikiri inawezekana serikali ya marekani na CIA kiujumla wameamua kuficha picha za sasa hivi za bwawa letu la nyerere.
Watalamu mbalimbali wa Google map na geography kiujumla wanadai zile picha za google huwa zinakuwa updated kila baada ya muda, lakini ndani ya huo muda mimi nilijenga nyumba zangu , ila naziona gugo, sasa wanajamvini maji ya bwawa la nyerere tunayaonaje gugo kama ilivyo kwenye bwawa la mtera ambalo hata ukicheki kwenye gugo earth satellite unaliona.
Kiufupi picha za sasa zinaonesha hamna maji, hawa google wanatuhujumu, angalia picha au nenda gugo map
Watalamu mbalimbali wa Google map na geography kiujumla wanadai zile picha za google huwa zinakuwa updated kila baada ya muda, lakini ndani ya huo muda mimi nilijenga nyumba zangu , ila naziona gugo, sasa wanajamvini maji ya bwawa la nyerere tunayaonaje gugo kama ilivyo kwenye bwawa la mtera ambalo hata ukicheki kwenye gugo earth satellite unaliona.
Kiufupi picha za sasa zinaonesha hamna maji, hawa google wanatuhujumu, angalia picha au nenda gugo map