Mfano kama Tanzania wakidhamilia kabisa tukapata umeme wa uhakika, tukajenga bandari ya kisawasawa mtwara, DAR na Tanga.
Harafu tukaweka ma-treni ya umeme:
-kutoka Tanga mpaka mpakani mwa kenya,
-kutoka Mtwara mpaka mpakani mwa nchi zote za kusini
-Kutoka Dar mpaka DRC, Rwanda na Burundi
-Uwanja Wa ndege charge ikapungua kwa namna yake.
Naamini Kenya watagoma kuungana na kufanya soko la pamoja.
MkamaP,
..sasa kwanini hatujaribu hata project kati ya ulizotaja??
..project ya bandari na reli ya kenya inakuwa financed na China.
..lakini sisi ndiyo marafiki wa China wa muda mrefu, nini kimeshindikana??
..mimi nadhani huu uongozi tulionao ni incompetent.