Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Mkuu kuna njemba hata bila sababu maalum zinaona tu ufahari kuoa mke wa pili.
Ni kumpa stress na kumkatisha tamaa za maisha ya ndoa mke pasipo sababu ya msingi. Mijitu ya Pwani na Visiwani inapenda sana hizo tabia. Na wanawake wawe wanailisha hata libwata mijemba ya hiyo.
 
Hili swali lilifaa liwe hivi:

"Kwanini Mume huwa anafall in love completely na kumjali zaidi mke wa pili au mke mdogo kuliko wa kwanza? "

Hii inatokea kwenye familia nyingi kweli.

Hili ni somo nyeti sana.sio tu kufall in love.ni sayansi Kali sana ya ndoa.baada ya bi mkubwa kuona umeleta mwenzie huanza kamgomo baridi ka nchi kavu au baharini. Moja wapo ya hivi vimchezo ni kulaliwa na trqxksuit. Hapa ndio baba anaamua kupeleka nguvu upande was pili.kama mke mkubwa akikikaribisha hii hali
kwa utulivu basi baba huweza kubalance mchezo.
 
[emoji23][emoji23] haya mambo haya..magumu
 
Back
Top Bottom