ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Licha ya TANESCO kutoa adhabu ya kugawa Umeme Kwa wananchi wa TANZANIA na kuendeleza mateso hawajaridhika na sasa wameamua kufungulia maji ya bwawa la nyerere na kusababisha mafuriko makubwa na uharibifu wa mazao katika vijiji vilivyopo mkondo wa chini wa bwawa hilo.
Maji hayo ambayo yanatoroshwa na TANESCO yalipaswa kutumika katika uzalishaji wa Umeme, hata hivyo kutokana na usimamizi mbovu wa shitlrika, Mradi huo umeshindwa kukamilika Kwa wakati na hivyo kupelekea maji yaliyojazwa yasiwe na kazi yoyote ya maana kwani ni mashine moja tu inayotembea ambayo inahitaji maji kidogo.
Ulimbukeni wa TANESCO katika kukimbilia kujaza bwawa wakati wanajua maji hayatatumika huku wakijua fika masika inakuja ni makusudi tu. Ni afadhali na Bora wakati wa kiangazi wangeruhusu maji ,ili masika ikija ndo maji yajae kwa kasi na kuzuia mafuriko.
TANESCO Walikwepa kuhamisha wanakijiji wa mkondo wa chini ili kukwepa kuwalipa fidia hivyo Sasa hivi wanakijiji wanakomeshwa Kwa ufunguliaji maji.
TANESCO ilisema na kutoa Hadi kuwa itakuwa ikiachia maji kiasi Cha cubic MITA 200 Kwa sekunde ili kulinda ekolojia, lakini kinyume chake Sasa hivi tunapoongea maji yanayotoroshwa ni cubic mita 6000 kwa sekunde sawa na sim Tank 600 za lita 10000 kwa sekunde ,maji yote yameelekezewa kwa wapiga kura wakaogelee.
TANESCO wamesema wataendelea kufungulia maji Hadi mwezi wa Tano, Sasa hii Ina maana gani. Mazao hamna, Umeme hamna, fidia hamna, bado tu tunapiga mwingi.
[3/17, 4:52 PM] Green:
View: https://youtu.be/_KtwmwYstjA?si=Weiy0RfEGyVI7uVA
[3/17, 5:02 PM] Green:
View: https://youtu.be/WUgFXBz6raI?si=TBZ8ExKk6pkg1c0w
Maji hayo ambayo yanatoroshwa na TANESCO yalipaswa kutumika katika uzalishaji wa Umeme, hata hivyo kutokana na usimamizi mbovu wa shitlrika, Mradi huo umeshindwa kukamilika Kwa wakati na hivyo kupelekea maji yaliyojazwa yasiwe na kazi yoyote ya maana kwani ni mashine moja tu inayotembea ambayo inahitaji maji kidogo.
Ulimbukeni wa TANESCO katika kukimbilia kujaza bwawa wakati wanajua maji hayatatumika huku wakijua fika masika inakuja ni makusudi tu. Ni afadhali na Bora wakati wa kiangazi wangeruhusu maji ,ili masika ikija ndo maji yajae kwa kasi na kuzuia mafuriko.
TANESCO Walikwepa kuhamisha wanakijiji wa mkondo wa chini ili kukwepa kuwalipa fidia hivyo Sasa hivi wanakijiji wanakomeshwa Kwa ufunguliaji maji.
TANESCO ilisema na kutoa Hadi kuwa itakuwa ikiachia maji kiasi Cha cubic MITA 200 Kwa sekunde ili kulinda ekolojia, lakini kinyume chake Sasa hivi tunapoongea maji yanayotoroshwa ni cubic mita 6000 kwa sekunde sawa na sim Tank 600 za lita 10000 kwa sekunde ,maji yote yameelekezewa kwa wapiga kura wakaogelee.
TANESCO wamesema wataendelea kufungulia maji Hadi mwezi wa Tano, Sasa hii Ina maana gani. Mazao hamna, Umeme hamna, fidia hamna, bado tu tunapiga mwingi.
[3/17, 4:52 PM] Green:
View: https://youtu.be/_KtwmwYstjA?si=Weiy0RfEGyVI7uVA
[3/17, 5:02 PM] Green:
View: https://youtu.be/WUgFXBz6raI?si=TBZ8ExKk6pkg1c0w