Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

Nitoe tu angalizo ...kwamba mimi binafsi siamini Askofu Pengo anaweza kujihusisha na biashara ya madawa.....kama ambavyo siamini Yusuph Manji kufanya biashara hiyo...

Lakini kuhusu Askofu Pengo mtakumbuka haya yeye mwenyewe amewahi kuzungumzia juu
ya yeye kuhusishwa na uzushi huuu....

na sio mara moja........

Sasa kwa kuwa wote waliowahi kutajwa kuhusika wanaitwa ili watoe maelezo yao huko
polisi....na wasiouhusika wanaachiwa......nimebaki na swali hili

ambalo hata Manji aliuliza ....Why Pengo hakuitwa?...
Nilichomsikia Manji akizungumza ni kwa nn Makonda hajamfuata Pengo ama mashehe kwa ajili ya kumshauri juu ya jambo hili na si kuwa alimtaja kwa kumhusisha na madawa ya kulevya.
Labda kama una lako binafsi na Pengo.
Lakini pia, Nani kakuambia orodha ya wanaohitajika imekamilishwa?
Kuwa na subira na uache chuki binafsi
 
Pengo sio mungu ni binadamu mwenye mapungufu yake pia,na ndo maana yuko kimya sasa wakati kipindi cha mwinyi na jk alikuwa hashikiki kwa matamko,

kila mtu anajua kuna kipindi kanisa catolic lilikuwa na unholy alliance kati yake na CIA, na Mafia na walifanya biashara ya drugs na vatican bank ilifanya kazi ya kutakatisha hiyo pesa ya madawa na hiyo pesa ilitumika kufund vita dhidi ya ukomunist,

mafia walikuwa wanatafuta madawa,CIA wanaprovide logistic na security na kisha vatican wanafanya money laundry
 
Wakati wote niliona upo reasonable; but after this? You must be crazy!!

Labda umegoma kunielewa
nimesema siamini Pengo anaweza husika
but kuhusishwa amehusishwa na yeye mwenyewe amewahi zungumzia hilo

Sasa kigezo cha Makonda ni hiko..watu waliowahi kuhusishwa
ndo swali linakuja hapa...mbona huu hakumuita?

Kama jibu hi uzushi na kumchafua....the same can be said kwa wengine
unless uniambie hao wengine wewe una ushahidi..
 
Nitoe tu angalizo ...kwamba mimi binafsi siamini Askofu Pengo anaweza kujihusisha na biashara ya madawa.....kama ambavyo siamini Yusuph Manji kufanya biashara hiyo...

Lakini kuhusu Askofu Pengo mtakumbuka haya yeye mwenyewe amewahi kuzungumzia juu
ya yeye kuhusishwa na uzushi huuu....

na sio mara moja........

Sasa kwa kuwa wote waliowahi kutajwa kuhusika wanaitwa ili watoe maelezo yao huko
polisi....na wasiouhusika wanaachiwa......nimebaki na swali hili

ambalo hata Manji aliuliza ....Why Pengo hakuitwa?...
Pengo afanye biashara ana shida ipi wakati hana familia na kila anchotaka anapewa kumbuka yeye ana uraia wa Vatican pia
 
Sisi Waafrika kweli ni takataka na ndiyo maana tunaitwa Niggas, hapa tayari umeshaingiza Udini kwa akili yako fupi unafikiri Manji kwa kuwa ni Muislamu anakuchukulia wewe Mwafrika Muislamu sawa na yeye? Unafikiri wewe Muislamu Mwafrika ukikamatwa India au Uarabuni Waarabu/Wahindi watakutetea?

Jifunze kujithamini wewe, achana na mambo ya Dini, Dini zimetukuta Waafrika, tujifunze kujithamini kwanza!

Ngoja nikuulize swali, unafikiri Trump angepiga marufuku Waislamu weusi kuingia USA Waarabu/Wahindi Waislamu wangeandamana kupinga kutututea?

Soma hilo Gazeti Waasia wafurika kumuona Manji, lkn siyo Azan, Gwajima au Wema, kwa nini? Kama unafikiri hapa ishu ni Uislamu? Jibu ni rahisi wanatetea chao! Amka ndugu hizi Dini zimekuja tu Muhindi/Mwarabu siyo ndugu yako na haijalishi Dini yake!
FullSizeRender_7.jpg


Wewe hii hukuiona?

Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
 
1. Drug dealers ni wafanyabiashara kama wewe wanatafuta pesa kujikimu na utajiri
2. Askofu Pengo mkuu wa kanisa kubwa duniani lenye waumini zaidi ya billion
3. Posho yake ni chakula, pocket money na hizo sijui atumie wapi maana hata sokoni haendi
4. Catholic Church, USA, China are the biggest economies of the world
5. Catholic Church na Reagan ndiyo waliangusha Soviet Union

That is the world order


Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
 
Nilichomsikia Manji akizungumza ni kwa nn Makonda hajamfuata Pengo ama mashehe kwa ajili ya kumshauri juu ya jambo hili na si kuwa alimtaja kwa kumhusisha na madawa ya kulevya.
Labda kama una lako binafsi na Pengo.
Lakini pia, Nani kakuambia orodha ya wanaohitajika imekamilishwa?
Kuwa na subira na uache chuki binafsi


Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
 
Back
Top Bottom