Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Hapo safi,sema wanaume wengine hawaangalii walikotoka na wake zao,sasa wangekua wamefanyiwa wao,duu pangekua hapatoshi...
Wanaume tunatofautiana sana yaani jinsi nilivyo nawaombeaga sana wanawake wapate MUME kama mimi,nina huruma na hekima pamoja na busara.Kitu kikubwa zaidi ni mcha mungu na kumuumiza mtu kwa vitendo au kwa maneno hua sipendi na hua nachukia sana
 
Mke wa pili huwa anajistukia hivyo atafanya ukorofi na vurugu ili kutake over nafasi ya mke wa kwanza, nadhani dawa yake ni kumuongezea mke wa tatu na wa nne
hapo lazima ule msemo wa kama tamu na wewe onja umukhusu...
 
Hili lakuombea lisikukute, ila huwa najiuliza mbona mwanaume akisikia mke wake kagegedwa kesi hadi kwa wazazi au hadi talaka. Hawa wanawake wana roho gani yaani mwanaume anaenda kulala tena na taarifa anampa mkewe kwamba leo naenda kugegeda mtaa wa pili. Halafu akisikia mkewe katoka usiku atatoka kule kwenda kumtafuta alikoenda. jamani hivi inakuwaje?
Inataka uchamungu sanaaaaaa...
 
hapo lazima ule msemo wa kama tamu na wewe onja umukhusu...
Hapana mimi nitaweka kipengele cha mkataba ambacho endapo itathibitika mke wa pili amesababisha kwa makusudu jambo la kumvunjia heshima mke mkubwa kwa maneno au vitendo basi ndoa yake mimi na yeye ndio imefika mwisho
 
Hapana mimi nitaweka kipengele cha mkataba ambacho endapo itathibitika mke wa pili amesababisha kwa makusudu jambo la kumvunjia heshima mke mkubwa kwa maneno au vitendo basi ndoa yake mimi na yeye ndio imefika mwisho
mmmmmm,mnachelewa kukolea nyie mkasahau,mpaka ,mkisha tendwa ndio mnatia akili..
 
mmmmmm,mnachelewa kukolea nyie mkasahau,mpaka ,mkisha tendwa ndio mnatia akili..
Tatizo lako hunijui ndio maana unasema hivyo,mimi nina msimamo wala siendekezi nyege ndio maana tangu nibalehe mpaka sasa uume wangu umeingia kwenye papuchi moja tu.Nilishatongozwa zaidi ya mara moja tena nina rekodi ya kukataa papuchi zaidi ya mara nne
 
Tatizo lako hunijui ndio maana unasema hivyo,mimi nina msimamo wala siendekezi nyege ndio maana tangu nibalehe mpaka sasa uume wangu umeingia kwenye papuchi moja tu.Nilishatongozwa zaidi ya mara moja tena nina rekodi ya kukataa papuchi zaidi ya mara nne
ahahahaha,haya Hongera sanaa manake sio kawaida...
 
Hili swali lilifaa liwe hivi:

"Kwanini Mume huwa anafall in love completely na kumjali zaidi mke wa pili au mke mdogo kuliko wa kwanza? "

Hii inatokea kwenye familia nyingi kweli.
 
Kwa hili wanawake wa kiislam mna mtihani, japo kidini ruksa lakini .....
Ni kweli kwa anaekubali lakini. Hivi ni kwanini mtu ushare mume, knowingly? Mm sikubali kuolewa as a second wife, na pia kuletewa mke mwengine ndani. When he wishes to do that, i'm done. Don't do unto others what you don't want others to do unto you!
 
Back
Top Bottom