Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

Kwanini mtu huogopa? Hasa kufa kwa nini?

Kama unakiri kuwa hatujui sheria kamili za ulimwengu, kwa nini unahitimisha kwa uhakika kuwa energy inaweza kufa na 'kifo ni mwisho?
Hivyo wote hatujui kama kifo ni mwisho au sio, siku ikifika zamu yetu ya ku experience ndo tutajua
 
Una uelewa wowote kuhusu circadian rhythm? if yes huo ndo utofauti.
Circadian rhythm sio kwamba ni unconscious processes au ndo fear yenyewe? Usingizini Ofcourse kuna hizo rhythm ila kuweka conscious awareness ni ngumu.. Labda utueleweshe vizuri
 
Bado hujanielewa
Anamaanisha kuwa just like the fear of heights kwamba mtu akijua ya kuwa hiyo fear was created by the mind na akae da akai face mpk ikatoweka vivyo hivyo mtu akijua kuwa akifa anarudi kwenye emptiness his fear of death will automatically perish
Kiufupi tu, unaweza kuishawishi akili yako kuwa kifo ni nothingness lakini instinct yako itakataa hilo kila wakati.

Huwezi kuiondoa hofu ya kifo kwa falsafa kwa sababu hofu ndiyo inayokuwezesha kuishi (sijui kama hii point utaielewa)
 
Circadian rhythm sio kwamba ni unconscious processes au ndo fear yenyewe? Usingizini Ofcourse kuna hizo rhythm ila kuweka conscious awareness ni ngumu.. Labda utueleweshe vizuri
Aeleze kwamba hiyo circadian rhythm inajuaje mtu huyu akilala ataamka au atakufa?

Hiyo Circadian rhythm inajuaje mtu akilala ataamka au atakufa?

Maana kuna watu wanalala na kufia usingizini.
 
Aeleze kwamba hiyo circadian rhythm inajuaje mtu huyu akilala ataamka au atakufa?

Hiyo Circadian rhythm inajuaje mtu akilala ataamka au atakufa?

Maana kuna watu wanalala na kufia usingizini.
Yes hii concept na mimi namuuliz maana siioni ikimake any sense kabisa
 
Hivyo wote hatujui kama kifo ni mwisho au sio, siku ikifika zamu yetu ya ku experience ndo tutajua
Ili uweze kujua kitu au jambo fulani lazima uwe hai na uwe na ufahamu.

Ukifa huwezi kujua chochote. Kwa sababu huna tena ufahamu wa kujua.

Kujua ni kwa sisi tuliopo hai tu.

Sio kwa wafu.

Mfu hawezi kujua kwamba amekufa.

Sisi tuliohai ndio tunajua kwamba fulani kafa. Ila yeye hajui na wala hana ufahamu wa kujua.
 
Wanaofia usingizini, Ubongo wao hujua kabla kwamba wangekufa?

Au bongo zao hujua kwamba wangeamka muda fulani kwa hiyo circadian rhythm, Lakini STILL wakaishia kufa?
Mkuu kwenye usingizi wa kawaida, ubongo huwa una predict kuamka kwa sababu ndivyo data zake zinavyosema ni repetitive pattern.

Kwenye issue ya kifo cha ghafla mfano shambulio la moyo ubongo hauwezi kuwa na data ya kifo, hivyo, hauwezi kujua kama utakufa au utaamka.
so kifo cha usingizini siyo suala la ubongo kujua utaamka bali ni system failure inayotokea katikati ya mzunguko wa prediction loop.
 
Kiufupi tu, unaweza kuishawishi akili yako kuwa kifo ni nothingness lakini instinct yako itakataa hilo kila wakati.

Huwezi kuiondoa hofu ya kifo kwa falsafa kwa sababu hofu ndiyo inayokuwezesha kuishi (sijui kama hii point utaielewa)
I gree hofu ni driving factor ya kufanya mambo ila unakuja endapo kutakuwa na negative outcome... Huwezi tu kusema hofu ndo inanifanya niishi..

Sidhani binadamu anaishi kwa sababu ya hofu! Ila hofu ni kama kichocheo tu labda. Kuna muda hofu hutoweka na mtu hufanya mambo based on genuine happiness.. Mfano mtu kaenda vacation kuenjoy Je hapo kuna hofu gani? Kuna time hofu hutoweka so naweza Sema ni dynamic kati ya hofu na furaha..
 
Circadian rhythm sio kwamba ni unconscious processes au ndo fear yenyewe? Usingizini Ofcourse kuna hizo rhythm ila kuweka conscious awareness ni ngumu.. Labda utueleweshe vizuri
Hii inaelezea namna ubongo unavyofanya kazi unapokuwa umelala , yani kivipi huwa unaamka pasipo kuamshwa, kuna sehemu ya ubongo inayoitwa suprachiasmatic nucleus (SCN).

Huwa inaangalia mwanga na giza ili kuachia homoni kama Melatonin (ya kulala) na Cortisol (ya kuamka).

Hii ni automatic process, yani mwili unafanya kazi bila wewe kuhitaji kufikiri.

Hata ukiwa umepoteza fahamu inaweza kuendelea kufanya kazi.
 
I gree hofu ni driving factor ya kufanya mambo ila unakuja endapo kutakuwa na negative outcome... Huwezi tu kusema hofu ndo inanifanya niishi..

Sidhani binadamu anaishi kwa sababu ya hofu! Ila hofu ni kama kichocheo tu labda. Kuna muda hofu hutoweka na mtu hufanya mambo based on genuine happiness.. Mfano mtu kaenda vacation kuenjoy Je hapo kuna hofu gani? Kuna time hofu hutoweka so naweza Sema ni dynamic kati ya hofu na furaha..
Nadhani umeelewa sasa.
 
Mkuu kwenye usingizi wa kawaida, ubongo huwa una predict kuamka kwa sababu ndivyo data zake zinavyosema ni repetitive pattern.

Kwenye issue ya kifo cha ghafla mfano shambulio la moyo ubongo hauwezi kuwa na data ya kifo, hivyo, hauwezi kujua kama utakufa au utaamka.
so kifo cha usingizini siyo suala la ubongo kujua utaamka bali ni system failure inayotokea katikati ya mzunguko wa prediction loop.
Je ubongo wenyewe haujui kwamba system failure inaweza kutokea kwenye prediction loop?

Au ubongo hufanya tu predictions zake kwa mazoea ya kila siku bila kujua kwamba dosari inaweza kutokea?

Yani kwamba ubongo wenyewe haujui kwamba mfumo wa mwili na viungo vingine vinaweza kufeli muda wowote?
 
Je ubongo wenyewe haujui kwamba system failure inaweza kutokea kwenye prediction loop?

Au ubongo hufanya tu predictions zake kwa mazoea ya kila siku bila kujua kwamba dosari inaweza kutokea?

Yani kwamba ubongo wenyewe haujui kwamba mfumo wa mwili na viungo vingine vinaweza kufeli muda wowote?
Mkuu kwenye predictions za kawaida, ubongo huwa unapokea sensory input na kurekebisha hizo tabiri.

Upande wa kifo kama moyo kusimama, sensory input inakata ghafla ubongo unakuwa hauwezi kufanya prediction error correction kwa sababu mfumo uliokuwa unaleta taarifa (viungo/moyo) umekufa.

Ubongo wenyewe haujui kama viungo vinaweza kufeli muda wowote kwa sababu awareness ya ubongo inategemea viungo hivyo hivyo ili kupata taarifa.
 
Xmas ya mwaka juzi kidogo nife nikiwa usingizini yaani zile pilika za roho kutoka ,kwanza nilipita na kanet,wanadai nilitoa muuungurumo wa hatari,jasho la hatari na hiyo sidhani hata ilikuwa ndani ya dk1.Kama roho ndio huwa inatoka hivyooo mbona kazi ipoooo.Mi sitaki kufa aisee.Likizo nzima niliimaliza Kwa kulala kwenye kochi.
 
Jamani tuachane na maelezo ya kawaida I need genuine explanation. Kuna jitu litajibu Kikawaida, nataka psychological, cultural, biological and scientific reasons

What causes fear, na why do we fear to die... Na wengine hata huogopa kuwa wao na kufanya vitu watakavyo.. Mfano mtu anaweza kusikia mziki unapiga mbele Za watu akaogopa kucheza, ila akiwa mwenyewe ndani anakata mauno.

Naombeni nijue wataalam
Sijui umejiunga lini JF ila swali hili limejibiwa mara nyingi na kwa ufasaha hapa jukwaani
Usituchoshe tafuta utaona majibu.
Swali moja kwako una ufahamu wowote wa nahau za Kiarabu achilia mbali direct translations?
 
Hofu ya kifo au kujilinda usife sio kwa binadamu pekee bali ni kwa viumbe vyote vilivyo hai.
Hali hii ya kujilinda ni msukumo wa nature ambao lengo ni ku maintain uhai wa hii dunia.
Mshana Jr ameelezea vizuri.
In point kabisa ila tu Nahisi kama tunaweza kuizuia
 
Hofu inakuja sababu ya matendo afanyiwayo mt aliekufa yanatisha mf maiti kuchomwa,maiti kuwekwa kwenye box then kufukiwa shimon,mait kutupwa na kuliwa na wanya,wadudu au ndege na ata nyimbo zitumikazo wakat wa msiba si rafik kwa mt alie hai maana zinafanya mt uone kifo ni mateso mwisho kabisa yaonekana kifo kinatoa mateso na maumivu makali sana kwa mt anaekalibia kufa ivyo walio wengi twaogopa maumivu ayo ya mwil,roho na akili
Kwanini tusianze kuondoa hiyo hofu sasa? Wangapi wamekufa duniani mpk kitu kilicho zoeleka kama kula msosi kije kituogopeshe?
 
Back
Top Bottom