Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

Pengo sio mungu ni binadamu mwenye mapungufu yake pia,na ndo maana yuko kimya sasa wakati kipindi cha mwinyi na jk alikuwa hashikiki kwa matamko,

kila mtu anajua kuna kipindi kanisa catolic lilikuwa na unholy alliance kati yake na CIA, na Mafia na walifanya biashara ya drugs na vatican bank ilifanya kazi ya kutakatisha hiyo pesa ya madawa na hiyo pesa ilitumika kufund vita dhidi ya ukomunist,

mafia walikuwa wanatafuta madawa,CIA wanaprovide logistic na security na kisha vatican wanafanya money laundry
Wewe Kama hujui Catholic Church nini acha ujinga, unasoma novel halafu unakuja kuharisha hapa!
Think critically !!

Mie wala siamini hizo dini zenu lakini watu kama nyie mnahara hara mnaharibu environment!!

Lack of education and poverty is worse than pollution and is equally detrimental to the environment (enemy of environment)

Internet ni source ya education na maendeleo siyo pornography tu!!! Make use of it
 
Naye aitwe ndio maana anasema maisha yamekuwa marahisi
 
Wote makanjanja, wote wachumia tumbo, huamini fuata vigezo vya kuwa askofu, ukikosa kimoja muulize kwa nini we ni askofu, kwa nini usiache wengine waliokidhi vigezo.

Haya fungua 1 Timoth 3:1-7, hafu uje tusrmezane.

6bcabc3f6e60e2b57707d7cc484d2115.jpg
Mkuu hapo mstari wa 3 Askofu amekatazwa kunywa pombe? Jibu hilo tu kwa faida yangu bila kuongeza chochote ...
 
Labda umegoma kunielewa
nimesema siamini Pengo anaweza husika
but kuhusishwa amehusishwa na yeye mwenyewe amewahi zungumzia hilo

Sasa kigezo cha Makonda ni hiko..watu waliowahi kuhusishwa
ndo swali linakuja hapa...mbona huu hakumuita?

Kama jibu hi uzushi na kumchafua....the same can be said kwa wengine
unless uniambie hao wengine wewe una ushahidi..

Thanks
 
Achezee RC kama anataka Tz ipotee kwenye ramani ya ulimwengu.
Ebu acha uoga wa ajabu ajabu

Sema tu jamaa hawezi kutajwa kutokana na heshima yake, na ukaribu wake kwa system inayoongoza nchi
 
Hii ya kutajana majina haileti ushwawishi juu ya Vita ya Madawa ya Kulevya iliyokusudiwa. Ingefanikiwa zaidi kama vyombo husika vingefanya uchunguzi kwanza, kisha kuwakamata wahusika halisi wakiwa na ushahidi. Ukimtaja mtuhumiwa kwenye vyombo vya habari, kisha ukamtaka ajisalimishe mwenyewe siku moja au zaidi mbele, basi ujue kuwa unampa nafasi ya kuharibu ushahidi. Na kama atakuwa hahusiki, unakuwa umemchafulia jina na hadhi yake kwenye jamii.
inaonesha ndo malengo ya zoezi hili, badala kufanya kazi na kutuonesha matokeo wao wanapiga kelele ili waonekane wapo kazini
 
Hao wanausalama nao wanawalakini. Kwa hali ya kawaida Pengo auze madawa afu izo hela apeleke wapi? Maana yeye hudumiwa na kanisa kwa kila kitu. Tungesema labda anawapa ndugu zake lakini nimeshaona humu nyuzi kwamba kwao ni maskini sana na hawasaidii kwa chochote.
Walivyochukua za escrow walipeleka wapi
 
Pengo sio mungu ni binadamu mwenye mapungufu yake pia,na ndo maana yuko kimya sasa wakati kipindi cha mwinyi na jk alikuwa hashikiki kwa matamko,

kila mtu anajua kuna kipindi kanisa catolic lilikuwa na unholy alliance kati yake na CIA, na Mafia na walifanya biashara ya drugs na vatican bank ilifanya kazi ya kutakatisha hiyo pesa ya madawa na hiyo pesa ilitumika kufund vita dhidi ya ukomunist,

mafia walikuwa wanatafuta madawa,CIA wanaprovide logistic na security na kisha vatican wanafanya money laundry
Ndiyo maana nikasema, Pengo akikamatwa vyombo vya habari duniani vitakuwa makini sana na hii italeta vurugu nyingi, wengi watataka kujuja hizo shutuma zinazohusishwa na kanisa katoliki kama ni za kweli, mkuu ninaona sakata ni kubwa.
 
Back
Top Bottom