USA mbona wamesema wazi kuwa wako neutral na hawaungi mgombea yoyote mkono!Ila wameongeza wataangalia kwa karibu mchakato wa kampeni,kupiga kura na baada ya kupiga kura na kama kuna uminywaji wa haki basi watachukua hatua accordingly!Hizo statements USA hutoa Dunia nzima kwenye uchaguzi na hazisemi chochote, kama kweli USA wanamuunga mkono mgombea xyz huwa hawafichi, na utamuona huyo mgombea kila siku kwenye media zao, tundu hata dw kiswahili au voa wamempotezea halafu mnasema USA inamuunga mkono?
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Kufikiria ni haki yako sheikh.Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Mirija yao ya ulaji imekatwa, Wanataka huyo kibaraka wao airejeshe. Thubutu, watanzania tupo imara. Mkoloni out, beberu out, Lissu out.Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Dah!!!! Unaniangusha sana chief. Ina maana kweli hujui? Au ukada umekupa upofu?Wao yanawahusu nini?
Sisi yakwao tunawaingilia?
Hapo ndo tunqpoona ufinyu wa fikra zako. Hivi CCM wahangaike na Lipumba kwa lipi hasa? Timu inapambana na mshindani haipambani na Mshiriki. Unadhani Marekani kuna wagombea Urais wawili tu hadi Trump ahangaike na matokeo ya shule ya Joe Bidden peke yake?Uwanja upi haupo sawa mkuu
Kwani lissu hajaruhusiwa kufanya siasa
Mbona si lipumba au Membe?
Hahahahaha si mlijiandaa kuharibu uchaguzi eeeh??? Sasa kaeni Mkao wa kula.Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Kudhulumu haki ya watu ya kuishi, kiburi, jeuri, dharau, udicteta, ufisadi, uongo, ubaguzi wa kisiasa na kiukabila, uvunjifu wa sheria na katiba, hayo ni robo tu ya mengi yanayomuhusu alcohol.Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita
Kilochowashtua zaidi ni ule uchaguzi Wa serikali za mitaa uliopita ndo mana wamekuwa na wasiwasi na uchaguzi huu ccm wanaweza Fanya tena uharamia Wa kijinga kama huo walioufanya.Kusema kuwa demokrasia ipo chini haimaanishi wanamuunga mkono Lissu na kumkataa Dr. Wanachomaanisha ni kuwa pawe na uwanja sawa wa kuombea kura, na wananchi wenyewe wachague wanayemtaka.
Uwanja upi haupo sawa mkuu
Kwani lissu hajaruhusiwa kufanya siasa
Mbona si lipumba au Membe?
Kwa nini washike mabango? Mwenye akili timamu hawezi kushabikia lolote kutoka nje na hawawezi kutuchagulia Rais Kwa vitisho vyao tutampa tumtakaye, si wote tumeshikiwa akili, wanakuja na kisingizio cha demokrasia, hawakuiona miaka yote waje, waione kwa Lisu,Kusema kuwa demokrasia ipo chini haimaanishi wanamuunga mkono Lissu na kumkataa Dr. Wanachomaanisha ni kuwa pawe na uwanja sawa wa kuombea kura, na wananchi wenyewe wachague wanayemtaka.
Hii ina maana mabeberu wamewakamata hadi wananchi ili wamumuunge mkono Lissu?Ni dhahiri hawa wazungu sasa wanaonyesha sura zao kamili kwa matamko yanayoendelea
Wanatishia wapo makini kwa jicho kubwa kuwa kuna ukandamizaji wa haki za binadamu na uhuru Tanzania wakilenga serikali na vyombo vya ulinzi na usalama
Mbinu hizi lazima tutazikwepa tu,
Mtego wao wa kwanza walilenga lissu asumbuliwe pale airport halafu wangetupiga vikwazo vya hakuna kuuza wala kuagiza vifaa tiba toka ulaya hivyo madawa yangekosekana mahosipitali na watu kufa ,Tukawashinda
Sasa Lissu anaitwa polisi na IGP ili wapate sababu lissu akishindwa waseme polisi Tanzania wametumika kuharibu uchaguzi hivyo IGP sirro na Kundi lake watafutwe na kufunguliwa mashtaka ya jinai huko ICC ,Afande Sirro ni Mzoefu wa medani najua huu mtego ataukwepa vizuri sana na hata barua imeandikwa kuelekea kwa Chama cha chadema na Sio Tundu lissu kama mgombea ,
Tundu lissu analazimisha barua zielekezwe kwake ili baadae ageuke kuwa Polisi na Nec wanafanya Personal attack kuharibu uchaguzi
Hawa mabeberu ni dhahiri wana maslahi na Lissu zaidi kuliko JPM kwanini?
Ndege za Bombadier na Boeing tumenunua kwao kwa cash hawakutupongeza wala kutusifia
Wawekezaji kwenye madini ni ndugu zao toka huko hawatupongezi wala kutusifia
Pesa zao tunazitumia vizuri na tumejenga miundombinu na kubandika mabango yao ya USAID au JAICA hawatupongezi wala kutusifia
Kuna mambo yanajificha nyuma ya pazia ni kama hawa watu wanasubiri sababu ya kutuwekea vikwazo tu
Hawa wazungu walipanga kutuwekea vikwazo ila sasa sababu wanaitafuta kupitia uchaguzi huu wa sasa
Wazungu wakishajua huna tekinolojia au utaalamu vikwazo ndio adhabu yao kwani wanajua hutamaliza miezi mitatu bila maisha kuanza kubadilika kwenye vifaa tiba na vipuli vya machine
Kwa umoja wetu tutashinda na JPM ni chaguo la kweli
Ile nguvu ya Lissu na maelfu ya wale wafuasi wake kuna jambo nyuma ya pazia
Nasikia wanauwezo wa kuwapa taarifa wafuasi wao wote kwa wakati mmoja huku wanatudanganya wanatumia whatssapp
Whatasapp gani ya kufanya watu wajaze viwanja vyenu kama vile kule marangu,Tunduma na kote mlikopita