Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Narudia kusema kuoa mke mwingine kuna sababu zake za msingi na ukifata sababu hizo faida ni kubwa kuliko hasara ila ukioa kwa matamanio hasara itakuwa kubwa kuliko faida ukielewa hivyo hutopata shida wala kuwa na maswali mengi mpaka mengine ya kufikirika.

[HASHTAG]#dini[/HASHTAG] haijamlazimisha mwanaume kuongeza mke baada ya mke wa kwanza

Au sababu za msingi kama huzijuwi uliza kwanza.
 
Mamii,isije ikawa wewe ndio muhanga au vipi?
Wala usijali KARANJA,mie mbona nimeshajipanga na Tukio kama hili as kila nnachochuma hua ni cha watoto 50% na 50% ni yangu yeye anaekuja aanze nae upya manake haikua rahisi kwangu iweje mwengine aje ale bata as if tulitabika wote,na still bado natabika labda aoe nisijue nikijua atahama yeye lol..
 
mke wa pili anakujaga baada ya mke wa kwanza kushindwa majukumu au kuolewa na mwanaume mfuksa au muislam sasa mara nyingi penzi jipya tamu...ukweli ni adui ni ngumuuu
sio kweli wote hua wameshindwa bali hua mwanamme akiamua na wengine hawataki kuzini,ila hao wanao waoa ndio wanakua tafrna kwa wenzao...
 
Kingine kama Mwenyezi Mungu aliwaruhusu muoe wake wanne mbona kawapa wanawake mioyo ya wivu? Inamaana Mungu anapenda wanawake wanavoumia kisa mume kaoa mke mwingine wakati kawarusu mwenyewe muoe? Nifahamisheni hapo kwanza.
Hakuna asiekua na wivu,ila inataka uchamungu sana kukubaliana na matokeo hayo,mume anaoa mke wa pili kuna wanaokua na reason,mfano mke hawezi kuzaa,mgonjwa hawezi kutimiza majukumu yake as a wife,na pia wengine wacha mungu wanaona baada ya kuzini bora aoe mke wa pili,ila hapo sasa inategemea huyo anaeolewa jee nimuelewa? wengine hua wehu akiolewa hujiona yeye ndio ana Quality ambazo yule mume anazitaka bila kukumbuka kua anaemjua huyo mume zaidi ni mkewe wa kwanza na alie vumilia dhiki ni wa kwanza...
 
Jifunze katika dini yako inaeleza vizuri suala la uke wenza na haipaswi mmoja aongezewe kutoka kwa mwingine na mwanaume anayefanya hivyo ajuwe anakosea
Nailewa Dini vizuri ila ukiwa kama mwanamme mkeo wa kwana lazima umpe Priority umetoka nae mbali,mfano,nimechuma nae mali nimeangaika tangu hatuna hata akiba mpaka tukajenga na 60% ni pesa ya jasho langu leo anao ile mali tunagawana na mke mwengine seriously?
 
Dini yao na yangu sawa sawa ila tatizo wanayo valid reason au wanaoa just for fun?
Hapo kujua sababu si inapaswa aongee na mke mkubwa au? Mie on ma side kuongezewa mke au niwe mke wa nyongeza noo
 
Hayo mambo ya uke wenza wanaweza Islamic mm noooooo akiniletea mke naondoka mapema sana
Sio tatizo aoe lakini huyo mkewe basi awe na adabu,shosti as long as dini inaruhusu wengine wanaweza kustahmili..
 
Hapo kujua sababu si inapaswa aongee na mke mkubwa au? Mie on ma side kuongezewa mke au niwe mke wa nyongeza noo
Normally yes,lakini sikuizi unaambiwa baada ya ndoa au mpaka upate kidudu mtu aje akwambie...
 
Kwa moyo wangu huu uwii Mungu aniepushie mbali.. Dini yangu inaruhusu mke mmoja
ahahah kuna DP moja niliona Imeandikwa ivi,Mume wangu chepuka urudi Uke wenza siuwezi,nilichekaaaa..
 
Back
Top Bottom