speech
JF-Expert Member
- Mar 4, 2022
- 482
- 1,247
Hiki cheo cha makumu wa raisi kingefutwa tu pamoja na manaibu waziri(wabaki mawaziri na maktibu wakuu), na wakuu wa wilaya ( hawa nao wafutwe wabaki watendaji na madiwani) kingine viti maalum kupunguzwa viti maalum vibaki 2 tu..( walemavu na wanawake)Majibu yenu ni muhimu Kwangu kwani kuna Mtu nasikia analalamika Maagizo yake hayafanyiwi Kazi haraka kama ya Waziri mwenye Wizara ambayo hapo kabla Yeye ndiyo ilikuwa Wizara yake na aliimudu vilivyo kwa Kutubania Fedha Watanzania hadi ikawa Ngumu kuipata ila Yeye na aliyemteua ( sasa kalala mazima ) wakawa Wanazitumbua tu watakavyo na Mjomba Mtu Mmoja wa zinakotunzwa.