kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Kusema ukweli tukipata watu wenye uwezo wa kufikiri kama huyu mheshimiwa, nchi hii itaenda mbali sana.
Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.
Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.
Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.
Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.
Bahati mbaya sana kwa wasomi wetu wengi wamebaki na vyeti na wamekuwa wakitambia hivyo huku kichwani wakiwa watupu kama kama roboti iliyokuwa programmed tu na hawafikiri tena nje ya box.
Kwa bahati mbaya ukweli kwamba wengi wamepata hizo digrii kimagumashi na hawana walichobaki nacho kichwani baada ya kumaliza chuo, huwa hausemwi.
Ukimsikia mheshimiwa Kishimba mfanyabiashara mkubwa wa kimataifa, akiwa darasa la saba tu, jinsi ambavyo amegusa wasomi wanaojielewa na kufikia kumwita jina profesa, utajua kwa nini King Musukuma anawadharau sana wasomi wetu.
Tafuta mchango wa jana wa Mh. Kishimba utaona jinsi tusivyoweza kuziona fursa za uwekezaji kwa upana wake.