cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,623
- 137,292
hii picha sijawahi iamini, nadhani ni Editing tyuuh.Wasomi wetuView attachment 1818639
hii picha sijawahi iamini, nadhani ni Editing tyuuh.Wasomi wetuView attachment 1818639
Wasomi wetu wakiwa serious kuzitatua Changamoto za watanzaniaView attachment 1818658
Kwasababu anaona wenye BAED sikuhizi wanakesha kubeti wakati walikuwa wanaheshimiwa
Sio kwamba watu hawapambani kama vile Bibi alivyopambana kukulea, watu wanapambania maslahi bora na hali bora ya maisha kuliko enzi za Bibi yako...Nchi hii hakuna wasomi. Msukuma yuko sahihi kabisa
Wasomi ndiyo wanapiga kelele kuilalamikia serikali juu ya ukosefu wa ajira. Tulitegemea wao ndiyo watatuzi wa tatizo hili badala yake wao ndiyo wanalikuza.
Bibi yangu maisha yake yote anaishi kwa kupambana na ametulea. Hawa wasomi uchwara hawana jipya mtaani
inferiority complex.Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Mosi msukuma ana wivu maana elimu imemkataa hivyo ana chuki nayo maana ukiangalia mporomoko wa biashara zake unatokana na "wasomi uchwara aliowaajiri!!"Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Mkuu inategemea zinamtumaje!! Hivi kwanini wavuta bhangi wengi hupenda kujiita King?inferiority complex.
Kwa mtazamo wake, elimu ya juu iwe ni darasa la saba tu. Tufute sekondari na vyuo vyote visiwepo.
Hivi mradi wake wa mabasi ya abiria, umeishia wapi? Au ni wasomi hao hao wamemharibia? Je, alishauriwa na wasomi kununua mabasi makuukuu, au ni IQ yake mwenyewe? Nauli Bukoba Mwanza kawaida elfu 20, yeye aliamua iwe elf 10, wajawazito na wazee bure. Sasa hivi mradi chali. Labda hayo ndo yanamchanganya akiliAnahasira maana huenda elimu ilimkataa either kwa hali ya maisha yao yakipindi hicho au hali ya huko upstairs
Mkuu angalia wasomi waliopo kwenye siasa nadhani utakubaliana kabisa na hoja za msukuma. Fanya utafiti japo kidogo juu ya wasomi wetu kabla na baada ya kuingia kwenye politics za bongoNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Hiyo ndio silka ya wasio na elimuNimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Ujinga wake ni Bora kuliko profesa aliyeacha jukumu lake na kukimbilia siasa ambayo imemungiza Bungeni, ndani ya Bunge hatoi wazo wala hashauri kabaki kupiga meza yupo nao huko ataacha kuwadharau.Kwa sababu anaamini ana pesa, ila ni mjinga tu kama wajinga wengine
Tatizo wangoni mnaabudu sana watu wa CCM.Tena Jenista ni mbunge jimboni kwetu, lakini mambo anayofanya ni ujinga plus upumbavu mtupu. Halafu mroho wa madaraka hataki kuachia wengine. Msieeeew zake, tena ana Diploma tyuuh. Hovyoooooh