Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Kwanini Mke wa pili huwa mkorofi?

Mara nyingi makosa sio ya mke mdogo Makosa ni huyo Mume baadhi ya wanaume akiazna uhusiano huko nje mpaka aanze kumponda mke wake au kumsema vibaya au kumuonyesha kimada kuwa hamuogopi au kumuheshimu, sasa yule kimada akija kuingia kwenye ndoa nae anafanya muendelezo, wa kumcontrol bwana kupitia mkewe na yale madhaifu yake, KAMA MUME UNAMUHESHIMU MKE WAKO, NA KUMJENGEA HESHIMA KWA VIMADA/MKE, BASI HUYO MKE WA PILI NAE ATAJENGA HESHIMA HATA KAMA YA KUFAKE.
Kwanza hata sijui wanaona nini wake wengi maisha yenyewe haya jamani tafrani moja kwa zote..
 
Kwanza hakuna mwanaume timamu anayeweza kuoa mke wa pili pasipo sababu ya msingi. Pili: Mwanamke mdogo (mke) wa pili kuwa mkorofi kwa mke mkubwa chanzo ni madhaifu ya mwanaume (mme). Tatu: Namna unvyomheshimu mke wako mkubwa ndivyo mke mdogo atakavyomheshimu na atamdharau mke mkubwa (ukorofi) kwa namna wewe mme unavyomdharau mke wako mkubwa.
TRUE
 
Hi MMU,
Nna Shogangu Mumewe ameoa mke wa pili lakini yule mdada ni mkorofi utadhani yeye ndio
mke wa kwanza, wakati mke wa kwanza ndio alokula dhiki na yule mume sasaivi mambo
safi kiyasi mume ndio kaongeza mke wa pili.
Wake jamani mnapoingia kwenye ndoa kama mke wa pili au wa 3 ebu muheshimu mwenzio
ujue na yeye ana moyo na sio rahisi kama mnavyodhania...

Na wanaume mkiongeza wake ebu msimsugue roho yule wa mwanzo ni mama wa watoto wako
mtete inapobidi na mpe priority kama mke wa kwanza sio kila kitu iwe kosa lake tuu
Inshallah mwenyezi mungu awape Subra manake si mtihani mdogo...naona huruma mtu mumewe
akioa mie,mwenyezi mungu annusuru manake huyu wangu akioa sijui itakuwaje...
Mm nna mkasa mkubwa sana unahusu mapenzi ila nashindwa kupost ata hum sijawah kupost chochote msaada tutani
 
Mm nna mkasa mkubwa sana unahusu mapenzi ila nashindwa kupost ata hum sijawah kupost chochote msaada tutani
Shosti bora useme kama unahitaji msaada kwenye wengi haliaharibiki jambo,wala usione tabu ukiona mtu anakujibu utumbo, jua halijamkuta na kila mtu na malezi yake,sasa ukijisikia uko sawa weka tuongeee...
 
Yaani nilivyohangaika na mke wangu mpaka sasa hivi maisha yamekua kipato cha kati halafu itokee nioe mke wa pili alete upuuzi ataondoka tu,kwanza nikiamua kuoa mke wa pili ntatumia vigezo vifuatavyo
(a) awe na kazi au anashughuli yake ya kudumu ambayo inamuingizia kipato
(b) awe hana uwezo wa kuzaa yaani MGUMBA
 
Shosti bora useme kama unahitaji msaada kwenye wengi haliaharibiki jambo,wala usione tabu ukiona mtu anakujibu utumbo, jua halijamkuta na kila mtu na malezi yake,sasa ukijisikia uko sawa weka tuongeee...
Jamaan nadhalilishwa kijinsia ntake radhi asee mimi Shosti huyo ktk avatar ni kidume wangu wa kwanza wala sitanii.
 
Mara nyingi sana wa pili ndio anakua na sauti...
Yaani nilivyohangaika na mke wangu mpaka sasa hivi maisha yamekua kipato cha kati halafu itokee nioe mke wa pili alete upuuzi ataondoka tu,kwanza nikiamua kuoa mke wa pili ntatumia vigezo vifuatavyo
(a) awe na kazi au anashughuli yake ya kudumu ambayo inamuingizia kipato
(b) awe hana uwezo wa kuzaa yaani MGUMBA
Na sababu za kuongeza?
 
Yaani nilivyohangaika na mke wangu mpaka sasa hivi maisha yamekua kipato cha kati halafu itokee nioe mke wa pili alete upuuzi ataondoka tu,kwanza nikiamua kuoa mke wa pili ntatumia vigezo vifuatavyo
(a) awe na kazi au anashughuli yake ya kudumu ambayo inamuingizia kipato
(b) awe hana uwezo wa kuzaa yaani MGUMBA
Hapo safi,sema wanaume wengine hawaangalii walikotoka na wake zao,sasa wangekua wamefanyiwa wao,duu pangekua hapatoshi...
 
mwenyezi mungu atakunusuru manake inahitajika uvumilivu wa ziada....
Hili lakuombea lisikukute, ila huwa najiuliza mbona mwanaume akisikia mke wake kagegedwa kesi hadi kwa wazazi au hadi talaka. Hawa wanawake wana roho gani yaani mwanaume anaenda kulala tena na taarifa anampa mkewe kwamba leo naenda kugegeda mtaa wa pili. Halafu akisikia mkewe katoka usiku atatoka kule kwenda kumtafuta alikoenda. jamani hivi inakuwaje?
 
Back
Top Bottom