Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Inahitaji ujasiri wa mwendawazimu, kumpigia debe na kumsafisha Lowassa!!!!!
 
Nchi hii imewahi kuwa na Waziri Mkuu mmoja tu,Edward Moringe Sokoine,hakuna mwingine
 
Mbona akiwa Waziri Mkuu hakuweza kupambana na ufisadi na badala yake aliuremba, kuupaka mafuta na kuukumbatia?

Timu lowasa siwaelewi Lowasa, EL alikuwa anafukuza watumishi wasio waadirifu au alianza kutengeneza mitando kwenye halmashauri na kuwafukuza wale wote walikuwa hawakubaliani nae ili baadae haje kuwa rais,kutu ambacho kilimfanya asielewane na boc wake na kutengeneza matabaka ndani ya halimashauri, kuzibitishsa hayo na uzaifu huo Nenda kawaulizae wanaofanya kazi kwenye halmashauri za wilaya ya MOMDULI na kARATU,UONE
1, UBAGUZI ULIOPO
2,UKABIRA
3, MATABAKA
Kwanini ukionekana haukubaliani na wabunge wa wilaya hizo unafukuzwa kazi then ubora upi?
 
Au mnadhani ufisadi unaishaje hapa nchini kama sio kukabiliana na mifumo ilinayosababisha huo ufisadi? Na mfumo huo upo chini ya watendaji wa serikali na ndio maana Lowassa alidili nao vizuri sana!

The stupidest 'hoja' ever!!
 
Kuifukuza City Water.... KUrejesha kiwanja cha Mnazi Mmoja... kukusudia kuvunja mkataba wa Richmond ?.... Lowassa ndo Jembe la Ukweli la CCM .. hakuna mwingine ...
 
Nadhani ukali wake kwa hao watendaji ulitokana na watendaji hao kukataa kutii amri ya vimemo vinavyowataka kuvunja kanuni na taratibu za kazi zao. Bado nadhani hivyo...!!
 
Siye wengine Lugha hizi za kuvuka Mto hatuzijui vizuri. Hivi u/mnaposema kuwa Lowassa "alipambana na System" hivi mnamaanisha nini? System si ndiyo mfumo? Mfumo ni nini kwa Tafsiri yenu. Tafadhali sana TeamLowassa mje mtusaidie kutuelewesha Lowassa aliwezaje kupambana na mfumo wakati akiwa ndani ya mfumo??
 
Last edited by a moderator:
Mzee naona unachanganya dhana mbili tofauti kabisa "Kufanya kazi kwa Mazoea/Uzembe" na "Ufisadi"...

Bado unazunguka zunguka tu,bado unazungumzia yeye kuwawajibisha watendaji wadogo kama sisimizi kwa utendaji wa uzembe na sio ufisadi mkuu...Mkuu wa wilaya anatofauti gani na mwenyekiti wa kata?..Bado hakuwahi gusa ufisadi,na usilete mambo ya system hapa,amepambana na system gani par se?Yeye ni carrier ccm politician,kakulia humo humo....

Nidhibitishie kashika wezi wangapi wa ufisadi?Nipe idadi na kwenye hiyo idadi taja jina moja na kiasi cha pesa alichofisidi!Go on ,I wait!

TeamLowassa, hii hoja hapa naona umeikimbia kabisa. Majibu yako yanasubiriwa kwa hamu!
 
Last edited by a moderator:
mkuu huo ndo ukweli wenyewe..

Mkuu wakati mwingine ukawaza sana ,unakosa jibu,,Leo hii wana Team tayri(team lowasa),team Membe pia,,which means ikulu wataingia hivyo hivyo na timu zao.Kiswahili kifupi ili unufaike na uongozi wao ni lazima uwe kwenye team yao.SASA watanzania tuko wangapi mpaka tuingie kwenye team moja ya wachezaji 12?.Wakae nje ya ikulu na team zao wacheze vizuri..
 
Mwenzenu kazoea kuuza ng'ombe,anataka mnunuliwe na muuzwe kwa nguvu yoyote ile.
 
Mzee naona unachanganya dhana mbili tofauti kabisa "Kufanya kazi kwa Mazoea/Uzembe" na "Ufisadi"...

Bado unazunguka zunguka tu,bado unazungumzia yeye kuwawajibisha watendaji wadogo kama sisimizi kwa utendaji wa uzembe na sio ufisadi mkuu...Mkuu wa wilaya anatofauti gani na mwenyekiti wa kata?..Bado hakuwahi gusa ufisadi,na usilete mambo ya system hapa,amepambana na system gani par se?Yeye ni carrier ccm politician,kakulia humo humo....

Nidhibitishie kashika wezi wangapi wa ufisadi?Nipe idadi na kwenye hiyo idadi taja jina moja na kiasi cha pesa alichofisidi!Go on ,I wait!
Kama ataweza kukujibu haya maswali yako hata kwa kiwango cha kupata "D" Tu basi nitampa yangu imsaidie kuupata urais........sio bra bra bra tu oo mkuu wa wilaya oo mkurugenzi nini hawa dagaa hata mrema tu akiwa waziri aliweza kuwasambaratisha hawa.....atujibu alimuajibisha fisadi gani? lini alimkemea cheng kuhusu pesa ya rada ?
 
mmmmh...........kweli watanzania tumerogwa.Leo mtu ambaye alisema ataelezea kilichotokea kwenye richmond na kushindwa kufanya hivyo pale alipopata nafasi eti anautaka urais na ss tunamsupport?hii ni aibu kwetu ss na vizazi vijavyo vitatulaumu na kutulaan kwa kuuza nchi kwa fisadi kama lowasa na genge lake la mafisad ambao had leo hawajawah kusafishika
 
Kama ataweza kukujibu haya maswali yako hata kwa kiwango cha kupata "D" Tu basi nitampa yangu imsaidie kuupata urais........sio bra bra bra tu oo mkuu wa wilaya oo mkurugenzi nini hawa dagaa hata mrema tu akiwa waziri aliweza kuwasambaratisha hawa.....atujibu alimuajibisha fisadi gani? lini alimkemea cheng kuhusu pesa ya rada ?

Imeshajibiwa kwa viwango vya juu sana. Panda juu ya uzi utaona, nimeweka pale ili kukata kiu ya wachache wanaofikiri kama nyie!

Warning:
Kama huna uwezo wa kuelewa majibu magumu kwa maswali magumu dont try to read this at home, at school, or anywhere else!

Nakutakia kila la kheri uelewe!
 
Imeshajibiwa kwa viwango vya juu sana. Panda juu ya uzi utaona, nimeweka pale ili kukata kiu ya wachache wanaofikiri kama nyie!

Warning:
Kama huna uwezo wa kuelewa majibu magumu kwa maswali magumu dont try to read this at home, at school, or anywhere else!

Nakutakia kila la kheri uelewe!
''Nidhibitishie kashika wezi wangapi wa ufisadi?Nipe idadi na kwenye hiyo idadi taja jina moja na kiasi cha pesa alichofisidi!"
basi kichwa changu kigumu kushindwa hata kuelewa jambo dogo kama hili......katika uzi wako hapo juu umemthibitishia lebronwade na umempa idadi ya aliowashika? na umemtajia hata hilo jina moja tu?......
 
Anaesema Lowassa hajawahi kupambana na ufisadi alete pua yake hapa kwenye huu uzi. Na aseme ni kiongozi yupi ndani ya ccm aliewahi kuelewa vizuri dhana hii ya ufisadi na kuanza kuikabili kama sio Lowassa.

Mara nyingine mkiuliza maswali magumu muwe pia una uwezo wa kuelewa majibu magumu.
Ni bora sasa mchawi wa Lowasa ajulikane maana maneno yamezidi tunataka kiongozi atayethubutu kufannya maamuzi magumu sio kuongoza kwa mazoea, sio sera ya CCM so sera yaTANU na ASP, akiwa Mwenyekiti aweke sera ambazo zima maslahi kwa CCM na nchi ndio maana leo UKAWA wanajisifia kwa yale yale ya CCM wao hutenkeleza tu, hususan zile ahadi kumi za mwana-CCM ndiocho wanachofanya ukawa. This need to stop now... Is Lowasa period
 
mmmmh...........kweli watanzania tumerogwa.Leo mtu ambaye alisema ataelezea kilichotokea kwenye richmond na kushindwa kufanya hivyo pale alipopata nafasi eti anautaka urais na ss tunamsupport?hii ni aibu kwetu ss na vizazi vijavyo vitatulaumu na kutulaan kwa kuuza nchi kwa fisadi kama lowasa na genge lake la mafisad ambao had leo hawajawah kusafishika

Anajua nini cha kukisema, akisemee wapi, akisemee kwa nani na ni wakati upi muafaka wa kukisema.

Kifupi alishagalielezea hilo swala siku alipohojiwa na Tido, uvivu wako wa kutafuta facts kama sio ukichwa cha panzi wako ndivyo vinavyokufanya usielewe, kujikumbusha ingia u tube tafuta "Edward Lowassa mahojiano na TBC" kuanzia dakika ya 14 utamsikia.
 
Au mnadhani ufisadi unaishaje hapa nchini kama sio kukabiliana na mifumo ilinayosababisha huo ufisadi? Na mfumo huo upo chini ya watendaji wa serikali na ndio maana Lowassa alidili nao vizuri sana!

Ni kweli Lowasa ni mfumo ndio umemuathiri na unatakiwa kuondoa huo mfumo..kwa maana mfumo huo ni CCM yetu. Ndio maana hata yeye anatumia hela nyingi mnoo kupata urais eti akawatumikie waliompa fedha zake. Sio records za zamani zinazompa sifa ya ufusadi ula kwa sasa na hao marafiki. Angalia athari za marafiki awamu ya 4 ulivyoiponza nchi yetu. Nahitimisha ni lazima CCM iondoke keanza kama tunataka kuondoa mfumo wa kirushwa na ufisadi.
 
lowasa hana kipaji cha uongozi ila anakipaji cha uongo.
Uwezo wake ni kuongoza ng'ombe sio watu.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
 
Back
Top Bottom