ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Ndo nasema wote wachumia tumbo, ni ajira tu na maslahi makubwa makubwa.sasa mbona huyu cardinal hana hivi vigezo vyote alipataje huu uaskofu?
Ndo nasema wote wachumia tumbo, ni ajira tu na maslahi makubwa makubwa.sasa mbona huyu cardinal hana hivi vigezo vyote alipataje huu uaskofu?
Ha ha ha mshana jrKuna ile kanuni maarufu ya walevi YULE MUPE YULE MURUKE...pengine ndio kaitumia hapa
Wewe Kama hujui Catholic Church nini acha ujinga, unasoma novel halafu unakuja kuharisha hapa!Pengo sio mungu ni binadamu mwenye mapungufu yake pia,na ndo maana yuko kimya sasa wakati kipindi cha mwinyi na jk alikuwa hashikiki kwa matamko,
kila mtu anajua kuna kipindi kanisa catolic lilikuwa na unholy alliance kati yake na CIA, na Mafia na walifanya biashara ya drugs na vatican bank ilifanya kazi ya kutakatisha hiyo pesa ya madawa na hiyo pesa ilitumika kufund vita dhidi ya ukomunist,
mafia walikuwa wanatafuta madawa,CIA wanaprovide logistic na security na kisha vatican wanafanya money laundry
Mimi sijasema kwamba Gwajima anahusikaKwani Gwajima hapati pesa kutoka kwa followers wake.
Unataka Papa atoke Vatican kuja kusalimia Tz?Naye aitwe ndio maana anasema maisha yamekuwa marahisi
Mkuu hapo mstari wa 3 Askofu amekatazwa kunywa pombe? Jibu hilo tu kwa faida yangu bila kuongeza chochote ...Wote makanjanja, wote wachumia tumbo, huamini fuata vigezo vya kuwa askofu, ukikosa kimoja muulize kwa nini we ni askofu, kwa nini usiache wengine waliokidhi vigezo.
Haya fungua 1 Timoth 3:1-7, hafu uje tusrmezane.
![]()
Aje kufanya nini ?Unataka Papa atoke Vatican kuja kusalimia Tz?
Mmmh! Ya kweli hayo?Nchi itatikisika kakaaaa..
Ukimgusa umegusa ikuluuu
Achezee RC kama anataka Tz ipotee kwenye ramani ya ulimwengu.Aje kufanya nini ?
Labda umegoma kunielewa
nimesema siamini Pengo anaweza husika
but kuhusishwa amehusishwa na yeye mwenyewe amewahi zungumzia hilo
Sasa kigezo cha Makonda ni hiko..watu waliowahi kuhusishwa
ndo swali linakuja hapa...mbona huu hakumuita?
Kama jibu hi uzushi na kumchafua....the same can be said kwa wengine
unless uniambie hao wengine wewe una ushahidi..
Ebu acha uoga wa ajabu ajabuAchezee RC kama anataka Tz ipotee kwenye ramani ya ulimwengu.
inaonesha ndo malengo ya zoezi hili, badala kufanya kazi na kutuonesha matokeo wao wanapiga kelele ili waonekane wapo kaziniHii ya kutajana majina haileti ushwawishi juu ya Vita ya Madawa ya Kulevya iliyokusudiwa. Ingefanikiwa zaidi kama vyombo husika vingefanya uchunguzi kwanza, kisha kuwakamata wahusika halisi wakiwa na ushahidi. Ukimtaja mtuhumiwa kwenye vyombo vya habari, kisha ukamtaka ajisalimishe mwenyewe siku moja au zaidi mbele, basi ujue kuwa unampa nafasi ya kuharibu ushahidi. Na kama atakuwa hahusiki, unakuwa umemchafulia jina na hadhi yake kwenye jamii.
Mwenyewe umejificha, toka kweupe umtaje Pengo.Ebu acha uoga wa ajabu ajabu
Walivyochukua za escrow walipeleka wapiHao wanausalama nao wanawalakini. Kwa hali ya kawaida Pengo auze madawa afu izo hela apeleke wapi? Maana yeye hudumiwa na kanisa kwa kila kitu. Tungesema labda anawapa ndugu zake lakini nimeshaona humu nyuzi kwamba kwao ni maskini sana na hawasaidii kwa chochote.
Ndiyo maana nikasema, Pengo akikamatwa vyombo vya habari duniani vitakuwa makini sana na hii italeta vurugu nyingi, wengi watataka kujuja hizo shutuma zinazohusishwa na kanisa katoliki kama ni za kweli, mkuu ninaona sakata ni kubwa.Pengo sio mungu ni binadamu mwenye mapungufu yake pia,na ndo maana yuko kimya sasa wakati kipindi cha mwinyi na jk alikuwa hashikiki kwa matamko,
kila mtu anajua kuna kipindi kanisa catolic lilikuwa na unholy alliance kati yake na CIA, na Mafia na walifanya biashara ya drugs na vatican bank ilifanya kazi ya kutakatisha hiyo pesa ya madawa na hiyo pesa ilitumika kufund vita dhidi ya ukomunist,
mafia walikuwa wanatafuta madawa,CIA wanaprovide logistic na security na kisha vatican wanafanya money laundry
Sina uthibitisho kama ana uhusika. Mwenye uwezo huo yule msoma listMwenyewe umejificha, toka kweupe umtaje Pengo.
Je Pengo alichukua pesa za escrow? Labda nmesahau ebu weka ushaidiWalivyochukua za escrow walipeleka wapi