Kabla ya kuzaliwa nini kilifuata?
Kama hakuna.
Kwa nini unafikiri ukifa, kuna kinachofuata?
Ukifa hakuna kinachofuata kama ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa. Hakuna kilichofuata.
Ukifa unaoza, Biashara imeisha.
Iko hivi Mkuu binadamu tuna uwezo wa kuwaza future, huu uwezo wa kuwaza ndio umetupa uwezo wa kujenga ustaarabu, lakini pia ndio uliotuletea huzuni ya kifo.Nimeipata concept thanks for reminder..
So unataka kusema uncertainty is what causes it.. Periodt..? Na it's intentionally ingrained for survival?
Watu wanaojiua kama kujinyonga na wao wanakuwa na hii hofu?Hofu ya kifo au kujilinda usife sio kwa binadamu pekee bali ni kwa viumbe vyote vilivyo hai.
Hali hii ya kujilinda ni msukumo wa nature ambao lengo ni ku maintain uhai wa hii dunia.
Mshana Jr ameelezea vizuri.
No kidizain flani nakataaIko hivi Mkuu binadamu tuna uwezo wa kuwaza future, huu uwezo wa wa kuwaza ndio umetupa uwezo wa kujenga ustaarabu, lakini pia ndio uliotuletea huzuni ya kifo.
Hatujaijenga huu hofu kwa ajili ya ku-survive labda isipokuwa tumeijenga kwa sababu tumejipa uwezo mkubwa wa kufikiria sana, kadiri akili inavyokua, ndivyo hofu ya kifo inavyozidi kuwa kubwa pia.
Kwanza wakati mtu unakufa wala huwezi kujua kwamba ndio unakufa.This is what I was thinking, theres nothing to fear ni uongo kabisa..
You're just an accumulation of vibrational elements that shifts avatar bodies. Hakuna cha kuogopa kifo wala bibi yake na kifo.
So turudi square one, hii hofu tunawezaje kuifuta completely while we navigate this limited avatar
Umeona, kufa sio aseee 🥹🥹Hata kushenyenta na kwenyewe gudubaii😂😂
(jokes aside)
Kwa wewe ni rahisi kuamini kuwa baada ya kifo hakuna kitu kinachofuata ili usihofie kile kisichojulikana ,yani unajaribu kufanya materialism kuwa dini yako mpya ili uiondoe existential anxiety uliyo nayo.Kabla ya kuzaliwa nini kilifuata?
Kama hakuna.
Kwa nini unafikiri ukifa, kuna kinachofuata?
Ukifa hakuna kinachofuata kama ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa. Hakuna kilichofuata.
Ukifa unaoza, Biashara imeisha.
usidanganye watu hakuna mtu aliehai anayejua mtu anahisi vipi wakati wa kufa ni kwasababu waliokufa hawawezi kurudi tena wakatuelezeaKwanza wakati mtu unakufa wala huwezi kujua kwamba ndio unakufa.
Ni kama vile ukiwa unaishia usingizini wala huwezi kujua kwamba usingizi ndio unakupitia hivyo.
Wewe unashtukia tu, umeamka asubuhi lakini huwezi kujua ni muda gani exactly uliishia usingizini moja kwa moja.
Hofu kuhusu kifo sanasana imejengwa na hizi imani za kidini.
Masuala ya Jehanam ya moto ndio yanaleta hofu kwa watu.
Lakini wakati wa kufa wala hakuna anayejua kwamba hapa ndio nimekufa.
Unatumia analogy ya usingizi kuelezea kifo, yani umeshindwa kuona utofauti hapo?Kwanza wakati mtu unakufa wala huwezi kujua kwamba ndio unakufa.
Ni kama vile ukiwa unaishia usingizini wala huwezi kujua kwamba usingizi ndio unakupitia hivyo.
Wewe unashtukia tu, umeamka asubuhi lakini huwezi kujua ni muda gani exactly uliishia usingizini moja kwa moja.
Hofu kuhusu kifo sanasana imejengwa na hizi imani za kidini.
Masuala ya Jehanam ya moto ndio yanaleta hofu kwa watu.
Lakini wakati wa kufa wala hakuna anayejua kwamba hapa ndio nimekufa.
Kile kinachojulikana kipi?Kwa wewe ni rahisi kuamini kuwa baada ya kifo hakuna kitu kinachofuata ili usihofie kile kisichojulikana ,
Moto ukizimika unaenda wapi?yani unajaribu kufanya materialism kuwa dini yako mpya ili uiondoe existential anxiety uliyo nayo.
Kama unasema watu huongeza maarifa ili kutoa uncertainty basi hapa umekubali moja kwa moja kuwa uncertainty ndiyo chanzo cha hofu yenyewe.No kidizain flani nakataa
Watu huongeza maarifa ili kutoa uncertainty and thus kupunguza hofu.
Ile point ya survival ina uzito kuzidi hii
Jamaa Ana point tena kubwa sana, yeye ame surpass the body and mind... Akadive into the metaphysical aspect kuwa before hajazaliwa hakuwepo na so akifa anarudi into That nothingness.. But hiyo hai negate existence ya hofu... Ambayo ni instinctualKwa wewe ni rahisi kuamini kuwa baada ya kifo hakuna kitu kinachofuata ili usihofie kile kisichojulikana ,yani unajaribu kufanya materialism kuwa dini yako mpya ili uiondoe existential anxiety uliyo nayo.
Na ndo nilikuwa na kuuliza perspective yako maana najua chanzo ni hicho based on my viewsKama unasema watu huongeza maarifa ili kutoa uncertainty basi hapa umekubali moja kwa moja kuwa uncertainty ndiyo chanzo cha hofu yenyewe.