Aisee!Alikuwa normal tu baada ya ndoa shida ikaanza
Kuna watu wasiri mno!Moyo wa mtu kichaka kumjua mpaka uishi naye
May be may be aanze kufukua makaburi ya nyuma kupata point hizo good startHuenda
1. huko nyuma uliqah mdanganya mtu fulani ni ndugu yako halafu akaja akajua anakumega
2. Kuna kitu aliwahi kukukataza ila kwenu walivyo kushauri ukakifanya, kumaanisha ukadharau katazo lake ukatii la wa kwenu (lazima awamaindi)
3. Huenda wakati hamjajipata (mkiwa hamjapata fedha) kwenu/ndugu zako walimuonesha dharau kwa vile hakuwa na kitu
4. Huenda uliwahi wewe mwenyewe au kupitia ndugu yako wa karibu iba fedha au chochote ukapeleka kwenu na baadae akaja kujua.
5. Huenda kuna siku katika mahusiano yenu mlikosana na ndugu zako waliingilia huo ugomvi eidha kwa simu au sms au uso kwa uso, na katika hilo walionesha kuegemea kwa mwanamke na kumuonesha mwanaume mkosefu na kwamba wanaweza kukuchukua na kukurudisha kwenu wakihitaji.
6. Uliwah tamka neno baya kwa ndugu zake wa mwanaume au aliwah said8a mtu nyumbani kwao hasa mama na ukahoji (epuka kuingilia mipango ya mwanume dhidi na kwao hasa wazazi wake). Tunajua wazazi wetu na ndugu zetu walivyotufichia viporo tukitoka shule tule tupozee na maji ya kumywa ya kisimani. Halafu ukubwani unakutana na mtu hana hata bikra anaanza kusema hili na lile linalohusu kwenu usifanye au usicanyie wazazi wako, hapo unayatimba kimia kimia
Aliuza nini huyo suzy?Aliuza suzy
Wewe ndo mume suzy 😀Ndoa ni ya
Wewe na mumeo,hao ndungu zako watulie kwao.
Binafsi sipendi lifamilia lenye msongamano wa watu utadhani kituo cha kulelea watoto yatima,inafikia kipindi Raha ya kujimwaya mwaya inakosa.
Lakini pia Ndugu inafikia kipindi wananyonya kipato cha watoto wako kisa kuwakumbatia.
Dawa yako wewe ni kukuhamisha hapo ulipo akupeleke mbali na ndugu zako,nauli ya kukufikia ikiwa sh 100K akili zinakurudi.
Ndugu anapokuja kwako aje kwa sababu maalumu na muda wa kuondoka ujulikane,Mimi mgeni akiishi kwangu bila sababu maalumu namtafutia nauli arudi alikotoka
By the way nampongeza mumeo,una mwanamume mzuri sana
Everything is confusing
Kama hajasema, "siwapendi ndugu zako", umejuaje kama hapendi ndugu zako waje?Solution nn
Anasema hata akimuuliza majibu hana ni kimya tu
Soma mada kwa utulivukwa id yako hyo nilizanigi ni he kumbe she
Ishi na mtu umjue