Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,642
Hakuna madhara zaidi ya ule ugonjwa wa kawaida wa gout
Kutakuwa na madhara endapo yule mbuzinakanuiwa maneno kwamba yoyote atayemla mbuzi huyu apatwe na jambo flani. Kumbuka maneno yanaumba na wachawi au watumishi wa Mungu wanafanya kazi kupitia maneno/Neno.
Ukienda kwa waganga huwa wanakwambia mda mwingine nuia maneno unayotaka wewe, kwahiyo ktk ulimwengu wa roho yale maneno yanaumbika kabisa.
Ogopa sana kula hovyo kwenye mashuhuli ambayo hujui watu washeherekea nini, ogopa kula chakula kwenye matambiko hata kama ni ya kwenu a hujui wanatambika nini n.k
Kwahiyo huyo mbuzi kama alinuiwa maneno basi atakuwa na madhara kama huyo aliyemla hana kinga.
Huyo walishamaliza naye shughuli ni Sawa na ile methali isemayo ganda la mua la Jana...chungu kaona kivuno...!!!
Nilishawahi kuweka mada ya mbuzi wa ndafu kuwa ni ibada ya kishetani, mjadala ulikuwa mzito na nilishutumiwa sana mpaka pm, hii ni kwa sababu iligusa Mila na tamaduni za makabila ya watu.
Kulikuwa pia na mada ihusuyo mbuzi wanaozurura mitaani, wanaitwa wa laana ikawa nayo ni mjadala uliogusa hisia za wengi
Si mara moja au mara mbili kusikia kuhusu mbuzi wa shughuli... Ni shughuli gani hiyo??? Kwanini asiwe kondoo au punda au Ng'ombe?
Mbuzi hasa beberu ni alama ya kuzimu, ni alama ya shetani na imani za kishetani na dunia ya giza, ndio maana laana na mapepo yote hutupiwa mbuzi kwakuwa kule ni Kama nyumbani kwao.
Mbuzi hawa wanaoitwa kwa jina lingine mbuzi wa albadiri hawafi hawaugui hawagongwi na magari na kamwe huwezi kuwakuta kwenye sehemu zisizo na watu, kamwe huwezi kukuta Mzoga wa hawa wanayama, na kama ukiukuta basi huyo alikuwa kenge kwenye msafara wa mamba.
Waganga wengi wa kienyeji na mambo ya Kiza humtumia Sana mbuzi Kama sehemu ya kafara na kinachochukuliwa ni damu na Kichwa tuu, hiki ndio hutengeneza muungano na nguvu za kuzimu.
Cha kushangaza ni kwamba mapepo huwaingia wanawake zaidi kuliko wanaume, na kwa wanyama mbuzi ndio hutumika zaidi kuliko wanyama wengine unajua ni kwanini?
Mniwie radhi kwa picha nitakayoweka, ni sehemu ya kuelimishana na kujuzana visivyosemwa, Nina Heshima na adabu kwa kila mtu, hasa mama zetu, picha hii isitafsiriwe Kama dhihaka... Nimetoa angalizo hili mapema.
Mfanano wa via vya uzazi vya mwanamke na kichwa cha mbuzi beberu ndio vinatengeneza colabo ya ajabu unaovutia nguvu za kuzimu na mapepo
Yaani we jamaa ni mshirikina.mzinzi,mnafiki,mchawi,kigagula,alwatani,mlozi,mwanga,
Sijawahi ona mtu wa kaliba yako hapa jf. Afu mtindo wa kunitumia pm za vitisho ukome kuanzia leo.
Mshirikina mkubwa weweeeee
Asante kwa somo zuri MkuuKutakuwa na madhara endapo yule mbuzinakanuiwa maneno kwamba yoyote atayemla mbuzi huyu apatwe na jambo flani. Kumbuka maneno yanaumba na wachawi au watumishi wa Mungu wanafanya kazi kupitia maneno/Neno.
Ukienda kwa waganga huwa wanakwambia mda mwingine nuia maneno unayotaka wewe, kwahiyo ktk ulimwengu wa roho yale maneno yanaumbika kabisa.
Ogopa sana kula hovyo kwenye mashuhuli ambayo hujui watu washeherekea nini, ogopa kula chakula kwenye matambiko hata kama ni ya kwenu a hujui wanatambika nini n.k
Kwahiyo huyo mbuzi kama alinuiwa maneno basi atakuwa na madhara kama huyo aliyemla hana kinga.
Oya habari za siku? Hivi ile tabia yako ya kuvua nguo na kubinua makalio vichochoroni ukishalewa umeacha? Na vipi shemeji kurudi au bado? Maana ile ishu ya mwisho kurudi he unanuka kinyesi ilifedhehesha famiria yote na majirani
Wacha Wee... Hebu weka na sauti tupate burudani
Msiige Lugha za watu jamani kama hamzijui
yaani dada una vituko wewe. Ah nilisahau kumbe ndo upo mwezini....
Chagua lowassa
Oya habari za siku? Hivi ile tabia yako ya kuvua nguo na kubinua makalio vichochoroni ukishalewa umeacha? Na vipi shemeji kurudi au bado? Maana ile ishu ya mwisho kurudi he unanuka kinyesi ilifedhehesha famiria yote na majirani
Asante kwa somo zuri Mkuu
Ukitaka kupata kibwagizo PUMBA andika neno pumba kwenda Mshana Jr@gmail.com, utapokea pumba 24hr.
Na kuku imekaaje maana waganga wanazipenda sana
Hawana wenyewe wale ni mapepo ndani ya miili ya wanyama mbuzi
Mshana jr embu tusaidiane hapa ikiwa hivi viumbe ambavyo Mungu kavimilikisha kwa binadamu leo vinapataje power kwa shetani, kuna uhusiano gani kati ya ndafu au kichwa cha mbuzi na mji wa uzazi kwa wanawake katika uumbaji, je Mungu anasiri na shetani