Lonestriker
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 640
- 241
Hivi Wiliam, kweli unaona ukituandikia Ki english tutakuelewa zaidi ya kishwahili, kigogo au kinyakyusa ambazo ni lugha zako? Tatizo ni nini? Au ni maisha ya Amerika yamekuathili!? Be careful.
Kwa nafasi anayogombea ni sawa kabisa kutumia kiingereza.