Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,906
Land Rover ni kampuni ya Uingereza, Land Rover ndio hutengeneza magari kama Range Rover, Discovery nk lakini kwenye taarifa ya Serikali magari ya kampuni hiyo hayako hata kwenye top 20 ya magari yanayopendwa Uingereza.
Angalia taarifa hii ya Mwezi December 2022, kwenye category zote za Pure Electric, pure Petrol ama hybrid cars Land Rover haipo.
Wataalamu, mnaweza kutusaidia kujua sababu ya waingereza kutokupenda magari yao?
Angalia taarifa hii ya Mwezi December 2022, kwenye category zote za Pure Electric, pure Petrol ama hybrid cars Land Rover haipo.
Wataalamu, mnaweza kutusaidia kujua sababu ya waingereza kutokupenda magari yao?