nkinga mpya
Member
- Nov 21, 2016
- 68
- 66
Wanataka wapewe nafasi na nani? Je wapo jela? Walinyang'anywa ardhi? Waliporwa elimu yao?Kwanini wote wameshapewa nafasi ?
Na hao wasio wasomi wamesaidiaje nchi ?
Emu ongea Kama mtu anayejua anachosema
Wanataka wapewe nafasi na nani? Je wapo jela? Walinyang'anywa ardhi? Waliporwa elimu yao?Kwanini wote wameshapewa nafasi ?
Na hao wasio wasomi wamesaidiaje nchi ?
Si ndio maana msukuma ana wadharau sana wasomi wa aina hiyo?Fikiria "msomi wa Ph.D" kama mwendazake eti ndio kiongozi mkuu wa nchi!!
Msomi ambaye hujui dunia inaendaje wawezaje kujiita msomi!? Msomi asiyejua hata siku ina masaa 24 kweli anajiita msomi!!??
Apa Kama taifa TULIPIGWA,Bilashaka huyu ni HK
Cheti chewewe alinunuaApa Kama taifa TULIPIGWA,
Ada iliyomsomesha Bora tungejenga daraja mtaani kwetu
Top layer ya Nchi imejaa vilaza SanaHuyu hana usomi wowote huyu. Watu wa Pwani na elimu wapi wapi ? Ameunga unga sana huyu.
Anajua ngono tu huyu. Hapo alipo wana wake 4 na vimada wa kutosha.
Kama wasomi wenyewe ndiyo hawa kina Kabudi, Mwigulu, Kitila, nk - namuunga mkono Musukuma kwa 101%!Nimesikiliza kwa makini wakati mbunge Musukuma akichangia leo bungeni, moja alikua akichangia kuhusu bajeti na kuwaita wataalamu wetu wa uchumi kua wataaalamu uchwara, hasa akitetea kuhusu wamachinga na kuondolewa barabarani hasa Kariakoo.
Hali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
Hii inatokana na kutojiamini kwa kukosa elimu au kuna nini kafanyiwa na wasomi hadi chuki yake kufikia kiwango cha juu?
Au ndio kutaka kuwawini wananchi wengi ambao hawana elimu?
Kwahiyo wanatakiwa kulisaidia vipi hili taifa hao wasomi kama ambavyo wasio wasomi wanafanya ?Wanataka wapewe nafasi na nani? Je wapo jela? Walinyang'anywa ardhi? Waliporwa elimu yao?
Emu ongea Kama mtu anayejua anachosema
Sasa huo usomi wako unakusaidia nini Kama hata hujui cha kuisaidia nchi yako?Kwahiyo wanatakiwa kulisaidia vipi hili taifa hao wasomi kama ambavyo wasio wasomi wanafanya ?
Hovyo kabisa!Msomi mwingine uyu hapa,
Akisisitiza jinsi kikokotoo kipya kitakavyomnufaisha mstaafuView attachment 1818626
Aliyesema hawasaidii taifa ni nani ?Sasa huo usomi wako unakusaidia nini Kama hata hujui cha kuisaidia nchi yako?
Kwani wasomi wenyewe wamesemaje kabla hatuwasemeaHali iliopelekea Naibu Spika kumtaka aondoe neno hilo. Hivi kwanini mheshimiwa mbunge Musukuma kila akichangia anakua akiwasigina wasomi na kuwatukuza darasa la saba?
ndiyo hao hao kipindi cha Magu walisema tujifukize leo wamegeuka wanasema tuvae barakoaAliyesema hawasaidii taifa ni nani ?
Mimi nimesema hawasaidii taifa. Wewe uliyesema hawasaidii taifa ndio useme hawasaidii taifa kivipi na kwenye nini !
Hivi hawa nao utawaita ni wasomi ukizingatia kaulizao mbalimbali zenye utata"Tanzania inawasomi wengi wenye vyeti"
Kwani kina Msukuma hawakusema tujufukize??ndiyo hao hao kipindi cha Magu walisema tujifukize leo wamegeuka wanasema tuvae barakoa
Kweli wanalisaidia taifa