Kwanini mwanamke unasubiri hadi mwanaume akuanze?

Kwanini mwanamke unasubiri hadi mwanaume akuanze?

my dear unaringaje??? hili ndo swali na swala kubwa? weeee kuwa mtundu kuringa ringa achia watoto fanya kazi tena kwa utundu wa hali ya juu lile ni eneo lako usifiche ujuzi wako hata kidogo... sasa ukauoneshe wapi wakati pale ndo eneo la tukio
kama una point 10 za jikoni na zinahitanika 50 kwa ujumla basi una uwezo wa kupata 40 zote eneo hilo ukicheza vizuri mpenzi
yaani unafika unaanza kukata kucha?????????? atakuvumilia siku ya kwanza siku ya pili atakubaka siku ya tatu atakutafutia msaidizi
usitafute mchawi

Duh ngoja nianze makeke kudadadeki
 
Hakuna anayependa, mihangaiko ya maisha ndio sometyms hupelekea hayo kutokea
20 to 40 mints haiwezekani????
jf una spend dakika ngapi??????
tv unaangali dakika ngapi per day????
umesimama kwa shost dakikA ngapi per day???
una chat dakkka ngapi per day

uzuri mwanaume atakubembeleza siku kadhaa tu baada ya hapo utaona hakusumbui na utajiona msbindi lakini mwenzako anajipoza nje
 
Mimi sioni logic kabisa kwa mfano mmeenda kabisa eneo la tukio eti unaona ukianza mautundu wewe kama mtoto wa kike basi utaonekana malaya nop my dear.

Kwanza mpaka wewe ufike pale eneo la tukio either Lodge au Guest house au nyumbani kwa jamaa tena chumbani jua tayari uko stage nyingine kabisa acha kujitia utoto wewe kila siku unataka kubakwa? Hata nyie mlioolewa kila siku unataka mapambano ya kuvuana nguo ili iweje?

Na sio kuvua wewe mwenyewe mvue wewe hata kama sio mara zote basi walau mara moja moja haya kama unataka kuvuliwa uwe na nguo chache na nyepesi.

Sasa mtu umevaa dera ndani una shumizi ndani ya shumizi una bukta pana tu nda ni ya bukta una skintight ndani yake kuna chupi khaa! Kwanini usibakwe wewe?


Muanze jamaa kuwa mtundu jamani yaani kusubiri kila siku kubakwa unalala na jezi kitandani.

HUTA ENJOY MAPENZI MPAKA UNAINGIA KABURINI

Chukua hizo :mwaaah::mwaaah::mwaaah:
 
20 to 40 mints haiwezekani????
jf una spend dakika ngapi??????
tv unaangali dakika ngapi per day????
umesimama kwa shost dakikA ngapi per day???
una chat dakkka ngapi per day

uzuri mwanaume atakubembeleza siku kadhaa tu baada ya hapo utaona hakusumbui na utajiona msbindi lakini mwenzako anajipoza nje

Nafikiri hatukuelewana! Anyway, gud luck na huo mfundo.
 
huyu wangu analala na suruali huku kaipiga suspender basi naishia kubaishi.....tu mpaka asubuhi,mpaka nawaza nikafwate mahali yangu
hahah nimewaza tu jinsi ilivyo kazi Kumvua na suspender zake. Kisa cha kujibana hivyo na manguo usiku?
 
oooh jamani usiniambie kwamba nimekukwaza

very sor😢😢😢😢

Oooh NO walaaa haujanikwaza yaani hata kidogo, ila nahisi kuna mahali hatukuelewana, ulichokuwa ukikielezea na nilichokuwa nikikiongelea ni tofauti.
 
hata mimi nashangaa kwa nini nafanyaga hivyo... labda nakuwa sikumbuki kile kilichonipeleka pale ... au sijui natakaiwa kufanya tendo gani... au nakuwa siamini kama kweli nafanywa matusi leo........ au kuanza inaweza pelekea nisidekezwe........ila kuringa ringa inautamu wake......

Hahaa miss chagga buana.. eti haamini anafanywa matusi leo..
Lugha za nyumbani hizo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom