Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Kaka napajua hapo full winter asee hamkudhurika?
hatukudhulika tulimgonga supu na nyingine iliyobaki tulichoma hukohuko
Kaka napajua hapo full winter asee hamkudhurika?
Hawana wenyewe wale ni mapepo ndani ya miili ya wanyama mbuzi
Mbuzi ni mmojawapo ya wanyama wasumbufu Sana, ni Afadhali hata kuchunga kondoo kuliko mbuzi, hawatulii sehemu moja.. Sasa ukishaona mbuzi ana ratiba maalum tena anayoizingatia vizuri basi ujue huyo si kiumbe wa kawaida, lakini si lazima kuwa anaweza kukudhuru kwa njia yoyote kwakuwa wewe si mlengwa na ndio maana hata kuna vitu vya thamani hutupwa na kuokotwa na wengine na visiwadhuru
Mbuzi ni mmojawapo ya wanyama wasumbufu Sana, ni Afadhali hata kuchunga kondoo kuliko mbuzi, hawatulii sehemu moja.. Sasa ukishaona mbuzi ana ratiba maalum tena anayoizingatia vizuri basi ujue huyo si kiumbe wa kawaida, lakini si lazima kuwa anaweza kukudhuru kwa njia yoyote kwakuwa wewe si mlengwa na ndio maana hata kuna vitu vya thamani hutupwa na kuokotwa na wengine na visiwadhuru
Lakn mshana jr hayo mambo ya mbuzi naona kama yanatofautiana kutokana na sehem.
Mambo ya mbuzi wa shughuli mm nmeanza kuyaona maeneo ya pwan na kanda ya kat. Lakn mikoa ya kwetu nmeona kondoo ndio anahusika sana.
Na kwetu zaman chifu akifa alikuwa anazikwa mtu aliyehai pamoja na chifu na ng'ombe wote wanazikwa kaburi moja
Yeah ni ukoo mmoja tu ndio maana kwenye mojawapo ya hizo picha ni kichwa cha kondoo
Umenikumbusha mwaka flan nikiwa mafinga jkt tulimkuta mbuzi mmoja alikuwa akiishi pangon. Alikuwa beberu mweus na rangi nyeupe shingon. Yule beberu tulimlia timing kwa mda kidogo kila asubuhi alikuwa anakuwa juu ya mlima anakula majan ikifika saa 5 anarudi eneo la pango.
Tukaanza kumuwinda sku ya kwanza alitushinda maana alikuwa anakimbia baraa na alikuwa hatoi saut kama mbuz wengne.
Sku ya pili tukampiga ambush moja matata sana tulifanikiwa kumkamata. Tulimchinja hukohuko porin na tukamla. Japo tulitishiwa sana na baadhi ya wenzet lakn tukawa matomaso.
Lakn hakuna aliyedhulika. Kwa wanaoijua mafinga pale maeneo ya changarawe ukinyooka na mbeya road kuna sehem panaitwa idetero hapo ndipo tulipo vunja matambiko ya watu