Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

Siamini ktk dhana ya kanisa katoliki kuwa ndilo linaloongoza nchi japo ni dhana ya muda mrefu, japo ni kweli kutokana na ukubwa wake na weledi wa hali ya juu kanisa na viongozi wake wana heshima kubwa na ushawishi ktk serikali za mataifa mbalimbali, kwa hiyo nadhani kinachofanya kanisa lisiparamiwe hovyo ni hicho na sio kwamba ikulu yetu inaongozwa kwa rimoti tokea teki. Na kwa suala la kardinali kusaidia vita ya madawa, si lazima kuitwa publicly, kuna namna nyingi za kupata maelezo yake, cheo cha kardinali ni kikubwa duniani, hapa nchini hapana mtu hata anaekikaribia cheo hicho, mtuma post afikirie kama mkuu wa mkoa angefikiria kuwa maelezo ya raisi magufuli yangesaidia ktk kurahisisha vita hii, angefanya nini, je angemtaja ktk orodha ya 65 au ungetumika utaratibu mbadala, kama hilo lingekuwa gumu kwake, si ni zaidi kwa kardinali alie kiongozi wa wote wakiwemo wakuu wa mataifa na ulimwengu, "ungetambua ukuu wa nafasi ya kardinali ktk ulimwengu wa roho, ungeanguka na kufa" barikiwa.
Acha Blaa blaa Pengo na Gwajima,kakobe,Mzee wa Bapa,nk nk wote wako sawa tu!wote ni Maaskofu,kama gwajima ameitwa kuhojiwa kwa kutuhumiwa basi hata pengo ikithibitika nae anapaswa kuhojiwa! No one is above the Law,double standard haitakiwi
 
Mkuu hapo mstari wa 3 Askofu amekatazwa kunywa pombe? Jibu hilo tu kwa faida yangu bila kuongeza chochote ...
Mkuu sina jibu zaidi ya kilichoandikwa, huamini tafta biblia isome taratibu mkuu MTAZAMO

Kwa nyongeza tu, soma Tito 1 utakuta maneno mazuri zaidi

6ea8ac604311c886ae2f12fb935c629d.jpg
 
Kwa nini hakumuita sheikh mkuu wa Dar es Salaam ai Mufti Mkuu?
Pengo na dawa za kulevya sio Leo, hayo yalisemwa toka 2012 hata huyo Makonda alikuwa hana wazo na wala hajui kama atakuwa mkuu wa mkoa, na ktk orodha ya kwanza ilisikika kuwa madawa ya kulevya na wakuu wa dini wamo, naye Pengo alihisi tetesi za jina lake kuwemo ktk orodha tizama attachment ya mtoa mada sio unakurupuka. Kama ktk orodha hiyo kungekua na tetesi ya jina la shekhe bila shaka waislam wangekuwa wakwanza kumshughulikia bila kun'goja kuitwa na Makonda, TAKBIR INGEPIGWA vijana wakafunga kazi KATIKA UISLAM HAKUNA CHAKA LA KUJIFICHA MUOVU WALA KUTETEA MAOVU kama kwenu, nadhani kama una afya nzuri ya akili utakumbuka jinsi rais mmoja mstaafu alivyo shughulikiwa na kijana pale kareem jee.
 
Acha Blaa blaa Pengo na Gwajima,kakobe,Mzee wa Bapa,nk nk wote wako sawa tu!wote ni Maaskofu,kama gwajima ameitwa kuhojiwa kwa kutuhumiwa basi hata pengo ikithibitika nae anapaswa kuhojiwa! No one is above the Law,double standard haitakiwi
Unafikiri Pengo ni rahisi rahisi tu kumpelekesha kama hao uliowataja!!
 
Kwani wamesha maliza kuita majina ya hao watuhumiwa??.

Alafu hawa wanaoitwa badala ya kwenda kujieleza wao kama wao wananza kusema mbona flani hajaitwa.
Ukisema mbona flani hajaitwa manayake unajua anacho fanya ndiomana unashangaa kwanini hajaitwa.
Sasa badala ya kutoa taarifa police, unaongelea kwenye Media.
Katoe taarifa police ueleze unacho jua kuhusu yeye iliuwemsaada wa kudhibitisha tuhumazake.
Heli mm sjasema
 
Siamini ktk dhana ya kanisa katoliki kuwa ndilo linaloongoza nchi japo ni dhana ya muda mrefu, japo ni kweli kutokana na ukubwa wake na weledi wa hali ya juu kanisa na viongozi wake wana heshima kubwa na ushawishi ktk serikali za mataifa mbalimbali, kwa hiyo nadhani kinachofanya kanisa lisiparamiwe hovyo ni hicho na sio kwamba ikulu yetu inaongozwa kwa rimoti tokea teki. Na kwa suala la kardinali kusaidia vita ya madawa, si lazima kuitwa publicly, kuna namna nyingi za kupata maelezo yake, cheo cha kardinali ni kikubwa duniani, hapa nchini hapana mtu hata anaekikaribia cheo hicho, mtuma post afikirie kama mkuu wa mkoa angefikiria kuwa maelezo ya raisi magufuli yangesaidia ktk kurahisisha vita hii, angefanya nini, je angemtaja ktk orodha ya 65 au ungetumika utaratibu mbadala, kama hilo lingekuwa gumu kwake, si ni zaidi kwa kardinali alie kiongozi wa wote wakiwemo wakuu wa mataifa na ulimwengu, "ungetambua ukuu wa nafasi ya kardinali ktk ulimwengu wa roho, ungeanguka na kufa" barikiwa.
Kama hawo MAKADINALI wangekua na ukuu huo kama ilivyo ndoto yako hapo, bila shaka zisingekuwepo KASHFA kwao za KULAWITI vijana wadogo wa kiume mpaka leo KANISA linagharamika kuwaomba radhi wote walioathiriwa.
 
Mkuu @Interestedobserver kama umesoma basi ulienda shule kukariri,maana kama sivyo utakuwa unafahamu hizi scandal za vatican na drugs kwa enzi zile na sio eti habari za kwenye novel,ukisearch utaona vyanzo vya media halali kabisa kama guardian,daily mail,
 
MFUMO KRISTO
Catholic Church controls the government...
Gwajima mwenyewe anajua yaliyo mpata baada ya kejeli zake za mandondo ya wapi!
 
Acha Blaa blaa Pengo na Gwajima,kakobe,Mzee wa Bapa,nk nk wote wako sawa tu!wote ni Maaskofu,kama gwajima ameitwa kuhojiwa kwa kutuhumiwa basi hata pengo ikithibitika nae anapaswa kuhojiwa! No one is above the Law,double standard haitakiwi
Muulize huyo Gwajima kilichomkuta aliporopoka kumuhusu Pengo
 
Nitoe tu angalizo ...kwamba mimi binafsi siamini Askofu Pengo anaweza kujihusisha na biashara ya madawa.....kama ambavyo siamini Yusuph Manji kufanya biashara hiyo...

Lakini kuhusu Askofu Pengo mtakumbuka haya yeye mwenyewe amewahi kuzungumzia juu
ya yeye kuhusishwa na uzushi huuu....

na sio mara moja........

Sasa kwa kuwa wote waliowahi kutajwa kuhusika wanaitwa ili watoe maelezo yao huko
polisi....na wasiouhusika wanaachiwa......nimebaki na swali hili

ambalo hata Manji aliuliza ....Why Pengo hakuitwa?...


Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!

Naweza tu kukupa hongera kwa kuongeza idadi ya post zako mkuu ila mengine nimemezea!!
 
Nitoe tu angalizo ...kwamba mimi binafsi siamini Askofu Pengo anaweza kujihusisha na biashara ya madawa.....kama ambavyo siamini Yusuph Manji kufanya biashara hiyo...

Lakini kuhusu Askofu Pengo mtakumbuka haya yeye mwenyewe amewahi kuzungumzia juu
ya yeye kuhusishwa na uzushi huuu....

na sio mara moja........

Sasa kwa kuwa wote waliowahi kutajwa kuhusika wanaitwa ili watoe maelezo yao huko
polisi....na wasiouhusika wanaachiwa......nimebaki na swali hili

ambalo hata Manji aliuliza ....Why Pengo hakuitwa?...


Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
Why ridhiwani hakuitwa?
 
Back
Top Bottom