Ema...Kwa nini Mapinduzi ya Zanzibar huitwa "Mapinduzi Matukufu"...?
Mambo ya mapinduzi na dini wapi na wapi,, yani mkiona zanzibar tu hata kama zinazungumziwa karafuu basi lazima muhusishe na dini,, Acha chuki weweNaye papa anaitwa mtakatifu.
Hizi dini ni michongo ya wajanja kuwapiga hela masikini.
Waafrika walio na akili wakiongozwa na Kamanda au dume la mbegu Karume, walitimua kimabavu Waarab wanyanyasaji ambao walikuwa wanatesa wananchi na kuwafanyia unyama wa kijingaKwa nini Mapinduzi ya Zanzibar huitwa "Mapinduzi Matukufu"...?
Jamaa...Waafrika walio na akili wakiongozwa na Kamanda au dume la mbegu Karume, walitimua kimabavu Waarab wanyanyasaji ambao walikuwa wanatesa wananchi na kuwafanyia unyama wa kijinga
Ushahidi upo na haya unayoyasema yalifanyika kwa sababu watu weusi walikuwa wanalipiza visasiJamaa...
Unazungumza kuhusu, ''Waarabu wanyanyasaji...''
Una yakini na ushahidi wa haya usemayo?
Je, unajua kuwa Zanzibar imeshuhudia jela za utesaji na watu kuuliwa baada ya mapinduzi?
Haya yote yana ushahidi.
Hanga, Mdungi Usi, Othman Sharifu walikuwa waarabu?Ushahidi upo na haya unayoyasema yalifanyika kwa sababu watu weusi walikuwa wanalipiza visasi
Yalimkomboa mtu mweusi mwenye nchi yake toka kwa mabavu ya waarab wabaguzi na magaidiKwa nini Mapinduzi ya Zanzibar huitwa "Mapinduzi Matukufu"...?
Jamaa...Ushahidi upo na haya unayoyasema yalifanyika kwa sababu watu weusi walikuwa wanalipiza visasi
Huyu bwana na matata kweli kweli. Kaandika kitabu kizuri sana kinaitwa THE LIFE AND TIMES OF ABDULWAHEED SYKES, THE MUSLIM STRUGGLE FOR THE INDEPENDENCE OF TANGANYIKA. Kila mwenye nia ya kujua historia sahihi ya Nji hii ni lazima akisome kitabu hiki kinauzwa pale TPH. Angalizo ni kwamba baada ya miaka mitatu mine hivi - WHEN HE GOT CIVILISED - akaandika tafsiri ya Kiswahili, maudhui yakawa tafauti kabisa. Sasa kikawa ni cha Mwislamu siasa kali, kila kitu kosa la Nyerere, kila kitu dola Kristo. Kitu kingine kidoogo ni Ukabila. Huyu bwana ni Mmanyema kwa hiyo katika tafsiri ya Kuswahili hata Wazanzibari wakawa Wazanzibara, yaani kumbe Waislamu sasa kukawa na Waislamu Wamanyema na Waislamu baki. He is a learned fellow, no doubt about that, kashoma IFM ambayo kwa maoni yangu ni bora kuliko Harvard. Sasa mirejee hili la Zanzibar. Kwenye kitabu cha Abdulwaheed alimsifu Rais Karume kwa ushipavu wake na uzalendo wake - kuna Waislam siasa kali wakiitwa AMNUT walimwendea kumuomba msaada dhidi ya Nyerere akawafukuzilia mbali kwamba Nyerere hawezi kugombana na Waislam. Kwa hiyo hii dhana ya mapinduzi MATUKUFU iko kwenye Kitabu orijino ila kwenye translation feki kaingiza siasa kali hizo za kibaguzi nilizosema. Sasa tusubiri atatoa wapi jibu kama ni orijino au feki.Ema...
Wako wanaoita, "Mapinduzi Matukufu," na wako hawaiti hivyo katika jamii ya Wazanzibari.
Swali lako lilitakiwa liwe kwa ni matukufu na kwa nini vinginevyo?
DW wamenihoji kuhusu Mapinduzi kipindi kikirushwa nitaweka link hapa In Shaa Allah:
View attachment 2866392
Mahojiano na Sauti ya Ujeruamni (DW) kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar 1964
Wengi waliokuwa wanatendwa na serikali ya Zanzibar walikuwa vibaraka wa WaarabJamaa...
Wanalipiza kisasa Wamakonde kutoka Kipumbwi Tanga?
Analipiza kisasi John Okello kutoka Uganda?
Kwa ubaya upi waliotendewa na Wazanzibari?
LGF,Huyu bwana na matata kweli kweli. Kaandika kitabu kizuri sana kinaitwa THE LIFE AND TIMES OF ABDULWAHEED SYKES, THE MUSLIM STRUGGLE FOR THE INDEPENDENCE OF TANGANYIKA. Kila mwenye nia ya kujua historia sahihi ya Nji hii ni lazima akisome kitabu hiki kinauzwa pale TPH. Angalizo ni kwamba baada ya miaka mitatu mine hivi - WHEN HE GOT CIVILISED - akaandika tafsiri ya Kiswahili, maudhui yakawa tafauti kabisa. Sasa kikawa ni cha Mwislamu siasa kali, kila kitu kosa la Nyerere, kila kitu dola Kristo. Kitu kingine kidoogo ni Ukabila. Huyu bwana ni Mmanyema kwa hiyo katika tafsiri ya Kuswahili hata Wazanzibari wakawa Wazanzibara, yaani kumbe Waislamu sasa kukawa na Waislamu Wamanyema na Waislamu baki. He is a learned fellow, no doubt about that, kashoma IFM ambayo kwa maoni yangu ni bora kuliko Harvard. Sasa mirejee hili la Zanzibar. Kwenye kitabu cha Abdulwaheed alimsifu Rais Karume kwa ushipavu wake na uzalendo wake - kuna Waislam siasa kali wakiitwa AMNUT walimwendea kumuomba msaada dhidi ya Nyerere akawafukuzilia mbali kwamba Nyerere hawezi kugombana na Waislam. Kwa hiyo hii dhana ya mapinduzi MATUKUFU iko kwenye Kitabu orijino ila kwenye translation feki kaingiza siasa kali hizo za kibaguzi nilizosema. Sasa tusubiri atatoa wapi jibu kama ni orijino au feki.
Waafrika walio na akili wakiongozwa na Kamanda au dume la mbegu Karume, walitimua kimabavu Waarab wanyanyasaji ambao walikuwa wanatesa wananchi na kuwafanyia unyama wa kijinga
Aishie mbali huko, tatizo la Waarab huwa hawapendi kuambiwa ukweli, wanatumia sana uwongo kutaka kuficha ukweli na ukiwaambia ukweli wanakufanyia makafara ili ufe waendeleze kudanganya watu bila kupingwa.Usiwaseme vibaya wajukuu wa mtume utamkwaza mzee side boi na genge lake,bora umtukanie wazee wake kuliko waarabu.
Ulisoma shule ya kimapinduzi ?? Unaandika mwandiko wa kimapinduzi mapinduziHuyu bwana na matata kweli kweli. Kaandika kitabu kizuri sana kinaitwa THE LIFE AND TIMES OF ABDULWAHEED SYKES, THE MUSLIM STRUGGLE FOR THE INDEPENDENCE OF TANGANYIKA. Kila mwenye nia ya kujua historia sahihi ya Nji hii ni lazima akisome kitabu hiki kinauzwa pale TPH. Angalizo ni kwamba baada ya miaka mitatu mine hivi - WHEN HE GOT CIVILISED - akaandika tafsiri ya Kiswahili, maudhui yakawa tafauti kabisa. Sasa kikawa ni cha Mwislamu siasa kali, kila kitu kosa la Nyerere, kila kitu dola Kristo. Kitu kingine kidoogo ni Ukabila. Huyu bwana ni Mmanyema kwa hiyo katika tafsiri ya Kuswahili hata Wazanzibari wakawa Wazanzibara, yaani kumbe Waislamu sasa kukawa na Waislamu Wamanyema na Waislamu baki. He is a learned fellow, no doubt about that, kashoma IFM ambayo kwa maoni yangu ni bora kuliko Harvard. Sasa mirejee hili la Zanzibar. Kwenye kitabu cha Abdulwaheed alimsifu Rais Karume kwa ushipavu wake na uzalendo wake - kuna Waislam siasa kali wakiitwa AMNUT walimwendea kumuomba msaada dhidi ya Nyerere akawafukuzilia mbali kwamba Nyerere hawezi kugombana na Waislam. Kwa hiyo hii dhana ya mapinduzi MATUKUFU iko kwenye Kitabu orijino ila kwenye translation feki kaingiza siasa kali hizo za kibaguzi nilizosema. Sasa tusubiri atatoa wapi jibu kama ni orijino au feki.
Usiwaseme vibaya wajukuu wa mtume utamkwaza mzee side boi na genge lake,bora umtukanie wazee wake kuliko waarabu.
Kwa nini Mapinduzi ya Zanzibar huitwa "Mapinduzi Matukufu"...?
Aishie mbali huko, tatizo la Waarab huwa hawapendi kuambiwa ukweli, wanatumia sana uwongo kutaka kuficha ukweli na ukiwaambia ukweli wanakufanyia makafara ili ufe waendeleze kudanganya watu bila kupingwa.