Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Ndio maana wanawake siku hizi wanataka mwanaume mwenye nazo tayari...mambo ya kuchuma wote halafu akatumbue mwingine nani anataka
 
Mke wa pili ni janga ndani ya familia ya mke wa kwanza. Ushuhuda ni mwingi na wengi kama hawakusambaratisha ndoa ya kwanza basi mke mkubwa alijiongeza hadi huyo wa pili akafukuzwa.
usikariri mkuu mbona nac tunawajua wanao ishi vyema na kupendana
 
Daah hakika wewe una siasa kali,yaani ungekuwa mke wangu nisinge hata jaribu kuota kuongeza mke,maana unaweza ukanikaanga kama samaki,anyway hongera kwa msimamo.
Unajua KARANJA nimepitia mengi sana wakati mdogo na niliapa sitofanya kosa alofanya mzazi kwa watoto wangu,labda mwenyezi mungu atake lakini ntajitahidi na nazidi kumuomba mwenyezi mungu,wanaume hawa kawii kubadilika,ndio mana staki kuja kujuta when its too late,hapa nna nusu ya Team ya mpira ukiondoka kwake huyu bwana atakae chukua mzigo wote nani?lol bora nijipange Karanja ...
 
Ndio maana wanawake siku hizi wanataka mwanaume mwenye nazo tayari...mambo ya kuchuma wote halafu akatumbue mwingine nani anataka
Kabisa tenaaaaaaaa choka nafsi zetu kula shida na mwenzio na hara anakula na mwengine anaejua kufunga kucha navaa Wig..
 
Hicho ni kizungumkuti lkn mwisho wa siku ni muhimu namna mwanamke unavyojiweka na kubehave, kama wanadamu tunapaswa kuwa na Upendo, huruma na unyenyekevu.

Naombea kwa Allah nisipate akili ya kumnyanyasa mwanamke ambaye hajanikosea
 
Ni ngumu sana kushare mume na mkawa mnajuana kiukweli yataka moyo wa uvumilivu sana.
 
Wala usijali KARANJA,mie mbona nimeshajipanga na Tukio kama hili as kila nnachochuma hua ni cha watoto 50% na 50% ni yangu yeye anaekuja aanze nae upya manake haikua rahisi kwangu iweje mwengine aje ale bata as if tulitabika wote,na still bado natabika labda aoe nisijue nikijua atahama yeye lol..

Hivi ni kwanini wanawake mnakuwaga very conscious na mali /material things?

Vipi ukiachiwa kila kitu na mwanaume akaenda zake kuanza upya na mwanamke mwingine roho yako itakuwa kwatu?
 
Hivi ni kwanini wanawake mnakuwaga very conscious na mali /material things?

Vipi ukiachiwa kila kitu na mwanaume akaenda zake kuanza upya na mwanamke mwingine roho yako itakuwa kwatu?
Ruksaaa aende as long as watoto wangu na secured future please ki roho safii,ikiwa ameamua siwezi kumzuwia ni raha yake na furaha yake ni first priority yangu..
 
Hivi ni kwanini wanawake mnakuwaga very conscious na mali /material things?

Vipi ukiachiwa kila kitu na mwanaume akaenda zake kuanza upya na mwanamke mwingine roho yako itakuwa kwatu?
Mali ni mtihani Sana ndugu yangu...
Mtihani mkubwa mnoo haswa linapokuja suala la ukewenza.
Umechuma na mume, halafu anakuja mtu anaingia kwenye ile 'share' halafu anaanza kukudharau, anaona yeye kuolewa ni kwa sababu wewe hufai, inakera.

Namuomba Mungu hayo yakinifika yanikute nimejijenga kiasi cha kusimama mwenyewe kulea familia yangu.
Maana kwa uzoefu ni kuwa hata nyie waume zetu mkishaoa mke mdogo mapenzi mnahamishia huko. Wengine wanatelekeza kabisa wake wakubwa.
 
Mali ni mtihani Sana ndugu yangu...
Mtihani mkubwa mnoo haswa linapokuja suala la ukewenza.
Umechuma na mume, halafu anakuja mtu anaingia kwenye ile 'share' halafu anaanza kukudharau, anaona yeye kuolewa ni kwa sababu wewe hufai, inakera.

Namuomba Mungu hayo yakinifika yanikute nimejijenga kiasi cha kusimama mwenyewe kulea familia yangu.
Maana kwa uzoefu ni kuwa hata nyie waume zetu mkishaoa mke mdogo mapenzi mnahamishia huko. Wengine wanatelekeza kabisa wake wakubwa.


It's bad na kumkosea mkeo na Mwenyezi Mungu pia....

Kuhusu mali sina comments, it's how you are thinking and it's how you are feeling.... Nothing gonna change you on that
 
Hi MMU,
Nina Shogangu mumewe ameoa mke wa pili lakini yule mdada ni mkorofi utadhani yeye ndio mke wa kwanza, wakati mke wa kwanza ndio alokula dhiki na yule mume sasaivi mambo safi kiasi mume ndio kaongeza mke wa pili.

Wake jamani mnapoingia kwenye ndoa kama mke wa pili au wa 3 hebu muheshimu mwenzio, ujue na yeye ana moyo na sio rahisi kama mnavyodhania.

Na wanaume mkiongeza wake ebu msimsugue roho yule wa mwanzo ni mama wa watoto wako. Mtetee inapobidi na mpe priority kama mke wa kwanza sio kila kitu iwe kosa lake tuu.

Inshallah Mwenyezi Mungu awape Subra manake si mtihani mdogo, naona huruma mtu mumewe akioa. Mwenyezi Mungu aninusuru manake huyu wangu akioa sijui itakuwaje.



ndo ujifunze kumrizisha bedi sasa,,kukalia muhogo na kukata feni,,styles kibao kifupi uwe unamchosha ,,,,akija kazini mkiingia ndani tuu unaanza kuchezea maiki,,hatatamani mwingine
 
ndo ujifunze kumrizisha bedi sasa,,kukalia muhogo na kukata feni,,styles kibao kifupi uwe unamchosha ,,,,akija kazini mkiingia ndani tuu unaanza kuchezea maiki,,hatatamani mwingine
Unadhani hiyo ndio sababu yakumueke au kumfanya asio mke wengine? hawatabiriki hawa viumbe sema kujitahidi wajibu wangu ...
 
Unajua KARANJA nimepitia mengi sana wakati mdogo na niliapa sitofanya kosa alofanya mzazi kwa watoto wangu,labda mwenyezi mungu atake lakini ntajitahidi na nazidi kumuomba mwenyezi mungu,wanaume hawa kawii kubadilika,ndio mana staki kuja kujuta when its too late,hapa nna nusu ya Team ya mpira ukiondoka kwake huyu bwana atakae chukua mzigo wote nani?lol bora nijipange Karanja ...
 
Back
Top Bottom