Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

Longa kuusindila ulongo. Chonde chonde mweyago nochola Maneromango ukae!
 
Wale wanacheza uchi kwenye ndoa zao so ni kama wanailaani ndoa yenyewe...

Halafu wale wanapenda ngoma balaa mwanamke hatulii ndani na ukimbana sana asiende kwenye ngoma zao anadai talaka, elimu hawataki kusoma wala kusomesha watoto wao
Nami ndio kinanishangaza
 
Hii ni tofauti na zamani, siku hizi watu wanakaa miezi wanaachana.

Zamani mwanaume alikuwa anachagua mwanamke mwenye akili na uvumilivu, kwamba ameanza chini mpaka kufikia kilele cha mafanikio yao, huyo mwanamke aweze kumvumilia.

Haishangazi miaka ya nyuma mwanaume anaanza maisha na mkewe akiwa na sahani na sufuria mbili. Na mke anamvumilia mumewe na kumuhimiza azidi kutafuta.

Hii inasaidia hata mkija kufanikiwa, mwanamke atakuwa na kilema cha kutapanya Mali zao na mumewe hata kama mume alishakufa.. maana anajua uchungu wake walipozitoa na jinsi walivyokula msoto..

Wanawake Hawa wa kisasa wanataka mwanaume aliyekamilika kila kitu.!
Mweupe, mrefu, mwenye misuri iliyojiviringa (kujazia).. Pia ana pesa na magari..!

Wakati wao baba zao walikubaliwa kuwaoa mama zetu .na ufupi wao, weusi wao wakawazaa MA hb, na warembo miongoni mwetu.. kwanini wao wafanye hivi?

Na sisi wanaume nao tunapopata pesa tunasahau vya nyumbani na kutaka vipya (Nyumba ndogo).. tunawasahau wake zetu nyumbani walioanza na sisi maisha tukiwa na Chumba kimoja..!

Sasa unategemea mwanamke ambaye hujachuma nae Mali atakuwa vipi na huruma na Mali hizo ikiwa hajui zilipotoka? hajui uchungu wake? Kama sio kujitafutia umaskini Wewe Kaka yetu?

Wanawake wa sasa hawataki kupitwa na jambo lolote. Iwe kwenye mitandao, mitindo ya mavazi. Nk
Siku hizi ni kawaida mke wa mtu kuvaa Dela na chupi tu ndani then anazurura mitaani washkaji waone vyombo.. anawaonesha nini sasa kama sio kutaka kutongozwa? Atataka akipita mtaani aambiwe we ni mzuri dada au umependeza "..nae aitikie wow thenx ".

Kinachofatia ni nini hapo? Kama sio yeye kutoa namba na uzinzi uchukue nafasi yake, kisha zimwi la kuvunja ndoa likate kamba aina ya Pete??

Tubadilike sasa sio lazima kwenda na utandawazi ikibidi wenyewe ndo uende na sisi

"Pancho Latino "
 
Kosa lilifanyika ile nyakati ambapo mtoto wa kike aliachwa ajiamulie kuishi anavyojisikia. Mkutano wa Beijing ndio ulileta yote haya. Kimsingi mungu amemuumba mwanamke na roho ya uvumilivu wa hali ya juu na utiifu dhidi ya mamlaka.

Mamlaka kuu ya mtoto wa kike ni mwanaume, anzia chief, babu, baba mpaka mume! Hii ni hierachy ya mamlaka iliokuwepo tangu enzi na ililenga kutengeneza jamii yenye nidhamu na sio oppression kama ambavyo ilitafsiriwa.

Ofcourse hamna mfumo usio na faults ila huu mfumo ulionesha ku work efficently kwa asilimia kubwa sana kwa ku enforce wanawake kuwa submissive. Malalamiko yalikuwepo kwa wanaume waliokuwa wanazingua ila kulikuwa na namna ya kuya address.

Sasa baada ya kuja mambo ya gender balance ndio ikapelekea zile mila kutafsiriwa kama mfumo dume. Kwamba mke anatakiwa apewe nafasi ya kujiamulia atakalo na kuwa self reliable badala ya kuwa submissive kwa mwanaume. Hii ikiwa ni sehemu ya ku exercise haki zake za kijinsia kama ilivyo kwa mume.

Ndipo mwanamke akapewa mamlaka ya kushika madaraka na uchumi...The worst mistake to ever be done in this world. Mwanamke anachokifanya since then ni kushindana na mwanaume ikiwezekana kumu oppress kabisa akipata nafasi hio saa nyingine hata kwa kutumia sheria zile zile kwamba anaonewa ilihali yeye ndie anamkomoa mume.

Hii sumu imesambaa kwa vizazi kadhaa toka ilipoidhinishwa ila mpaka kufikia leo hii matokeo tunayaona. Ndoa zimekuwa hazidumu sababu mwanamke haoni sababu ya kuwa mvumilivu kusuluhisha migogoro ilio sehemu ya maisha katika ndoa. Sababu yuko free kujiamulia lolote atakalo ni ngumu kutii mamlaka ya mume endapo haoni ndoa ina favour matakwa yake. Especially kuishi maisha kama yuko single, achepuke anavyotaka afanye anayojiskia hata kama yanakarahisha na kukuondolea amani mumewe.

Kubwa kabisa, mwanamke kumiliki madaraka na uchumi. Hapo ndio balaa kabisa. Wote tunaenda kazini sasa kwanini anibabaishe. Hii ndio akili walionayo watoto wa kike 70% ambao baadhi wameolewa na wengine wanatarajia kuolewa. Ukimwambia basi acha kazi uhudumie familia pia ni ugomvi mkubwa 🤣🤣🤣 unaambiwa kwani baba yangu alinisomesha ili iweje? Ndoa haiwezi kudumu pasipo na nidhamu na nidhamu ili iwepo lazma kuwe na mamlaka iliosimama ambayo ni mwanamume...Guess what?

Tafsiri ya mamlaka imegeuzwa tena na utandawazi kuwa sio mwanaume per se ila ni mwanaume mwenye hela! Kwa hali iliopo sasa mwanaume mwenye uwezo wa ku satisfy fantasies za mwanamke zaidi ndie mtu pekee ambaye wanamtafsiri kama anayestahili heshima. Wonders will never cease!!!

Ndio maana kila baada ya kisa cha mahusiano kinachokuja jf moja ya suluhu utaskia "Tafuta hela mkuu!"
 
Uko sahihi ,hali ni mbaya sana kwa kizazi hiki,ndoa imekuwa ni kama kushindana flani hivi,kila mtu ndani ya nyumba ni mbabe,ila kuna wachache sana waliolelewa vizuri na wazazi wao,pamoja na kuwa wana shule zao za kueleweka wanatimiza wajibu wao kama wanawake,ni full kuheshimiana mpaka inatia raha na ndoa zao zina amani....
 
Uko sahihi ,hali ni mbaya sana kwa kizazi hiki,ndoa imekuwa ni kama kushindana flani hivi,kila mtu ndani ya nyumba ni mbabe,ila kuna wachache sana waliolelewa vizuri na wazazi wao,pamoja na kuwa wana shule zao za kueleweka wanatimiza wajibu wao kama wanawake,ni full kuheshimiana mpaka inatia raha na ndoa zao zina amani....
Yani sahivi imekuwa ni kutafuta mabinti ambao wamelelewa vizuri katika familia zao. Maana watoto wengi waliokulia katika maisha ya ajabu ndio majanga
 
Tombeni wake zenu kisawasawa.
Neno ulilotumia halileti ladha kwenye forum yenye watu wastaarabu,ungetumia neno lenye maana kama hili lisilo na ukakasi bado ungeeleweka,haya tuendelee,hiyo kisawasawa sasa ni kivipi!ili utusaidie wanaume wenzio kama kweli unafikiri inasaidia,unachopaswa kujua ni kuwa ndoa ni zaidi ya hilo jambo,unaweza ukawa unafanya hilo jambo hivyo unavyosema wewe lakini mengine yakakushinda,hapo bado usitegemee amani mkuu...
 
Shida watu wanaoa wanaharakati wa haki za wanawake mkigombana kidogo anadai talaka na analialia kwenye mitandao na jamii yetu ya sasa ilivo basi inamuonea huruma inampa kichwa anaanza kukuanika kuwa ulikua hulipi ada za watoto yeye ndo kila kitu.

Na wazazi wa sasa mtoto anatoka kwa mume wake wanamkaribisha tena wanamwambia asikutese bhana.
Zamani umeolewa urudi kwa wazazi oooh wanakutimua na mikwaju na mapanga .
 
Back
Top Bottom