Kwanini Mzee Malecela alijulikana ghafla kama “Jumanne”?

Poa mkuu.

Hapo kwenye red sikubaliani na wewe. Huwezi kunambia kuwa nisitoe mawazo yangu kuhusu kiongozi yeyote wa umma kwa sababu baba yangu mimi hajawahi kujadiliwa publicly. Baba yangu hakuwahi kuwa hata balozi wa nyumba kumi, kwa hiyo habari zake hazina maslahi yoyote kwa umma. Hata ukichapisha kwenye jarida la kitongoji na kugawa bure hakuna atakayelisoma. Huyu ni tofauti na Mzee Malecela ambaye aliwahi kuwa PM and VP, akatuongoza na kuishi kwa kodi zetu. Kujadili watu wa namna ya mzee Malecela ni jambo jema kama tutakuwa na sober mind bila malice!!!

Safi sana mkuu!
Sitetei maovu katika jamii, lakini kwa mantiki uliyowenka inakaunafiki ndani yake.
Kama wewe ni msomi ni lazima unajua jitihada za wazazi/walezi wako juu yako.
Na ukisema wazazi/walezi/hawafahamiki ni uongo wa mchana.
Sasa sema kijiji kitongoji na wilaya utokayo na wazazi wako watajulikana tu pamoja na ya kwao yote kuhadithiwa hadharani, kwa hiyo usikwepe kuchambuliwa kama unavyoweza kuchambua wengine.
Mimi nitaleta kauchokozi,kwa nini tujibane? wakati mfano hai upo mbele yetu in the form of Katibu Mkuu wa Chama fulani na mchumba wake mwenye mimba ha hawajaoana?
Ningependa kuwasikia Fr na wewe mkuu.
 
Safi sana mkuu!
...
Mimi nitaleta kauchokozi,kwa nini tujibane? wakati mfano hai upo mbele yetu in the form of Katibu Mkuu wa Chama fulani na mchumba wake mwenye mimba ha hawajaoana?
Ningependa kuwasikia Fr na wewe mkuu.
DU hii kali!
Lakini jamaa wamesepa kimjini mjini
 
Mtumishi wa mungu, achana na huyo pepo mchafu ametumwa kuja kuwajaribu wana wa Ibrahim, na hatofanikiwa. huyo ana harufu ya JIHAD.
Haya twende kazini, nilijua tu hili kanisa la Mhasham ni la misukule!
Wanas(w)ali usiku uchi hawa, wachawi wakubwa.
Hawana hata moral bearings.
Wamesikia ya Jumanne wanayakomalia kama hawana akili nzuri, lakini wameyaona(si kusikia) ya Dr Slaa na mchumba wake hapo vinywa vinabaki wazi wasiseme kitu.
Unafiki ni dhambi.
Pengine kwa hawa ambaoni kanisa la misukule, kwao ya Jumanne ni fair ya Dr atakayepata kabastard au mtoto wa haramu(tumia kitabu kitakatifu upendacho) hapo ni no go.
Hivi hili kanisa la chama gani vile?
 
Safi sana mkuu!
Sitetei maovu katika jamii, lakini kwa mantiki uliyowenka inakaunafiki ndani yake.
Kama wewe ni msomi ni lazima unajua jitihada za wazazi/walezi wako juu yako.
Na ukisema wazazi/walezi/hawafahamiki ni uongo wa mchana.
Sasa sema kijiji kitongoji na wilaya utokayo na wazazi wako watajulikana tu pamoja na ya kwao yote kuhadithiwa hadharani, kwa hiyo usikwepe kuchambuliwa kama unavyoweza kuchambua wengine.
Mimi nitaleta kauchokozi,kwa nini tujibane? wakati mfano hai upo mbele yetu in the form of Katibu Mkuu wa Chama fulani na mchumba wake mwenye mimba ha hawajaoana?
Ningependa kuwasikia Fr na wewe mkuu.

Poa sana mkuu,

Nadhani unajaribu kuchanganya suala la kumchambu mtu na umuhimu wa uchambuzi wake. Watu siku zote wanaongelewa na kuchambuliwa tena sana. Tofauti ni umuhimu na mwangwi wa uchambuzi huo kwenye jamii. Leo tukijadili hapa kwamba baba yake DC (wote siyo public figures) alikuwa mwizi wa kuku mashuhuri kijijini kwao....sina hakika kama utapata watu wa kufuatilia hiyo thread...Ingawa itasomwa tu! Ila tukisema hapa kwamba ex-PM alikuwa anatembea na watoto wa shule na aliwapa mimba x, y z. Hiyo ni habari kubwa. Nadhani hapo hatuna tena ubishi.

Binafsi sina bias yoyote katika mambo ya msingi. Kama unamwongelea Dr Slaa, basi kila mtu ana maoni yake. Ila kwa upande wangu, tena nikiwa mshabiki wake mkubwa, anachofanya morally siyo sahihi ingawa legally inaweza kuwa si kosa. Umeridhika mkuu?
 
Haya twende kazini, nilijua tu hili kanisa la Mhasham ni la misukule!
Wanas(w)ali usiku uchi hawa, wachawi wakubwa.
Hawana hata moral bearings.
Wamesikia ya Jumanne wanayakomalia kama hawana akili nzuri, lakini wameyaona(si kusikia) ya Dr Slaa na mchumba wake hapo vinywa vinabaki wazi wasiseme kitu.
Unafiki ni dhambi.
Pengine kwa hawa ambaoni kanisa la misukule, kwao ya Jumanne ni fair ya Dr atakayepata kabastard au mtoto wa haramu(tumia kitabu kitakatifu upendacho) hapo ni ni go.
Hivi hili kanisa la chama gani vile?

Mkuu LG,

Naanza kuhisi kwamba uchambuzi wako kweli ni wa uchokozi na kuna malice ndani yake. Kujaribu kulinganisha issues za Mzee Malecela na Dr Slaa katika hii thread ni jambo gumu kueleweka (aidhuru kwa upande wangu). Hata kama wote wana makosa, basi kila mtu ajadiliwe kivyake vyake. Labda kama unajaribu kusema kuwa kwa kuwa Dr Slaa amefanya makosa kuwa na mchumba bila ndoa na kumpa mimba, basi ana makosa na kwa hiyo tusiwajadili watu wengine. Kwa sababu unadhani nao watakuwa wana makosa kama Dr Slaa. That will be totally wrong!
 
Mkuu LG,

Naanza kuhisi kwamba uchambuzi wako kweli ni wa uchokozi na kuna malice ndani yake. Kujaribu kulinganisha issues za Mzee Malecela na Dr Slaa katika hii thread ni jambo gumu kueleweka (aidhuru kwa upande wangu). Hata kama wote wana makosa, basi kila mtu ajadiliwe kivyake vyake. Labda kama unajaribu kusema kuwa kwa kuwa Dr Slaa amefanya makosa kuwa na mchumba bila ndoa na kumpa mimba, basi ana makosa na kwa hiyo tusiwajadili watu wengine. Kwa sababu unadhani nao watakuwa wana makosa kama Dr Slaa. That will be totally wrong!
Asante sana Mkuu Dark City.
The whole thread is morally incorrect na ndio maana ni lazima kuongeza perspective nyingine ili mtu awe na abroader mind when discusing.
Hii ni muhimu kama alivyosema mhasham , aweze kusimulia wanawe kituko hiki.
Vituko hapa haviishii kwa wachache,kama tunaweza kudiscuss ya A na ya B yapo na ni mazito tu.
Heshima ni kitu cha bure, mpe mkubwa wako heshima anayostahili hata kama hamkubaliani kisiasa.
Kama ni fair game kudisuss A na kwa B vile vile utoe mawazo yako kiutu uzima.
Na ndio maana nasema unafiki si mzuri.
 
siku hizi tunakopi kwenye magazeti, wakati ule magazeti yalitoa habari humu!
Kweli kabsa, lakn hii imesababishwa na viwavi jeshi wengi ambao kazi yao ni kuanzisha thread za ovyo. Pia muda mwingi tunautumia kujbu hoja chakavu za vwav hao. Tujiangalie tutapoteza mwelekeo.
 
Ngoja nifufue this useful thread b'se ile nyingine imeshachakachuliwa.
 
John Malecela
From Wikipedia, the free encyclopedia
• Ten things you may not know about Wikipedia •
Jump to: navigation, search
John Samuel Malecela
7th Prime Minister of Tanzania
In office
November 9, 1990 – December 7, 1994
President Ali Hassan Mwinyi
Preceded by Joseph Sinde Warioba
Succeeded by Cleopa David Msuya
Born 1934
Dodoma, Tanzania
Political party Chama cha Mapinduzi

John Samuel Malecela (born 1934) in Bugiri Dodoma, was Prime Minister of Tanzania from 1990-11-09–1994-12-07. He is currently vice-chairman of the CCM, and a member of the CCM Central Committee.

[edit] Education

* Secondary Education - Minaki secondary school 1957-1958
* Bachelor of Commerce - Bombay University 1958-1959
* Post Graduate Studies - Cambridge University 1961-1962
* Ph.D. Honoris Causa (Humanities) - University of Texas 1977

John Malecela is one of the most experienced Tanzanian poliiticians. However his efforts to seek his party's nomination for presidential candidacy did not yield any favorable results on his part both in 1995 and 2005.

[edit] Positions held

* Tanzania Permanent Representative to the United Nations - 1964-1966
* Tanzanian Ambassador to Ethiopia and the OAU - 1967
* Minister of Foreign Affairs - 1972-1973
* Communication and Transport - 1973-1974
* Mineral Resources and Agriculture 1975-1975
* Minister in the East African Community - 1975-1976
* Regional Commissioner of Iringa - 1980-1984
* Member of the Group of Eminent Persons of the Commonwealth on South African situation - 1985
* Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom - 1989-90
* Prime Minister and First Vice President 1990-1994
* Vice Chairman of the ruling Party, Chama cha Mapinduzi (CCM) - 1995 to date
* Member of Parliament for Mtera - 1990 to date

- Duh!

Willie @ NYC, USA.
 
Mzee Malecela, kabla ya mke wake kufariki alikuwa akitembea na Mama Tatu Ntimizi, aliyekuwa waziri mdogo wa Ardhi baadaye Afya na ambaye ni Muisilamu, Mama Tatu, alipooona Mke wa mzee amefariki akaamini kuwa Mzee atamuoa, kwa hiyo akaanza filimbi za kusema kuwa Malecela anataka kumuoa, na kwamba tayari ameshabadili dini, habari zikamkuta adui mkubwa wa Malecela Mwalimu, aliyewaaambia waandishi wake kuzichapisha kwa wingi na pia hata kumchora sana kwenye magazeti, they did,

Ndipo kaka yake Lusimnde akamuonya kuachana na huyo mama, the matter of fact ni Lusinde ndiye aliyemfukuza Mama Ntimizi kwenye Arobaini ya mke wa Malecela na hata kwenye mazishi ya mama wa Malecela, na ndipo Mzee akaachana na huyo Mama Ntimizi ambaye baadaye alianza kutembea na Sumaye, Waziri Mkuu, huku Mzee Malecela akimuoa kanisani Mama Anne Kilango, mbunge wa Same.

Malecela alikwenda msikitini kama viongozi wengine wote wanavyokwenda kuongea na Waisilamu, katika kutatua matatizo kabla ya maandamano baada ya kupata habari za usalama kuwa wanajitayarisha kuandamana kazi ambayo baadaye walimpatia Mzee Kitwana Kondo, ambayo huifanya hadi leo hiii, na ndiyo ilyompa nafasi hata ya kuingia chumbani kwa Mkapa wakati wowote ule hata saa nane za usiku.

Lakini at the same token, Malecela alikuwa akitembea na mama mmoja wa kihaya pale Sinza, ambaye alikuwa ni mshonaji wa nguo mkubwa sana jijini ambaye alizaa naye mtoto wa kike daktari, ambaye badaye alijiua mwenyewe, na pia huyo Mama wa kuihaya alikuwa amezaa na Mzee Nyamka Ramamdhani, aliyekuwa Meya wa jiji, nafikiri wote tunamfahamu yule kijana aliyekuwa dj wa IPP wakati fulani, nii mmoja watoto aliozaa huyo mama na Mzee Nyamka. Kwa hiyo kama ulimuona Malecela kwenye mitaaa ya huko Sinza basi 95%, alikuwa akienda kwa huyo mama.

Malecela hajawahi kuwatukana Waisilamu, angewatukana urafiki wake na Salimin na Mwinyi, ungeisha siku hiyo hiyo, kama urafiki wa Salimin na Mkapa ulivyoisha baada ya Mkapa kuwatukana Waisialmu.

Akliwa Wazirii Mkuu, Malecela hakuwa na power yoyote zaidi tu ya kutekeleza anayoambiwa na Mwinyi, Lowassa ndiye Waziri Mkuu wa kwanza bongo mweye power ya kweli katika historia ya bongo, maana kwanza Mwalimu hayupo, na pia ni rafiki wa karibu wa rais wa sasa, halafu pia Lowassa aliamua kumuachia JK agombee kwa makubaliano kati yao kuwa ni zamu ya Muisilamu na kwamba wakati utakapofika atamuachia Lowassa, kumbuka mbinu zote za kampeni ya mtandao zilikuwa zinatengenezwa na Lowassa, the masterminder!

Mzee mtoa mada kama haya hayajibu maswali yako, nifahamishe nitakusaidia zaidi!


Hakika JF ni Hazina Kubwa.
Niliposoma habari hii kwa mara ya kwanza nilidhani ni thread iliyoanzishwa jana, kuhamaki kumbe ni ya 31st October 2006 at 01:35 AM.
Itabidi nije kuandika urithi wangu humu. Nina hakika hata kizazi kijacho kitausoma
 
Hakika JF ni Hazina Kubwa.
Niliposoma habari hii kwa mara ya kwanza nilidhani ni thread iliyoanzishwa jana, kuhamaki kumbe ni ya 31st October 2006 at 01:35 AM.
Itabidi nije kuandika urithi wangu humu. Nina hakika hata kizazi kijacho kitausoma

Vitu hivi ni vya Jambo Forums, huwezi kuvipata tena siku hizi, hapa kumejaa udaku na habari za kishabikishabiki, enzi hizo kulikuwa hakuna udini, ukabila wa uchama hapa ilikuwa ni kutaka issues tu. I wish those days could return.
 
hivi ukitaka kuwasimulia watoto wako juu ya viongozi wa zamani na mambo waliyoyafanya kwa nchii hii,malecela unaweza kumwelezeaje?
 
Vitu hivi ni vya Jambo Forums, huwezi kuvipata tena siku hizi, hapa kumejaa udaku na habari za kishabikishabiki, enzi hizo kulikuwa hakuna udini, ukabila wa uchama hapa ilikuwa ni kutaka issues tu. I wish those days could return.
Sana Mdau yani sisi wa mwaka 47 (Jambo Forums) TUlifaidi sana enzi hizo!
 
Vitu hivi ni vya Jambo Forums, huwezi kuvipata tena siku hizi, hapa kumejaa udaku na habari za kishabikishabiki, enzi hizo kulikuwa hakuna udini, ukabila wa uchama hapa ilikuwa ni kutaka issues tu. I wish those days could return.

Mkono mtupu haulambwi, ukilambwa tu unageuka jiwe.
 
He! Mimi nlidhani stori hizi ni za paukwa pakawa tu, mbona zinaanza kutake shape. ... eti amehudhuria Swala za Ijumaa nne tano?! Haya ni mapya kwangu... hata hayo ya kuitwa Jumanne ndio nimeanza kuyasoma humu. Nawasikilizeni wenye habari.

Wewe kweli bado, endelea tu kuhudhuria humu jamvini utayapata mengi. Angalau umekuwa muungwana kusema ukweli wengine wangeanza tu kuropoka kwa kutumia dhana zao
 
Naamini humu ndani kuna watu wanamfahamu sana mzee huyu kuhusu maisha yake ya siasa.Binafsi nimebahatika kuwa nae karibu kwa nyakati tofauti.Hakuna nilichogundua kwake kibaya zaidi ya upole,unyenyekevu, ukarimu na IQ ya hali ya juu.Kitu kimoja tu ambacho huwa sikubaliani naye na ambacho nadhani hakifanyi kwa mapenzi yake kutoka moyoni ni Mapenzi makubwa anaoonesha kuwa nayo kwa chama cha mapinduzi,pamoja na kwamba hilo si dhambi. Cha muhimu kwangu ni kujua huyu mzee alikosea wapi katika siasa za tz hadi asiwe mtu anayekubalika sana pamoja na uwezo wake mzuri wa kufikiri na kuchambua mambo. Kwenye mjadala huu naruhusu mnitukane lakini mwisho wa tusi uniachie kitu cha kunisaidia kujua ninachotaka kujua.


Nawasilisha:
 
Back
Top Bottom