Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

Hawezi kukata tawi alilokalia. Ufisadi ndo roho ya lowasa
 
Anajua nini cha kukisema, akisemee wapi, akisemee kwa nani na ni wakati upi muafaka wa kukisema.

Kifupi alishagalielezea hilo swala siku alipohojiwa na Tido, uvivu wako wa kutafuta facts kama sio ukichwa cha panzi wako ndivyo vinavyokufanya usielewe, kujikumbusha ingia u tube tafuta "Edward Lowassa mahojiano na TBC" kuanzia dakika ya 14 utamsikia.

Dogo acha kuwaza kwa kutumia makalio wewe!!!! Tido kumhoji Edo ndo kigezo cha yeye kuwa msafi? Hebu tuambie baada ya kuhojiwa na Tido, Tido alitoa maamuzi gani? Watu wengine hata mbuzi ana afadhali kuliko hiki ulichoandika hapa!

Tunataka kujua hatima ya sakata la richmond! Na alipewa muda wa kujitetea, matokeo yake badala ya kujitetea akaamua kuwajibika kwa maufaa ya chama! Kama alikua hana hatia, kwa nini awajibike kwa kosa ambalo hajafanya?????

Usiruhusu akili ndogo ikuongoze mkuu, jaribu kufikiri kwa mapana!
 
Jamani ccm mbona hamtuelewi? Tunaona inatumika nguvu kubwa kumnadi lowasa na hii nadhani ni kwasababu ya ukwasi wake hatimaye imeonekana kwamba ndiye mtu anayefaa kuwa rais,huyu mtu alitiliwa shaka hata na baba wa taifa kutokana na utajiri wake wa mashaka,eti leo ndiye tunamuona akipigiwa chapuo kuwa rais, ni bora chama changu mtuletee wema sepetu ataenda club usiku asubui atarudi ofisini ikulu lkn si mla rushwa, lowasa akiingia ikulu anakuja kukomba mboga kabisaa, na hivi makanisani na misikitini wamemuumiza anakuja kutuumiza zaidi wananchi.nawasilisha.
 
Naona Kingwendu atafaa zaidi atakuwa ana toa burudi awapa jukwaani.
 
Katika harakati za lowasa kutafuta wadhamini amekuwa akianda watu wengi wa kumsikiliza na kumdhamini,lkn yamekuwepo maneno ya chinichini kwa wanaojitokeza kuwa hana la maana analoliongea na wanasema kwa nini anakusanya watu, na kumuona kama hawezi kukizi haja ya siasa za sasa ambazo wanazipenda vijana kujenga hoja za maana kuepukana na kuzomewa pale watakapo kosa wanachoiitaji,wengine wanasema lowasa amekuwa anarudiarudia maneno tu mfano Haya ni
1,mafuliko,
2,sijawai hona mafuliko kama haya,
3,nitakuwa rais hata nje ya ccm,
4,kataa umasikini kwa kumkata shetani,
5,ikulu Siendi kungaa macho,
6,sipendi umasikini
7,hana hoja za maana
Kutokana na Haya machache na yapo mengi baadhi ya watu wanamuona kama hana jipya wala hats siasa za sasa za kuimili mikimiki ya jukwaa la siasa hawezi,na wengine wanasema kama ccm itampitisha na kukawepo mdahalo,je anaweza kupambana na,SLAA?
Je ni kweli lowasa ni zaifu kiasi hicho?
 
Jambazi lowasa kiungia ikulu takatifu,nyerere atafufuka,
 
Usahihi
Mafuliko-Mafuriko
Sijawai-Sijawahi
Kurudi kwenye point ni kwsmba jamaa si mwanasiasa by nature sema anabebwa sana na pesa za wizi, in short ni domo zege.
 
Usahihi
Mafuliko-Mafuriko
Sijawai-Sijawahi
Kurudi kwenye point ni kwsmba jamaa si mwanasiasa by nature sema anabebwa sana na pesa za wizi, in short ni domo zege.
Ccm isipompitisha MTU mwenye hoja za maana ili kuwaondolea unyonge wanaccm wataiazibu ccm oct
 
Katika karata ambayo Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM kapoteza ni kutokukemea rushwa na Ufisadi uliokithiri hapa nchini.

Lowassa amejiandalia mapokezi makubwa sana kila lipoenda kupata wadhamini, akihutumia umati wa watu maeneo mbalimbali mikoani.

Lowassa amejikosha kuwa ana chukia umasikini jambo ambalo hajajua kua hakuna binadamu anae penda umasikini hapa dunia! Lowassa hajaweza kukemea rushwa na ufisadi!

Na kwakweli hii ilikua nafasi mhimu sana kwake kuonesha msimamo wake juu ya vitendo vya rushwa na ufisadi. Kwa mantiki nyingine Lowassa hawezi kupigana rushwa ya Ufisadi na Rushwa hapa nchini ni dhaifu sana!

Kwa mwenendo huu Watanzania wajue kabisa Lowassa akienda ikulu itakua ni sawa na kumkabidhi fisi bucha 2015-2020.
 
....alishasema rushwa haipigwi kwa maneno kama ilivyo sasa bali lowassa ataipiga kwa vitendo pindi atakapopata fursa ya kuchaguliwa.
 
Usitegemee mla Rushwa anaweza kumkemea mla Rushwa mwenzake
 
Bahati mbaya Lowassa hajawahi pigana kwa vitendo suala la rushwa
Lowasa hajawahi kupigana na rushwa kwa maneno wala kwa vitendo. Wakati akiwa Waziri Mkuu ambapo ndipo tulitegemea atakemea rushwa kwa vitendo, alishiriki kwenye ubadhilifu mkubwa wa ufisadi wa Richmond
 
Sa na nyie akili ndogo kweli sa anawezaje kupiga vita rushwa wakati it is inside him..rushwa in his veins yani mwizi ajikamate au?
 
Back
Top Bottom