NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,398
Hi MMU,
Nina Shogangu mumewe ameoa mke wa pili lakini yule mdada ni mkorofi utadhani yeye ndio mke wa kwanza, wakati mke wa kwanza ndio alokula dhiki na yule mume sasaivi mambo safi kiasi mume ndio kaongeza mke wa pili.
Wake jamani mnapoingia kwenye ndoa kama mke wa pili au wa 3 hebu muheshimu mwenzio, ujue na yeye ana moyo na sio rahisi kama mnavyodhania.
Na wanaume mkiongeza wake ebu msimsugue roho yule wa mwanzo ni mama wa watoto wako. Mtetee inapobidi na mpe priority kama mke wa kwanza sio kila kitu iwe kosa lake tuu.
Inshallah Mwenyezi Mungu awape Subra manake si mtihani mdogo, naona huruma mtu mumewe akioa. Mwenyezi Mungu aninusuru manake huyu wangu akioa sijui itakuwaje.
Nina Shogangu mumewe ameoa mke wa pili lakini yule mdada ni mkorofi utadhani yeye ndio mke wa kwanza, wakati mke wa kwanza ndio alokula dhiki na yule mume sasaivi mambo safi kiasi mume ndio kaongeza mke wa pili.
Wake jamani mnapoingia kwenye ndoa kama mke wa pili au wa 3 hebu muheshimu mwenzio, ujue na yeye ana moyo na sio rahisi kama mnavyodhania.
Na wanaume mkiongeza wake ebu msimsugue roho yule wa mwanzo ni mama wa watoto wako. Mtetee inapobidi na mpe priority kama mke wa kwanza sio kila kitu iwe kosa lake tuu.
Inshallah Mwenyezi Mungu awape Subra manake si mtihani mdogo, naona huruma mtu mumewe akioa. Mwenyezi Mungu aninusuru manake huyu wangu akioa sijui itakuwaje.