Uchaguzi 2020 Kwanini Marekani, Umoja wa Ulaya wanamuunga mkono Tundu Lissu? Kosa la Magufuli ni lipi?

yani unafikiria swali alafu unajijibu mwenyewe ,kweli sisiemu mmepagawa
 
Hizo statements USA hutoa Dunia nzima kwenye uchaguzi na hazisemi chochote, kama kweli USA wanamuunga mkono mgombea xyz huwa hawafichi, na utamuona huyo mgombea kila siku kwenye media zao, tundu hata dw kiswahili au voa wamempotezea halafu mnasema USA inamuunga mkono?
USA mbona wamesema wazi kuwa wako neutral na hawaungi mgombea yoyote mkono!Ila wameongeza wataangalia kwa karibu mchakato wa kampeni,kupiga kura na baada ya kupiga kura na kama kuna uminywaji wa haki basi watachukua hatua accordingly!
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita


Mkuu GUSSIE natumaini umekunywa chai vizuri.
Tukubali tukatae Mabeberu wametushika pabaya,hii ni kwasababu Serekali ilikuwa ikifanyakazi kwa nguvu badala ya kutumia akili.

Chukulia mfano suala la Korosho,nguvu ilitumika badala ya akili na maarifa.
 
Kwa sababu: ndio Rais wa awamu ya6
#NIYEYE Rais Lissu ✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽

Kwa sabababu: Lissu najua kidhungu na mpigania haki zetu Watanganyika, wataongea watasikizana na wataelewana.

Kwa sababu: Mtupoli hajuhi kidhungu, anajua kuua tu, sasa wa nini.?
Wataongea nini, mauaji ya Watanganyika.?
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Kufikiria ni haki yako sheikh.
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Mirija yao ya ulaji imekatwa, Wanataka huyo kibaraka wao airejeshe. Thubutu, watanzania tupo imara. Mkoloni out, beberu out, Lissu out.
 
Igp kanywea
IMG_20201002_112703.jpeg
 
Uwanja upi haupo sawa mkuu

Kwani lissu hajaruhusiwa kufanya siasa

Mbona si lipumba au Membe?
Hapo ndo tunqpoona ufinyu wa fikra zako. Hivi CCM wahangaike na Lipumba kwa lipi hasa? Timu inapambana na mshindani haipambani na Mshiriki. Unadhani Marekani kuna wagombea Urais wawili tu hadi Trump ahangaike na matokeo ya shule ya Joe Bidden peke yake?
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Hahahahaha si mlijiandaa kuharibu uchaguzi eeeh??? Sasa kaeni Mkao wa kula.

Tundu Antiphas Lissu ndo Raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita

Tulikuwa tunasema nchi hii sio mali ya Magufuli mlikuwa hamuelewi. Uonevu na ukatili wote dhidi ya wapinzani upo wazi, na ushahidi tunao. Hata ww ukiwa baba wa familia huwezi kuwalawiti na kuwaua, jamii ikakaa kimya kisa eti unaleta chakula na kuwasomesha. Chaguzi za nchi hii toka Magufuli kaingia madarakani zote zimenajisiwa, huku tukishuhudia ukatili, ushenzi, unyama na uhayawani wa wazi ili ccm watangazwe washindi. Haya yote yamefanyika kwa maagizo ya rais, chini ya uratibu wa jeshi la polisi na tume isiyo huru ya uchaguzi. Kwanini wazungu wasiingilie wakati taasisi za kutoa haki ziko upande wa ibilisi?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani kulikuwa na uhuru wa kufanya siasa, uhuru wa habari, tulikuwa tunaona midahalo na mijadala huru kwenye media mbalimbali kujadili mustakabali wa nchi. Sasa hivi hakuna mambo hayo, bali wote tunatakiwa tumsujidie Magufuli. Dunia haiwezi kufumbia macho tabia hizo. Sasa hivi rais anapita anatishia wananchi kuwa akichaguliwa hatapeleka maendeleo sehemu ambayo hajachaguliwa mwanaccm, huku tume na jeshi la polisi likiwa kimya kabisa. Mbona hao wazungu huwa wanatupa misaada kwani wamepewa kura na nani? Tumesema tume hii ya uchaguzi inatii matakwa ya Magufuli, hivyo hatuna imani nayo. Tuna imani tu na uchaguzi huu iwapo wamerakani ndio watausimamia maana tume hii tayari ina matokeo mfukoni. Ni vyema Marekani wakasogeza manuwari ya kivita hapo bandarini kuepuka wananchi wasioikubali ccm kuhujumiwa ushindi wao kwenye uchaguzi huu.
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Kudhulumu haki ya watu ya kuishi, kiburi, jeuri, dharau, udicteta, ufisadi, uongo, ubaguzi wa kisiasa na kiukabila, uvunjifu wa sheria na katiba, hayo ni robo tu ya mengi yanayomuhusu alcohol.
 
Kusema kuwa demokrasia ipo chini haimaanishi wanamuunga mkono Lissu na kumkataa Dr. Wanachomaanisha ni kuwa pawe na uwanja sawa wa kuombea kura, na wananchi wenyewe wachague wanayemtaka.
Kilochowashtua zaidi ni ule uchaguzi Wa serikali za mitaa uliopita ndo mana wamekuwa na wasiwasi na uchaguzi huu ccm wanaweza Fanya tena uharamia Wa kijinga kama huo walioufanya.
 
Kusema kuwa demokrasia ipo chini haimaanishi wanamuunga mkono Lissu na kumkataa Dr. Wanachomaanisha ni kuwa pawe na uwanja sawa wa kuombea kura, na wananchi wenyewe wachague wanayemtaka.
Kwa nini washike mabango? Mwenye akili timamu hawezi kushabikia lolote kutoka nje na hawawezi kutuchagulia Rais Kwa vitisho vyao tutampa tumtakaye, si wote tumeshikiwa akili, wanakuja na kisingizio cha demokrasia, hawakuiona miaka yote waje, waione kwa Lisu,
 
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea

Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama

Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda

Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi

Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?

Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia

Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia

Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia

Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu

Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa

Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine

Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli

Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia

Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp

Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Hii ina maana mabeberu wamewakamata hadi wananchi ili wamumuunge mkono Lissu?
Usiwadharau watu namna kwa hilo neno la kijinga Ubeberu


Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kwasababu magufuli aliwakazia kwenye mikataba ya madini na rasilimali za nchi yetu.sasa wanamuunga mkono Lissu kwakuwa atawagawia rasilimali zetu watakavyo.
 
Back
Top Bottom