Kwanini mbuzi tu na si mnyama mwingine?

Kwanini mbuzi tu na si mnyama mwingine?

Ukishaanza kuamini mambo haya utaishi kuwa mtumwa wa mambo hayo.
 
Ukishaanza kuamini mambo haya utaishi kuwa mtumwa wa mambo hayo.
Bavaria naona wengi wameondoka kabisa nje ya mada, hebu pitia tena kuna kitu zaidi ya uchawi nimekiongea hapa wengi hawakijadili, nacho ni uhusiano wa mapepo kuwaandama zaidi mbuzi na wanawake na nikaonyesha kwa michoro picha mfanano wa genial parts za mwanamke na kichwa cha beberu
Tukiachana na uchawi, Kichwa cha beberu ni alama muhimu katika dini ya mashetani
Tukiachana na uchawi wanawake ndio waathirika wakuu wa mapepo mashetani na majini
Tukiachana na uchawi sio siri kuwa kuna makundi maelfu ya mbuzi wasio na mmiliki na sio hapa Tanzania tu
 
Last edited by a moderator:
yaan sijui hata unachomaanisha. Hujaeleweka hebu elezea vzr ueleweke.
Maana tunaweza kukufikiria vbaya kumbe upo kwenye sku zako. Maana naskia nyinyi wanawake mkiwa mp mnakuwa na akili za kushoto

Respect women's please. ..
 
mbuzi kaumbwa na Mungu hana connection na kuzim kama hajakonektiwa binadam ndo wanamuharamisha wenyewe..

Let's see things in bigger picture.. Do you know anything about Satanism?
 
kuna wakati nakuwa na hisia kwamba kuna baadhi ya watu wanataka kupenyeza hofu na imani zao za kishetani katika jamii.
they create fear so that to corrupt people's minds

Hivi kueleza kitu kama hiki unaleta hofu gani? Hata visiposemwa na mimi au Yoyote bado vipo na vinatendeka
 
Lisemwalo lipo, ukipita ununio mida ya saa nne usiku utakutana na mbuzi zaidi ya mia wakiwa wanajichunga wenyewe!

uku moro mjini kabisa kunasehem inaitwa sultani kunamimbuzi imenenepeana vbaya usiku wote utaikuta inazulula tu na kunamateja kibao maeneo hayo hukuti teja kukamata mbuzi hao akamalie shida zake inanichanganya sasana maana teja haofii kitu!!!
 
Umenikumbusha mwaka flan nikiwa mafinga jkt tulimkuta mbuzi mmoja alikuwa akiishi pangon. Alikuwa beberu mweus na rangi nyeupe shingon. Yule beberu tulimlia timing kwa mda kidogo kila asubuhi alikuwa anakuwa juu ya mlima anakula majan ikifika saa 5 anarudi eneo la pango.

Tukaanza kumuwinda sku ya kwanza alitushinda maana alikuwa anakimbia baraa na alikuwa hatoi saut kama mbuz wengne.

Sku ya pili tukampiga ambush moja matata sana tulifanikiwa kumkamata. Tulimchinja hukohuko porin na tukamla. Japo tulitishiwa sana na baadhi ya wenzet lakn tukawa matomaso.

Lakn hakuna aliyedhulika. Kwa wanaoijua mafinga pale maeneo ya changarawe ukinyooka na mbeya road kuna sehem panaitwa idetero hapo ndipo tulipo vunja matambiko ya watu

A criminal offense doesn't expire rafiki yangu, wewe endelea tu kutoa clues, watakutafuta wenye mbuzi, haa haaaaaaa
 
A criminal offense doesn't expire rafiki yangu, wewe endelea tu kutoa clues, watakutafuta wenye mbuzi, haa haaaaaaa

Siku akiamua kugombea nafasi ya uongozi kisiasa watamqoute
 
Mshana jr embu tusaidiane hapa ikiwa hivi viumbe ambavyo Mungu kavimilikisha kwa binadamu leo vinapataje power kwa shetani, kuna uhusiano gani kati ya ndafu au kichwa cha mbuzi na mji wa uzazi kwa wanawake katika uumbaji, je Mungu anasiri na shetani
 
uku moro mjini kabisa kunasehem inaitwa sultani kunamimbuzi imenenepeana vbaya usiku wote utaikuta inazulula tu na kunamateja kibao maeneo hayo hukuti teja kukamata mbuzi hao akamalie shida zake inanichanganya sasana maana teja haofii kitu!!!


Wale mbuzi wa miaka mingi sana, kutwa wanashinda Kikundi s/m pale
 
Mshana jr embu tusaidiane hapa ikiwa hivi viumbe ambavyo Mungu kavimilikisha kwa binadamu leo vinapataje power kwa shetani, kuna uhusiano gani kati ya ndafu au kichwa cha mbuzi na mji wa uzazi kwa wanawake katika uumbaji, je Mungu anasiri na shetani

Tafakari mambo haya
-Ibilisi shetani anamdanganya mwanamke kutenda dhambi ya mti wa kati
-Dini ya mashetani inatumia Kichwa cha mbuzi Kama icon yao
- shepu ya Kichwa cha mbuzi inafanana na maumbile ya Siri ya mwanamke
-ishu za mashetani majini na mapepo huwakumba zaidi wanawake na mbuzi hutumiwa Kama sehemu ya tiba au kafara au kibebeo cha hiyo midude
Hivi vyote ni uumbaji wa Mungu
 
Umenikumbusha mwaka flan nikiwa mafinga jkt tulimkuta mbuzi mmoja alikuwa akiishi pangon. Alikuwa beberu mweus na rangi nyeupe shingon. Yule beberu tulimlia timing kwa mda kidogo kila asubuhi alikuwa anakuwa juu ya mlima anakula majan ikifika saa 5 anarudi eneo la pango.

Tukaanza kumuwinda sku ya kwanza alitushinda maana alikuwa anakimbia baraa na alikuwa hatoi saut kama mbuz wengne.

Sku ya pili tukampiga ambush moja matata sana tulifanikiwa kumkamata. Tulimchinja hukohuko porin na tukamla. Japo tulitishiwa sana na baadhi ya wenzet lakn tukawa matomaso.

Lakn hakuna aliyedhulika. Kwa wanaoijua mafinga pale maeneo ya changarawe ukinyooka na mbeya road kuna sehem panaitwa idetero hapo ndipo tulipo vunja matambiko ya watu

hahahahahahahaha,...umenifurahisha sana. mlimtendea haki huyo mbuzi kwa kweli.
 
Back
Top Bottom