Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,879
- 33,315
Humo ndimo wanamofichamia siku hizi lengo ni kuwaibia watu fedha zao kwa kisingizio cha sadakaMsomi mwenyeweView attachment 1818636
Humo ndimo wanamofichamia siku hizi lengo ni kuwaibia watu fedha zao kwa kisingizio cha sadakaMsomi mwenyeweView attachment 1818636
Huyu ndio alikuwa kinara wa wasomi mwitu, PhD ya kuungaunga ndio ametufikisha hapa wasomi kudharaulika.Wasomi wetuView attachment 1818639
Kwasababu anaona wenye BAED sikuhizi wanakesha kubeti wakati walikuwa wanaheshimiwaNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Wasomi ka hawana faida hospitalini huwa unatibiwa na nyanya yako au ukienda kwenye huduma muhimu huwa hukuti wataalamu?Nchi hii hakuna wasomi. Msukuma yuko sahihi kabisa
Wasomi ndiyo wanapiga kelele kuilalamikia serikali juu ya ukosefu wa ajira. Tulitegemea wao ndiyo watatuzi wa tatizo hili badala yake wao ndiyo wanalikuza.
Bibi yangu maisha yake yote anaishi kwa kupambana na ametulea. Hawa wasomi uchwara hawana jipya mtaani
Hivi ni maana ya msomi?Huyu ndio alikuwa kinara wa wasomi mwitu, PhD ya kuungaunga ndio ametufikisha hapa wasomi kudharaulika.
Msukuma anapaswa kufahamu kwamba wasomi wenye kujitambua wapo sana Ila ni hiyohiyo CCM haiwataki inateuwa wademkaji kama Kabudi na group lake.
Pia afahamu kwamba wasomi wapo sana tu Ila mawazo yao hayaheshimiwi hata wanapoteuliwa maana wataonekana wanamuoutshine kiongozi wa juu yao.
Njia pekee ni kuungana na wajinga unaweka cheti mfukoni maana ukiingia CCM unabakiza jina PhD Ila matendo unajitoa uelewa.
Ni Hawa wajinga ndio wanapelekea wasomi waamue kujifanya wajinga maana nae anadharau wasomi kila siku hii Ina maana hata ukifanya na kazi atajiona yeye ndio ana akili wakati ni mjinga tu.
He is suffering from inferiority complex .Ndugai ampeleke milembe akapimwe.He is not normal upstairsNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Ndio ninachokiongea hapo otherwise tukianza kujadili unachoongea tutahama kwenye mada na usomi wetu hautatusaidia jomba.Hivi ni maana ya msomi?
Je ni kipi hasa kinamtambulisha msomi kuwa ni msomi?
Kuna haja gani ya kuwa na wasomi ambao hawajijui kuwa ni wasomi?
Usomi siyo kukopi na kupaste bwana lazima uoneshe ulichosomea kwa jamii.
Hospitalini kuna wagawa vidonge na wachoma sindano. Tulitaka watengeneza vidonge na sindano. Ndiyo maana wale walioungua kule Morogoro walikufa wote. Watoa vidonge na wagawa dawa walishindwa kuwaokoa. Ingekuwa Ulaya wale wote wangepona.Wasomi ka hawana faida hospitalini huwa unatibiwa na nyanya yako au ukienda kwenye huduma muhimu huwa hukuti wataalamu?
Kwahyo unashauri serikali ifute shule zote tubaki na kina musukuma eti?
Unaongea pumba tu na ww,, unemployment ni catastrophic event dunia nzima,, hata USA wanalalamika kuhusu hli,, unataka mtu wa forensic awe private detective, kwa resources gani alizonazo,,,,Nchi hii hakuna wasomi. Msukuma yuko sahihi kabisa
Wasomi ndiyo wanapiga kelele kuilalamikia serikali juu ya ukosefu wa ajira. Tulitegemea wao ndiyo watatuzi wa tatizo hili badala yake wao ndiyo wanalikuza.
Bibi yangu maisha yake yote anaishi kwa kupambana na ametulea. Hawa wasomi uchwara hawana jipya mtaani
Ni sawa tu maana hawajielewi kabisa wanasimamia nini ni unafiki tu ndo wajualoNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
MSENGEnyaji sana wwElimu kazi ni kumwezesha mwanadamu kutatua changamoto zinazomzunguka.
Sasa kama umesoma halafu uwezo wako wa kupambana na changamoto ni sawa na wangu. Au pengine nakuzidi. Usomi wako una maana gani? Huko mnasomea ujinga na ngono tu.
Akijibu mkuu nitagKwani wasomi wamelifanyia nini taifa hili zaidi ya kuliibia tu ?
Msukuma yuko sawa tu,Akijibu mkuu nitag
Hivi hawa nao utawaita ni wasomi ukizingatia kaulizao mbalimbali zenye utata
- Kabudi
- Bashiru
- Polepole