Mvua nyingi, kwanini bwawa la Stiglers halijai

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Moja kati ya mabwawa makubwa kuwahi kutokea Africa mashariki, man made lake , the Stiglers Gorge dam, au bwawa la Mwalimu Nyerere au Ziwa Nyerere kutokana na ukubwa wake.

Bwawa hili mpaka kujaa linatakiwa kufika MITA 186 kutoka usawa wa bahari, Cha ajabu pamoja na mageti kufungwa December 2022 mpaka Leo ujazo umefikia MITA 166.6. Nashangaa kwanini bwawa halijai haraka na Sasa hivi tumepata mvua nyingi kuliko kawaida. Je maji yanafunguliwa ni mengi sana.

Kwanza maji yamejaa lakini ukiangalia Google map and satellite huoni , wakati mabwawa mengine kama mtera unaona maji yalivyojaa, au ni mambo ya AI( akili bandia) tunatengenezewa na vijana.

Serikali lazima itoe ajibu maji ya mvua zinazonyesha yanaenda wapi

Screenshot_20240122-104020.jpg
 
Moja kati ya mabwawa makubwa kuwahi kutokea Africa mashariki , man made lake , the stiglers gorge dam, au bwawa la mwalimu nyerere au Ziwa nyerere kutokana na ukubwa wake.

Bwawa hili mpaka kujaa linatakiwa kufika MITA 186 kutoka usawa wa bahari, Cha ajabu pamoja na mageti kufungwa December 2022 mpaka Leo ujazo umefikia MITA 166.6. nashangaa kwanini bwawa halijai haraka na Sasa hivi tumepata mvua nyingi kuliko kawaida. Je maji yanafunguliwa ni mengi sana.
Kwanza maji yamejaa lakini ukiangalia Google map and satellite huoni , wakati mabwawa mengine kama mtera unaona maji yalivyojaa, au ni mambo ya AI( akili bandia) tunatengenezewa na vijana.

Serikali lazima itoe .ajibu maji ya mvua zinazonyesha yanaenda wapi
Serikali ya ccm inaroho mbaya sana na wananchi wa Tanganyika haitaki wananchi waendelee kabisa! hili bwawa linahujumiwa na hawalipendi kabisa na wanamchukia sana aliyelianzisha, kwa sababu likiisha watakosa sababu ya kuwaambia wananchi kuwa umeme hautoshi.
 
Si wamesema wanawasha Turbine 1 February na nyingine march so mgao bye
 
Moja kati ya mabwawa makubwa kuwahi kutokea Africa mashariki, man made lake , the Stiglers Gorge dam, au bwawa la Mwalimu Nyerere au Ziwa Nyerere kutokana na ukubwa wake.

Bwawa hili mpaka kujaa linatakiwa kufika MITA 186 kutoka usawa wa bahari, Cha ajabu pamoja na mageti kufungwa December 2022 mpaka Leo ujazo umefikia MITA 166.6. Nashangaa kwanini bwawa halijai haraka na Sasa hivi tumepata mvua nyingi kuliko kawaida. Je maji yanafunguliwa ni mengi sana.

Kwanza maji yamejaa lakini ukiangalia Google map and satellite huoni , wakati mabwawa mengine kama mtera unaona maji yalivyojaa, au ni mambo ya AI( akili bandia) tunatengenezewa na vijana.

Serikali lazima itoe ajibu maji ya mvua zinazonyesha yanaenda wapi

View attachment 2879389
Usitegemee majibu ya maana.kutoka serikali hii ambayo inanufaika na mgao wa umeme
 
Moja kati ya mabwawa makubwa kuwahi kutokea Africa mashariki, man made lake , the Stiglers Gorge dam, au bwawa la Mwalimu Nyerere au Ziwa Nyerere kutokana na ukubwa wake.

Bwawa hili mpaka kujaa linatakiwa kufika MITA 186 kutoka usawa wa bahari, Cha ajabu pamoja na mageti kufungwa December 2022 mpaka Leo ujazo umefikia MITA 166.6. Nashangaa kwanini bwawa halijai haraka na Sasa hivi tumepata mvua nyingi kuliko kawaida. Je maji yanafunguliwa ni mengi sana.

Kwanza maji yamejaa lakini ukiangalia Google map and satellite huoni , wakati mabwawa mengine kama mtera unaona maji yalivyojaa, au ni mambo ya AI( akili bandia) tunatengenezewa na vijana.

Serikali lazima itoe ajibu maji ya mvua zinazonyesha yanaenda wapi

View attachment 2879389
uliamiwa linategemea mvua kujaa, ingekuwa hivyo si lingejengwa sehemu zenye mvua nyingi
 
Moja kati ya mabwawa makubwa kuwahi kutokea Africa mashariki, man made lake , the Stiglers Gorge dam, au bwawa la Mwalimu Nyerere au Ziwa Nyerere kutokana na ukubwa wake.

Bwawa hili mpaka kujaa linatakiwa kufika MITA 186 kutoka usawa wa bahari, Cha ajabu pamoja na mageti kufungwa December 2022 mpaka Leo ujazo umefikia MITA 166.6. Nashangaa kwanini bwawa halijai haraka na Sasa hivi tumepata mvua nyingi kuliko kawaida. Je maji yanafunguliwa ni mengi sana.

Kwanza maji yamejaa lakini ukiangalia Google map and satellite huoni , wakati mabwawa mengine kama mtera unaona maji yalivyojaa, au ni mambo ya AI( akili bandia) tunatengenezewa na vijana.

Serikali lazima itoe ajibu maji ya mvua zinazonyesha yanaenda wapi

View attachment 2879389
Ushapata jibu au bado?
 
Daah unaweza kushangaa pana muhuni anafungua maji yatoke ili yasijae Wabongo sio watu wakiamua kufanya jambo lao...kama walikua wanatoa sababu za uogo hapo Mtera wakati tukipita tunaona maji mengi huko mbali si balaa zaidi..
 
Back
Top Bottom