Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Unajua KARANJA nimepitia mengi sana wakati mdogo na niliapa sitofanya kosa alofanya mzazi kwa watoto wangu,labda mwenyezi mungu atake lakini ntajitahidi na nazidi kumuomba mwenyezi mungu,wanaume hawa kawii kubadilika,ndio mana staki kuja kujuta when its too late,hapa nna nusu ya Team ya mpira ukiondoka kwake huyu bwana atakae chukua mzigo wote nani?lol bora nijipange Karanja ...
Hongera kwa msimamo,pia usisahau ibada na maombi.
 
Kwanza hakuna mwanaume timamu anayeweza kuoa mke wa pili pasipo sababu ya msingi. Pili: Mwanamke mdogo (mke) wa pili kuwa mkorofi kwa mke mkubwa chanzo ni madhaifu ya mwanaume (mme). Tatu: Namna unvyomheshimu mke wako mkubwa ndivyo mke mdogo atakavyomheshimu na atamdharau mke mkubwa (ukorofi) kwa namna wewe mme unavyomdharau mke wako mkubwa.
Mkuu umenena ukweli ndio huo.
 
Mume anatakiwa kuwa muadilifu anapooa mke wa pili, asimpendelee sana mke wa kwanza kisa ametoka nae mbali huyu wa pili atajisikia vibaya atakapogundua. Kama mwanaume huna uwezo na uadilifu baki na mmoja
Hiyo ni biashara au siasa?imani hizi mh
 
Kwanza hakuna mwanaume timamu anayeweza kuoa mke wa pili pasipo sababu ya msingi. Pili: Mwanamke mdogo (mke) wa pili kuwa mkorofi kwa mke mkubwa chanzo ni madhaifu ya mwanaume (mme). Tatu: Namna unvyomheshimu mke wako mkubwa ndivyo mke mdogo atakavyomheshimu na atamdharau mke mkubwa (ukorofi) kwa namna wewe mme unavyomdharau mke wako mkubwa.
Point muhimu sana hii kwa wenye/wanaopenda au wenye mawazo ya kuwa na mitala.
 
Kwanza hakuna mwanaume timamu anayeweza kuoa mke wa pili pasipo sababu ya msingi. Pili: Mwanamke mdogo (mke) wa pili kuwa mkorofi kwa mke mkubwa chanzo ni madhaifu ya mwanaume (mme). Tatu: Namna unvyomheshimu mke wako mkubwa ndivyo mke mdogo atakavyomheshimu na atamdharau mke mkubwa (ukorofi) kwa namna wewe mme unavyomdharau mke wako mkubwa.
Mkuu kuna njemba hata bila sababu maalum zinaona tu ufahari kuoa mke wa pili.
 
Wanaume tunatofautiana sana yaani jinsi nilivyo nawaombeaga sana wanawake wapate MUME kama mimi,nina huruma na hekima pamoja na busara.Kitu kikubwa zaidi ni mcha mungu na kumuumiza mtu kwa vitendo au kwa maneno hua sipendi na hua nachukia sana
Safi sana mkuu kama ni kweli ndio uko vile. Hata mi huwa nawahurumia sana hawa viumbe kwa mikasa wanayotendewa na baadhi ya wanaume wenzetu. Wengi wao huonewa japo wapo na wakorofi. Mi huwa nadhani kuwa tungekuwa tunavaa uhusika wa hawa viumbe kwa baadhi ya mambo tunayowatendea kwa kweli tusingekuwa tunafanya huo ujinga.
 
Kuoa mke wa pili ni jambo zuri kwa mwanaume na nizuri kwa mwanamke pia tatizo lipo kwa wanawake huwa hawapendani kamwe hata we mwanaume ufanyeje never be the sawasawa hata siku moja .Naukiuliza ndoa nyingi vipi mumeo ametulia husema wapi anavidem nje kibao sijui nimfanyeje sasa kaamua kuoa ili umtambue mke mwenzako ni mwanzo tu utakubali ila huko mbele mwanaume lazima uombe pooo maana mziki ni mnene kama 93.7 fm,Mungu awape roho ya imani na uvumilivu walioko kwenye ndoa ya zaidi ya mke mmoja
 
Point muhimu sana hii kwa wenye/wanaopenda au wenye mawazo ya kuwa na mitala.
Wanaume tu waasisi wa kufanya wake zetu wadharauliwe hata kutukanwa na michepuko ama mke mdogo. Mtu umesota nae mwazo wa maisha harafu atokee pimbi anamdharau haki ya mungu namvunja miguu na kutangulia polisi.
 
Kwakweli inaumiza sana sana... [emoji27] [emoji27] [emoji27] jamani ukikuta text usioielewa tu kwenye simu ya mumeo ni shida sasa anakuaga kabisaaa na unajua anaenda kulala kwa mke mwingine jamani inauma asikwambie mtu.....
 
Hakika ni kuwa wapo wake majeuri kama vile walivyo wanaume wengine katika hilo na zaidi ya hilo. Ujeuri hutokea ima kwa sababu ya malezi aliyepata mtu yeyote yule au kwa sababu ambayo wewe ndio umeisababisha. Jambo hilo hutokea kwa kuwa labda hatujawatendea wema kama alivyotuamrisha Allaah Aliyetukuka na Mtume Wake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Allaah Aliyetukuka Anasema:

“Na kaeni nao kwa wema, na ikiwa mmewachukia, basi huenda mkakichukia kitu, na Allaah Ametia kheri nyingi ndani yake” (4: 19). Huu ndio msimamo wa Uislamu huenda mke akawa mjeuri lakini ana mazuri mengine jaribu kumrekebisha kwa njia ambayo ni nzuri.
 
Kwakweli inaumiza sana sana... [emoji27] [emoji27] [emoji27] jamani ukikuta text usioielewa tu kwenye simu ya mumeo ni shida sasa anakuaga kabisaaa na unajua anaenda kulala kwa mke mwingine jamani inauma asikwambie mtu.....
Wanauvumilivu wahusika
 
Ndio maana msimamo wa kanisa katoliki ni Mke mmoja tu kuepusha hizo kero.
 
Kwakweli inaumiza sana sana... [emoji27] [emoji27] [emoji27] jamani ukikuta text usioielewa tu kwenye simu ya mumeo ni shida sasa anakuaga kabisaaa na unajua anaenda kulala kwa mke mwingine jamani inauma asikwambie mtu.....
Hakuna namna sasa! Dini ndio ishasema
 
Back
Top Bottom