DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,906
Lipi hiloMa askofu wa kilokole na mashekhe ndo hupenda kuonewa sana bila kujali utu wao, ila naona kuna dhehebu huwa haliguswi ukilitaja tu wafwaaa.
Lipi hiloMa askofu wa kilokole na mashekhe ndo hupenda kuonewa sana bila kujali utu wao, ila naona kuna dhehebu huwa haliguswi ukilitaja tu wafwaaa.
Kwa nini hakumuita sheikh mkuu wa Dar es Salaam ai Mufti Mkuu?
Huenda Makonda alitajiwa jina la Askofu Pengo, ila na yeye hakuamini kama ambavyo wewe huamini.. akatupia kapuni..
Usitegemee haki, kwa hukumu ya mwanadamu..[/QUOTE
Ila aliposikia la Mbowe akaona hapohapo, akaandika kwa haraka mpaka akakosea jina na kuandika Philemoni Mbowe badala ya Freeman!!!
Upo sahihi mkuu lakini ukumbuke kuwa wote ni viongozi wa kiroho katika nafasi zao na anayejua uhalisia wa Yale wanayoyafanya ni Mungu,sina imani kama zile fedha haramu za Lugemalila huyo unayemwamini hazikupitia mikononi mwake.Mkuu uaskofu wa gwajima sio wa Pengo hata kidogo. Naomba niishie hapo.
Kuna ile kanuni maarufu ya walevi YULE MUPE YULE MURUKE...pengine ndio kaitumia hapaNitoe tu angalizo ...kwamba mimi binafsi siamini Askofu Pengo anaweza kujihusisha na biashara ya madawa.....kama ambavyo siamini Yusuph Manji kufanya biashara hiyo...
Lakini kuhusu Askofu Pengo mtakumbuka haya yeye mwenyewe amewahi kuzungumzia juu
ya yeye kuhusishwa na uzushi huuu....
na sio mara moja........
Sasa kwa kuwa wote waliowahi kutajwa kuhusika wanaitwa ili watoe maelezo yao huko
polisi....na wasiouhusika wanaachiwa......nimebaki na swali hili
ambalo hata Manji aliuliza ....Why Pengo hakuitwa?...
Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
Una ushahidi kwamba ana uraia wa Vatcan ?Pengo afanye biashara ana shida ipi wakati hana familia na kila anchotaka anapewa kumbuka yeye ana uraia wa Vatican pia
Usimfananishe Askofu Pengo na vitu vya kijinga..!!Huenda Makonda alitajiwa jina la Askofu Pengo, ila na yeye hakuamini kama ambavyo wewe huamini.. akatupia kapuni..
Usitegemee haki, kwa hukumu ya mwanadamu..
Kwani wamesha maliza kuita majina ya hao watuhumiwa??.
Alafu hawa wanaoitwa badala ya kwenda kujieleza wao kama wao wananza kusema mbona flani hajaitwa.
Ukisema mbona flani hajaitwa manayake unajua anacho fanya ndiomana unashangaa kwanini hajaitwa.
Sasa badala ya kutoa taarifa police, unaongelea kwenye Media.
Katoe taarifa police ueleze unacho jua kuhusu yeye iliuwemsaada wa kudhibitisha tuhumazake.
Wote makanjanja, wote wachumia tumbo, huamini fuata vigezo vya kuwa askofu, ukikosa kimoja muulize kwa nini we ni askofu, kwa nini usiache wengine waliokidhi vigezo.Mkuu uaskofu wa gwajima sio wa Pengo hata kidogo. Naomba niishie hapo.
Kwani uaskofu wa pendo ukoje???Mkuu uaskofu wa gwajima sio wa Pengo hata kidogo. Naomba niishie hapo.
Tofautisha Kadinali Pengo anayetumikia kanisa takatifu katoliki kulingana na wito wake.
Pengo ni tofauti na akina Gwajima au mzee wa Upako, Kakobe n.k ambao wanaendesha makanisa hayo kama maduka au vitega uchumi vya kujipatia mali na faida kibao ili watafune na familia zao.