Uchaguzi 2020 Kwanini Marekani, Umoja wa Ulaya wanamuunga mkono Tundu Lissu? Kosa la Magufuli ni lipi?

Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Kuna mtu kamwelewa huyu mwanamizengo au ni mimi tu sijamuelewa
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Katika chaguzi zote Marekani na nchi zote duniani ambazo zinaamini katika demokrasia ya utawala wa sheria, hata humu Afrika. Wamekuwa na kawaida ya kutoa matumaini yao katika chaguzi mkuu wa Rais, wabunhe na madiwani, kwamba wanafurahia na kupongeza demokrasi lakini wanasisitiza umuhimu wa uchaguzi huru pasipo kuwa na vurugu. Kwa maana historia inaonesha nchi nyingi na hasa Afrika zilibadili siasa za nchi zake na kuingia kwenye siasa ya vurugu katika kipindi cha kampeni na kuelekea uchaguzi.

Hao hawanaga upande wa Chama cho chote cha siasa, upande wao hao ni demokrasia basi. Sisi tuwe na imani ya ushindi kwa CCM baada ya uchaguzi na kwa sasa tueendelee na kukusanya kura nyingi za ushindi wa kishindo kuelekea uchaguzi mkuu 28 Oktoba, 2020.
 
Kwa nini washike mabango? Mwenye akili timamu hawezi kushabikia lolote kutoka nje na hawawezi kutuchagulia Rais Kwa vitisho vyao tutampa tumtakaye, si wote tumeshikiwa akili, wanakuja na kisingizio cha demokrasia, hawakuiona miaka yote waje, waione kwa Lisu,
Hakuna sehemu wametaka kuwachagulia rais. Wanaochagua rais ni wananchi, mimi, wewe na yule. Wanachotaka ni fair play kwa wote. Kumbuka kuwa yakitokea ndivyo sivyo e.g. vita, wao ndo hubeba mzigo mkubwa ( kuhudumia wakimbizi, kutoa misaada ya kibinadamu, etc ). Wanachukua kinga kabla ya hatari
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Hao unaowaita mabeberu, mara wafadhiri wa maendeleo mara nchi wahisani wanaitambua nchi yetu vizuri mno zaidi yako wewe. Kwa kuwa kupitia tu ktk sayansi na teknolojia wanautambua ufedhuli na udhalimu wote wa serikali ya awamu hii.

Unafikiria hawana ushahidi juu ya mauaji ya MKIRU, upoteaji wa watu wenye kukinzana na watawala, watu kuumizwa, kuuwawa na hata kuwa "intimidated" ktk kuendesha shughuli zao halali za kisiasa. Acha kulalama kwa vitu ambavyo hata huvijui kwa kina.
 
Uwanja upi haupo sawa mkuu

Kwani lissu hajaruhusiwa kufanya siasa

Mbona si lipumba au Membe?
Wewe niwakusikitikiwa tu hamna namna nyingine elimu na upeo wako wa kufikiri vinahusika hapa.
 
Kiso la Magufuri ni kutoka kwao huku Burundi uhutuni kabebwa mgongoni kuja kusukumizwa na CCM kuwa rais wa kwanza mhutu Tanzania .
 
Wekeni tume huru na mazingira sawa ya ushindani wakose kitu cha kusema
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Wapi kaungwa mkono bhana msituchoshe kupinga wizi wa kura kwako ni kuunga mkono Lissu?
 
CCM wajitahidi washinde kihalali
Vinginevyo Tanzania itageuka kuwa zimbabwe.Nimefika hiyo nchi sio chini ya Mara 4 wananchi wanajutia utawala wa zanupf kwa madhila wanayopitia.Wazungu wakikuwekea vikwazo sio mchina wala mrusi anaweZa saidia.Hao watu ni namba nyingine!
 
Mkuu GUSSIE natumaini umekunywa chai vizuri.
Tukubali tukatae Mabeberu wametushika pabaya,hii ni kwasababu Serekali ilikuwa ikifanyakazi kwa nguvu badala ya kutumia akili.

Chukulia mfano suala la Korosho,nguvu ilitumika badala ya akili na maarifa.
Na hawa chomoki unawatesa watu wako hapo hapo unategemea wakusaidie kukutetea!!
 
Umesema kwa umoja wetu tutashinda, mie simo, mkisababishi vikwazo siwaungi mkononi hata kidogo!
 
Kwenye vita vya Kagera walisema Tanzania inavuruga umoja wa EA. Badala ya kumlaum Idd Amini wakaanza kumlaum mwalimu😂😂😂Hawa watu wapumbavu sana.




MAGUFULI4LIFE.
 
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi
sirro ni mjanja ndugu natayari ameshachomoa hiyo ya kumuita asije akaleta sababu ameambiwa aendell tu na mihangaiko yake tutakutana october 28 nbaada ya uapisho wa jpm ndiyoatakapoitwa sasa akajieleze vizuri matusi yooooooooooooooooote aliyokuwa anatukana
 
Nakubalina nawe Afande Sirro IQ yake moto wa kuotea mbali - amekwisha baini mitego ya Tindu Lissu ya kuwambia tuhuma/madai yao yaorodheshwe kwenye hard copy na kuwa addressed kwa jina lake. Cha muhimu hapa Wizara ya mambo ya ndani pamoja na NEC wawe makini sana wanavyo handle masuala ya kampein wasifanye makosa ya kuonekana wana support mgombea au chama chochote - ili Lissu akose sababu/visingizio vya kusema atendewi haki - tukumbuke kwamba kujiamini kupita kiasi kwa Tindu Lissu kuna kitu, si bure. After all CCM atashinda tena safari hii come rain come shine, sasa ya nini kutaka kujiingiza kwenye mitego ya Lissu na wapambe wake. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu angependa kuona viogozi wetu wakidhalilisha kwa kuburuzwa kwenye Mahakama ya ICC the Hague - looks like Lissu and his lieutenants are overly determined that it should come to pass!! Tusiwape mwanya huo - my opinion.
 
Back
Top Bottom