Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

Kwanini mahusiano/ndoa nyingi hazidumu?

Wote nmeona wakilalamika wao ndio walitendwa na baba za watoto wao
Mara nyingi atakuambia hivyo hawezi sema Mimi ndo nilikuwa na kiburi, yaani wanawake huwa wanaona wanaume ndo wenye makosa hata wakishindwa kusimama kwenye nafasi zao
 
Huwa nashangaa sana, unakuta mtu anayekwambia ndoa za siku hizi hazidumu hajawahi kufunga ndoa hata ya kusingiziwa.
 
Huwa nashangaa sana, unakuta mtu anayekwambia ndoa za siku hizi hazidumu hajawahi kufunga ndoa hata ya kusingiziwa.
Mkuu suala la kudumu si linajulikana, ni kuvunjika kwa mkataba kama mkataba wenu ulikuwa mpaka mwisho wa maisha mkaachana kabla ya huo mwisho kufika hapo ndoa haijadumu
 
Mkuu suala la kudumu si linajulikana, ni kuvunjika kwa mkataba kama mkataba wenu ulikuwa mpaka mwisho wa maisha mkaachana kabla ya huo mwisho kufika hapo ndoa haijadumu
Nachosema ni tabia ya watu kufanya judgement kwa mambo ambayo hawajawahi kuya experience even once.
 
Habari wakuu.
Mnajua hakuna kitu kibaya kama kutofika mwisho wa kile ulichotaka kifike mwisho.

Sidhani kama kuna mtu anapenda aanze mapenzi halafu yasifike mwisho.
Ni jambo lililozoeleka kwa tamaduni za asili ya pwani hasa kabila la kizaramo

kwa makadirio ya asilimia 85 ya mapenzi yao wakazi wa maeneo haya mapenzi yao hayafiki mwisho na wengi wao hudumu kwa muda mchache

Mi sijui tatizo likuwa wapi au ni laana ya vizazi vyao vya nyuma .

Unahisi nini tatizo ?
Unahisi nini kifanyike kuokoa kizazi hicho ili tusitengeneze jamii yenye watu wengi wenye majonzi na upweke mioyoni?
 
Na wanawake wakiondoka anakuachia watoto wako upambane nao, anakwenda kuanza upyaaa aendako.
 
Umelinganisha na za wakina nan mpk ulete conclusion yko
 
Habari wakuu.
Mnajua hakuna kitu kibaya kama kutofika mwisho wa kile ulichotaka kifike mwisho.

Sidhani kama kuna mtu anapenda aanze mapenzi halafu yasifike mwisho.
Ni jambo lililozoeleka kwa tamaduni za asili ya pwani hasa kabila la kizaramo

kwa makadirio ya asilimia 85 ya mapenzi yao wakazi wa maeneo haya mapenzi yao hayafiki mwisho na wengi wao hudumu kwa muda mchache

Mi sijui tatizo likuwa wapi au ni laana ya vizazi vyao vya nyuma .

Unahisi nini tatizo ?
Unahisi nini kifanyike kuokoa kizazi hicho ili tusitengeneze jamii yenye watu wengi wenye majonzi na upweke mioyoni?
Usijifanye unawajua sana wazaramo kisa wamekukaribisha mjini
 
Habari wakuu.
Mnajua hakuna kitu kibaya kama kutofika mwisho wa kile ulichotaka kifike mwisho.

Sidhani kama kuna mtu anapenda aanze mapenzi halafu yasifike mwisho.
Ni jambo lililozoeleka kwa tamaduni za asili ya pwani hasa kabila la kizaramo

kwa makadirio ya asilimia 85 ya mapenzi yao wakazi wa maeneo haya mapenzi yao hayafiki mwisho na wengi wao hudumu kwa muda mchache

Mi sijui tatizo likuwa wapi au ni laana ya vizazi vyao vya nyuma .

Unahisi nini tatizo ?
Unahisi nini kifanyike kuokoa kizazi hicho ili tusitengeneze jamii yenye watu wengi wenye majonzi na upweke mioyoni?
Usijifanye unawajua sana wazaramo kisa wamekukaribisha mjini
 
Wale wanacheza uchi kwenye ndoa zao so ni kama wanailaani ndoa yenyewe...

Halafu wale wanapenda ngoma balaa mwanamke hatulii ndani na ukimbana sana asiende kwenye ngoma zao anadai talaka, elimu hawataki kusoma wala kusomesha watoto wao
 
Back
Top Bottom