Kuna mambo kadha wa kadha hasa ya kiimani, kijamii na kiuchumi
Dini zinasema siku ya mwisho ukifa utaenda kuchomwa moto hasa sisi wenye dhambi na ukiangalia kila mtu ana dhambi
Woga wa kufa kwani hujui huko uendako kama utafufuliwa au ndo utabaki milele kuwa mbolea.
Tunaogopa kufa kwasababu tutaacha fahari zetu majumba yetu, magari yetu, pombe zetu mademu zetu n.k
Wengine wanakuwa na hofu ya kufa kwasababu hawajui watakufaje taani kifo gani
NB Ningekuwa namwona huyu kifo ningemuhonga niendelee kula mema ya dunia kabla ya mwili wangu hujaanza kuliwa na kuwa mbolea na mali zangu zikigombaniwa na wavivu niliowaacha.