Kwanini mbunge Musukuma anapenda kuwadharau wasomi wetu?

Wasomi wetu
tapatalk_1577992369358.jpg
 
Huyu ndio alikuwa kinara wa wasomi mwitu, PhD ya kuungaunga ndio ametufikisha hapa wasomi kudharaulika.

Msukuma anapaswa kufahamu kwamba wasomi wenye kujitambua wapo sana Ila ni hiyohiyo CCM haiwataki inateuwa wademkaji kama Kabudi na group lake.

Pia afahamu kwamba wasomi wapo sana tu Ila mawazo yao hayaheshimiwi hata wanapoteuliwa maana wataonekana wanamuoutshine kiongozi wa juu yao.

Njia pekee ni kuungana na wajinga unaweka cheti mfukoni maana ukiingia CCM unabakiza jina PhD Ila matendo unajitoa uelewa.

Ni Hawa wajinga ndio wanapelekea wasomi waamue kujifanya wajinga maana nae anadharau wasomi kila siku hii Ina maana hata ukifanya na kazi atajiona yeye ndio ana akili wakati ni mjinga tu.
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Kwasababu anaona wenye BAED sikuhizi wanakesha kubeti wakati walikuwa wanaheshimiwa
 
Hao wasomi wanatija gani hadi sasa iwapo tunagail wakiwepo?

Au kipi cha maana wameiletea nchi hii kama siyo umaskini kwa kulipana mishahara mikubwa?
 
Nchi hii hakuna wasomi. Msukuma yuko sahihi kabisa

Wasomi ndiyo wanapiga kelele kuilalamikia serikali juu ya ukosefu wa ajira. Tulitegemea wao ndiyo watatuzi wa tatizo hili badala yake wao ndiyo wanalikuza.

Bibi yangu maisha yake yote anaishi kwa kupambana na ametulea. Hawa wasomi uchwara hawana jipya mtaani
Wasomi ka hawana faida hospitalini huwa unatibiwa na nyanya yako au ukienda kwenye huduma muhimu huwa hukuti wataalamu?
Kwahyo unashauri serikali ifute shule zote tubaki na kina musukuma eti?
 
Huyu ndio alikuwa kinara wa wasomi mwitu, PhD ya kuungaunga ndio ametufikisha hapa wasomi kudharaulika.

Msukuma anapaswa kufahamu kwamba wasomi wenye kujitambua wapo sana Ila ni hiyohiyo CCM haiwataki inateuwa wademkaji kama Kabudi na group lake.

Pia afahamu kwamba wasomi wapo sana tu Ila mawazo yao hayaheshimiwi hata wanapoteuliwa maana wataonekana wanamuoutshine kiongozi wa juu yao.

Njia pekee ni kuungana na wajinga unaweka cheti mfukoni maana ukiingia CCM unabakiza jina PhD Ila matendo unajitoa uelewa.

Ni Hawa wajinga ndio wanapelekea wasomi waamue kujifanya wajinga maana nae anadharau wasomi kila siku hii Ina maana hata ukifanya na kazi atajiona yeye ndio ana akili wakati ni mjinga tu.
Hivi ni maana ya msomi?

Je ni kipi hasa kinamtambulisha msomi kuwa ni msomi?

Kuna haja gani ya kuwa na wasomi ambao hawajijui kuwa ni wasomi?

Usomi siyo kukopi na kupaste bwana lazima uoneshe ulichosomea kwa jamii.
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
He is suffering from inferiority complex .Ndugai ampeleke milembe akapimwe.He is not normal upstairs
 
Kama jimboni alipita bila rushwa nampongeza kwa kuwashinda wasomi kwa hoja! Ila kama alitoa rushwa ili apite mmmmmm!!!
 
Hivi ni maana ya msomi?

Je ni kipi hasa kinamtambulisha msomi kuwa ni msomi?

Kuna haja gani ya kuwa na wasomi ambao hawajijui kuwa ni wasomi?

Usomi siyo kukopi na kupaste bwana lazima uoneshe ulichosomea kwa jamii.
Ndio ninachokiongea hapo otherwise tukianza kujadili unachoongea tutahama kwenye mada na usomi wetu hautatusaidia jomba.
 
Wasomi ka hawana faida hospitalini huwa unatibiwa na nyanya yako au ukienda kwenye huduma muhimu huwa hukuti wataalamu?
Kwahyo unashauri serikali ifute shule zote tubaki na kina musukuma eti?
Hospitalini kuna wagawa vidonge na wachoma sindano. Tulitaka watengeneza vidonge na sindano. Ndiyo maana wale walioungua kule Morogoro walikufa wote. Watoa vidonge na wagawa dawa walishindwa kuwaokoa. Ingekuwa Ulaya wale wote wangepona.

Mabenki kuna watunza fedha. Tulitaka wabunifu wa kutengeneza mifumo ya upatikanaji wa fedha.
 
Nchi hii hakuna wasomi. Msukuma yuko sahihi kabisa

Wasomi ndiyo wanapiga kelele kuilalamikia serikali juu ya ukosefu wa ajira. Tulitegemea wao ndiyo watatuzi wa tatizo hili badala yake wao ndiyo wanalikuza.

Bibi yangu maisha yake yote anaishi kwa kupambana na ametulea. Hawa wasomi uchwara hawana jipya mtaani
Unaongea pumba tu na ww,, unemployment ni catastrophic event dunia nzima,, hata USA wanalalamika kuhusu hli,, unataka mtu wa forensic awe private detective, kwa resources gani alizonazo,,,,
 
Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.

Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?

Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?

Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Ni sawa tu maana hawajielewi kabisa wanasimamia nini ni unafiki tu ndo wajualo

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Elimu kazi ni kumwezesha mwanadamu kutatua changamoto zinazomzunguka.

Sasa kama umesoma halafu uwezo wako wa kupambana na changamoto ni sawa na wangu. Au pengine nakuzidi. Usomi wako una maana gani? Huko mnasomea ujinga na ngono tu.
MSENGEnyaji sana ww
 
Msukuma hajamdharau mtu, Ila amejidhalilisha mwenyewe.
Hapa duniani, hakuna awezaye kukudharau Kama hujamruhusu akudharau au akupuuze.
 
Back
Top Bottom